Nakubaliana nawe , Tuachane na mengine yatupite tu for the sake of our mental health and peace of mindHii dunia vitu vingine ni vya kuangalia na kuviacha, ukisema kila jambo utolee mtazamo au kuwa na upande utajaza tu akili chuki na mambo yasiyo na msingi
Koinange ya SwedenNilijua JEFF KOINANGE wa citizen tv ya Kenya kaanzisha ndondo cup mitaa ya kibera
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kama ndondo tu, ila wao hawachezi kwa miguu ila wanatumia vikojoleo.Yapi maoni yako kuhusiana na mchezo wa Koinange utakaoanza rasmi nchini Sweden hivi karibuni. Je unafaa kushiriki ama haufai kushiriki? Kwako habari hizi zinakupa picha gani?