Kiboko ya Jiwe
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 12,709
- 36,166
Kama kawaida mlinzi msomi nisiye na hiyana.
Nilipanda bajaji mwaka 2021 nikasikia jambo, nami nikadadisi kidogo. Nikafanya kama nilivyoambiwa.
Ukiwa na smart phone mbili , yako na ya mwenzi wako au yako na ya rafiki yako nenda kwenye Goole map then share location na simu nyingine. Hapa unaweza ku share via WhatsApp au messenger au njia yoyote ile ila email ni best zaidi.
Ukiibiwa simu au kupoteza utaweza kutumia simu moja kufuatilia alive location ya simu nyingine mpaka utaikamata.
Hata mwizi akiiflash bado haisaidii kwake. Akiwasha tu data unaye.
Nilikuwa na smart mbili, nikafanya hivyo, baada ya miezi kadhaa nilipata ajali nikapoteza Smart phone moja.
Niliipata baadaye kwa njia hiyo.
Wewe ukipoteza kachukue RB police halafu baadaye wapelekee mwizi tu. Usiliwe tena pesa na polisi wahuni, mtu kazi yake ni kuwasaidia watu lakini anageuka kuwachuna watu ilhali serikali ndio humlipa na kumpa vitendea kazi.
Namna ya kushare:
1. Nenda google map kwa simu za android.
2. Usihangahike, unaweza kutumia picha zilizorushwa na watu wengine huko Goole au uliyopiga wewe mwenyewe na kushare google.
3. Nenda sehemu ya options kisha share kwa mtu mwigine au kwenye simu yako mwenyewe (, simu nyingine)
Nilipanda bajaji mwaka 2021 nikasikia jambo, nami nikadadisi kidogo. Nikafanya kama nilivyoambiwa.
Ukiwa na smart phone mbili , yako na ya mwenzi wako au yako na ya rafiki yako nenda kwenye Goole map then share location na simu nyingine. Hapa unaweza ku share via WhatsApp au messenger au njia yoyote ile ila email ni best zaidi.
Ukiibiwa simu au kupoteza utaweza kutumia simu moja kufuatilia alive location ya simu nyingine mpaka utaikamata.
Hata mwizi akiiflash bado haisaidii kwake. Akiwasha tu data unaye.
Nilikuwa na smart mbili, nikafanya hivyo, baada ya miezi kadhaa nilipata ajali nikapoteza Smart phone moja.
Niliipata baadaye kwa njia hiyo.
Wewe ukipoteza kachukue RB police halafu baadaye wapelekee mwizi tu. Usiliwe tena pesa na polisi wahuni, mtu kazi yake ni kuwasaidia watu lakini anageuka kuwachuna watu ilhali serikali ndio humlipa na kumpa vitendea kazi.
Namna ya kushare:
1. Nenda google map kwa simu za android.
2. Usihangahike, unaweza kutumia picha zilizorushwa na watu wengine huko Goole au uliyopiga wewe mwenyewe na kushare google.
3. Nenda sehemu ya options kisha share kwa mtu mwigine au kwenye simu yako mwenyewe (, simu nyingine)