Salaam sana Wakuu,
Leo nimewiwa kutoa muhtasari wa kitabu cha "Who Will Cry When You Die?" Kilichoandikwa na mwandishi maarufu aitwaye Robin Sharma (huyu ndo ameandika pia The monk who sold his ferrari, The leader who had no title na The 5 AM Club).
Kitabu hiki kinavutia sana kukisoma kwa...
You can have extraordinary power of concentration, strong will and a perfectly healthy and strong body by practicing pranayama.
When you advance in your concentration and practice you can cure many diseases by mere touch, in the advanced stages many diseases are cured by mere will.
You will...
Shirika la Afya Duniani (WHO) limelaani vikali mashambulizi dhidi ya jengo lililokuwa na wafanyakazi wake mjini Deir al Balah, Gaza. Mashambulizi hayo yalifanyika baada ya jeshi la Israel kutoa amri mpya ya uhamishaji. WHO imesema wafanyakazi na familia zao, wakiwemo watoto, walikumbwa na hatari...
Urusi imefanya mashambulizi makubwa ya anga tangu vita hivo vya zaidi ya miaka mitatu kuanza.katika mashambulizi hayo yaliotokea usiku wa july 9 urusi imevurumisha ndege zisizo na rubani takribani 800 na makombora ya baharini 13 ambayo yamepiga miji mbali mbali.
Haya yanajiri baada ya rais wa...
Kama ulikuwa huna habari, kisayansi, pombe ni sumu. Wataalamu wa afya wanaeleza kuwa Ethanol, kiambato kikuu katika pombe, ni dutu ya sumu kwa mwili wa binadamu. Shirika la Afya Duniani (WHO) through International Agency for Research on Cancer (IARC) linaiainisha pombe (ethanol in alcoholic...
KWA Mujibu wa Shirika la Afya duniani mtu mmoja kati ya sita anasumbuliwa na Tatizo la UPWEKE.
Tatizo hili hupelekea stress, magonjwa ya MOYO, kisukari na magonjwa yasiyoambukiza.
KWA wanafunzi hupelekea kushuka KWA maksi darasani, watu wazima hupelekea hata kupata ugumu wa kupata kazi na...
Acha akili kubwa iendelee kuongoza dunia na itakuwa hivyo milele
Najifunza mengi sana kwenye hii vita
Ukiangalia mashambulizi ya pande zote Mbili, Iran na Israel
Huwenda uwezo wao ni mmoja tu na ama wanazidiana kidogo sana ila akili ndiyo inayoamua hii vita
Mashambulizi ya Iran yanalenga...
🏗️ Mkuzibuilders – Your Trusted Building Partner!
We specialize in building design, construction, renovation, and consultation services. Whether you're starting from scratch or upgrading your space, our expert team is here to bring your vision to life with quality and professionalism.
📞 Call...
John John Mnyika is a Tanzanian CHADEMA politician and his party Secretary General.
Early Life and Education
Mnyika earned his degree from the University of Dar es Salaam. His early career focused on political activism and development work. He was focused on democratic reforms and governance...
Introduction
Taxation represents one of the most consequential exercises of state authority. It directly affects both individual livelihoods and the economic vitality of businesses. Yet, as essential as it is, the authority to tax must be carefully constrained by the law. It must be exercised...
If you can’t think critically, better stay away from this post aka thread.
Hivi karibuni taarifa za kifedha za mkuu mmoja nchini zilisambazwa kwenye mitandao ya kijamii zikionesha kiasi cha zaidi ya bilioni 1 kikiwa kwenye akaunti yake. Hatua hii iliibua maswali mengi miongoni mwa wananchi...
Nimekutana na andiko linalokosoa kampeni zilizomfanya Janabi ashinde, andiko hili sijaona muandishi wake lakini lina mashiko kwa namna moja au nyingine. Ikumbukwe Ndugulile alishinda bila kampeni kama zilivyokuwa kwa dr Janabi, yaani wanasema kinachohitajika ni discreet diplomacy. Makosa...
Cheers Prof. Janabi for WHO Afro Director Election Trust!
I ‘m humbly writing this congratulatory massage to eagerly create a lasting impression of the same on your desk! I sincerely reiterate my proudly congratulation yet, extremely welcoming the trust WHO Afro member states bestowed on...
Hakuna jambo linafurahisha kama kuona mtanzania mwenzetu anapata mafanikio makubwa kimataifa. Sisi watanzania wazalendo tumeupokea taarifa za kuchaguliwa kwako kuwa mkurugenzi wa WHO Afrika matumaini makubwa.
Nafasi aliyoipata Prof. Janabi ni ushindi wetu watanzania kama Taifa. Katika hili...
Kwanza napenda kumpongeza Prof. Mohamed Yakub Janab kuwa Mkurugenzi Mteule wa Kanda ya Afrika wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa kipindi cha 2025–2030.
Napenda kufahamu sisi kama watanzania pamoja na nchi kwa ujumla tutanufaika vipi na uteuzi huu.
Naomba kuwasilisha
The introvent ✍️
Soma...
Hii ni taarifa ya hivi punde.
Prof. Mohamed Janabi ambaye pia ni Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili amechaguliwa kuongoza Shirika la Afya Duniani ukanda wa Africa.
Pongezi nyingi kwake na watanzania.
===============
Profesa Mohamed Janabi, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa...
kwa wanaofwatilia mgombea wa tanzagiza huko geneva, ningependa kujua huko who officialy wanamtambulishaje? je, wanamuita profesa Janabi pia kama sisi tanzagiza au wanamtambulishaje?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.