who

  1. Vedasto Prosper

    JamiiForums Tanzania Dk. Alex Ntale Gasasira, awasilisha hati rasmi za uwakilishi mpya wa WHO nchini Tanzania

    Dar es Salaam , 14th Ocotber 2025 - Mwakilishi mpya wa Shirika la Afya Duniani (WHO) nchini Tanzania, Dk. Alex Ntale Gasasira, amewasilisha rasmi nyaraka zake za uteuzi kwa Mheshimiwa Cosato Chumi, Mbunge na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, katika hafla...
  2. MaxShimba

    JamiiForums Tanzania Who is God, and from where did He originate?

    A Theological Inquiry into the Nature, Attributes, and Works of God Introduction: The Foundational Question The question, "Who is God and from where did He originate?" is of profound significance. The answer to this inquiry fundamentally shapes one's worldview, ethics, and ultimate destiny. It...
  3. La Roche

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania What should you do if you love someone who doesn't love you?

    Move on. Period Everyone is entitled to his/her preferences and if someone doesn't love you its their choice. You can't question it or find faults with your self. Waiting for the person till eternity to notice your love or accepting it will only waste your time and you will get hurt at every...
  4. R

    JamiiForums Tanzania WHO: Takribani Watu 727,000 hupoteza Maisha kila Mwaka Duniani kwa Kujiua

    Rekodi ya Shirika la Afya duniani (WHO) inaeleza kuwa, kila mwaka watu wapatao 727,000 hupoteza maisha kwa kujiua, na idadi kubwa zaidi hujaribu kujiua lakini hunusurika. Kila tukio la kujiua ni janga kubwa linaloathiri familia, jamii na hata mataifa kwa ujumla, likiacha madhara ya kudumu kwa...
  5. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Uhuru wa wengine ni uhuru wetu. Tukinyamaza hata humu JF ipo siku. Ndio Maana Watibeli tunahangaika. Walianza CDM wameingia CCM. Who's next.

    Habari za Sabato! Mbinu rahisi ya kuwafanya watu watumwa ni kuwafanya waone Uhuru wa wengine hauwahusu. Kuona kuonewa kwa wengine ni juu yao, ilimradi wao wapo salama basi, wengine wakionewa haiwahusu. Hiyo inaitwa Divide and Rule technique. Hakuna jamii rahisi kuitawala na kuifanya watumwa...
  6. JanguKamaJangu

    JamiiForums Tanzania Nchi Wanachama wa WHO - Kanda ya Afrika wakutana kujadili uimarishji wa viwanda vya kuzalisha Dawa Afrika

    Nchi wanachama wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika wamekutana Lusaka Zambia kujadili masuala mbalimbali yenye lengo la kuboresha afya kwa nchi wanachama na agenda mojawapo ikiwa ni uimarishaji wa viwanda vinavyozalisha dawa ili nchi hizo zijitosheleze kwa dawa na kupunguza...
  7. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania The salve trader who became a slave

    The Slave Trader Who Became a SIave Ayuba Diallo was born in 1701 in what is now Senegal 🇸🇳. His father was a sIave trader, and Diallo helped him with the business as he grew older. However, during one of his trips, Diallo's life changed dramatically. He was captured by European traders...
  8. Mr Attorney

    JamiiForums Tanzania People who are on social media

    People on social media won’t tell you their parents cover their rent. They won’t tell you an old man is funding their lifestyle in exchange for sex. They won’t tell you their “business success” started with inherited money. Moreover They won’t admit that relatives in government...
  9. Griss

    JamiiForums Tanzania Who is this Man? Mwenye CV yake

    Huyu ni Nani? Naomba mwenye CV yake aiweke hapa Ndiye new boss wa SSIT? Ataweza? Jw watakubali? Vijana wa Nyerere watakubali?
  10. ERTUGRUL BEY

    JamiiForums Tanzania Fo àll those who want to go Abŕoad for better life,listen to this dude!

    Ni hayo tu!
  11. MoroGent

    JamiiForums Tanzania Robin Sharma: Who Will Cry When you Die?

    Salaam sana Wakuu, Leo nimewiwa kutoa muhtasari wa kitabu cha "Who Will Cry When You Die?" Kilichoandikwa na mwandishi maarufu aitwaye Robin Sharma (huyu ndo ameandika pia The monk who sold his ferrari, The leader who had no title na The 5 AM Club). Kitabu hiki kinavutia sana kukisoma kwa...
  12. Papillon 1906

    JamiiForums Tanzania Why do you cry like the lady who is crying for ghee when she has butter in her hand

    You can have extraordinary power of concentration, strong will and a perfectly healthy and strong body by practicing pranayama. When you advance in your concentration and practice you can cure many diseases by mere touch, in the advanced stages many diseases are cured by mere will. You will...
  13. R

    JamiiForums Tanzania Jeshi la Israel yashambulia Vituo vya Shirika la Afya Duniani (WHO), Gaza

    Shirika la Afya Duniani (WHO) limelaani vikali mashambulizi dhidi ya jengo lililokuwa na wafanyakazi wake mjini Deir al Balah, Gaza. Mashambulizi hayo yalifanyika baada ya jeshi la Israel kutoa amri mpya ya uhamishaji. WHO imesema wafanyakazi na familia zao, wakiwemo watoto, walikumbwa na hatari...
  14. The Zanzibar Echo

    JamiiForums Tanzania Putin amuonesha Trump who is the boss ?

    Urusi imefanya mashambulizi makubwa ya anga tangu vita hivo vya zaidi ya miaka mitatu kuanza.katika mashambulizi hayo yaliotokea usiku wa july 9 urusi imevurumisha ndege zisizo na rubani takribani 800 na makombora ya baharini 13 ambayo yamepiga miji mbali mbali. Haya yanajiri baada ya rais wa...
  15. Setfree

    JamiiForums Tanzania WHO wathibitisha pombe ni sumu. Sasa nina ujasiri wa kusema: "kunywa pombe bila kulewa ni dhambi."

    Kama ulikuwa huna habari, kisayansi, pombe ni sumu. Wataalamu wa afya wanaeleza kuwa Ethanol, kiambato kikuu katika pombe, ni dutu ya sumu kwa mwili wa binadamu. Shirika la Afya Duniani (WHO) through International Agency for Research on Cancer (IARC) linaiainisha pombe (ethanol in alcoholic...
  16. matunduizi

    JamiiForums Tanzania WHO: Watu 871000 wanakufa KWA UPWEKE duniani Kila mwaka: 100 Kila baada ya Saa moja

    KWA Mujibu wa Shirika la Afya duniani mtu mmoja kati ya sita anasumbuliwa na Tatizo la UPWEKE. Tatizo hili hupelekea stress, magonjwa ya MOYO, kisukari na magonjwa yasiyoambukiza. KWA wanafunzi hupelekea kushuka KWA maksi darasani, watu wazima hupelekea hata kupata ugumu wa kupata kazi na...
  17. DR HAYA LAND

    JamiiForums Tanzania Who Cursed Africa ?

    Nothing funny here, he needs immediate medical attention https://www.facebook.com/share/v/1DmE4HbptF/
  18. M

    JamiiForums Tanzania People who win the war, ni wenye IQ kubwa tu, Isrel anapiga vyenye upinzani kwanza, Iran anapiga visivyo na kizuizi, nani ni nani?

    Acha akili kubwa iendelee kuongoza dunia na itakuwa hivyo milele Najifunza mengi sana kwenye hii vita Ukiangalia mashambulizi ya pande zote Mbili, Iran na Israel Huwenda uwezo wao ni mmoja tu na ama wanazidiana kidogo sana ila akili ndiyo inayoamua hii vita Mashambulizi ya Iran yanalenga...
  19. Hharyson

    JamiiForums Tanzania Who need this? 5bedrooms on 1500sqm plot estimated cost mpaka roofing with decra roofing tiles (235m)

    🏗️ Mkuzibuilders – Your Trusted Building Partner! We specialize in building design, construction, renovation, and consultation services. Whether you're starting from scratch or upgrading your space, our expert team is here to bring your vision to life with quality and professionalism. 📞 Call...
  20. Mitch McDeere

    JamiiForums Tanzania Who is John Mnyika?

    John John Mnyika is a Tanzanian CHADEMA politician and his party Secretary General. Early Life and Education Mnyika earned his degree from the University of Dar es Salaam. His early career focused on political activism and development work. He was focused on democratic reforms and governance...
Back
Top Bottom