Fani yako inakusaidiaje katika kutatua Kero za Jamii?

Equation x

JF-Expert Member
Sep 3, 2017
29,180
39,947
Wengi huwa tunajifunza fani mbalimbali ili mwisho wa siku tuweze kutatua kero au changamoto za jamii; mfano:
  • Daktari atatatua kero za wagonjwa kwa kuwatibu.
  • Mwalimu atatatua kero za wajinga kwa kuwapa elimu na ujuzi.
  • Mzibua vyoo atatatua kero ya kuzagaa kwa maji taka na kuelekea kwenye mfumo wake.
  • n.k

Sasa tushirikishe kwa upande wako; fani yako inatatua kero ipi kwa jamii?, au unapokea tu mshahara na posho bila kutatua kero yoyote?
 
Wengi huwa tunajifunza fani mbalimbali ili mwisho wa siku tuweze kutatua kero au changamoto za jamii; mfano:
  • Daktari atatatua kero za wagonjwa kwa kuwatibu.
  • Mwalimu atatatua kero za wajinga kwa kuwapa elimu na ujuzi.
  • Mzibua vyoo atatatua kero ya kuzagaa kwa maji taka na kuelekea kwenye mfumo wake.
  • n.k

Sasa tushirikishe kwa upande wako; fani yako inatatua kero ipi kwa jamii?, au unapokea tu mshahara na posho bila kutatua kero yoyote?
Huku kwetu kero ndo huwa zinatutatiza sie tusio na fani
 
Wewe unapenda kutatua kero zipi?
Mimi ni mzungumzaji tu.

Kuna kero kubwa za hawa serikali za mitaa.
Hawa watu ni wasumbufu.
Siraha yangu huwa ni mdomo tu kwenye vikao maana mimi ni member wa hzi association za vijana (NGO)

Mkuu imagine mtaa wetu kwasasa ile system ya Taka haipo.
Serikali ya mtaa wamekorofishana na wakandarasi wa magari ya taka na saizi hakuna wa kuzibeba mwezi wa pili.

Sasa kwa mji wetu huu (Dsm) na mbanano wa watu ulivyo unadhani mwananchi anaenda kuzipelewa wapi?
Hakuna hata sehemu utaenda udump kitu.

Kwa swali lako, shortly napenda kutatua kero za wananchi silaha yangu ni kuongea kwa niaba ya watu bhasi.
 
Back
Top Bottom