who

  1. R

    JamiiForums Tanzania Wanakudai TRILLION 107, Halafu unawaambia who are you?

    Maajabu hayaishi na tumepatwa kweli kweli. WHO THEY ARE 1. MILITARY SUPER POWERS 2. ECONOMIC SUPER POWERS 3. Wana nguvu ya kijeshi, wakiamua leo unauachia urais na ukienda kwa wajomba arabuni wanakunyofoa huko na kukushughulikia. Ni hayo tu kwa leo.
  2. F

    JamiiForums Tanzania Who are you to kill Tanzanians?

    Who are you uwafungie wapinzani ndani angali wewe unafanya kampeni? Who are you ufanye uchaguzi mbovu na kuwalazimisha watu wakubali matokeo? Who are you uuwe vijana wetu na uwalaumu wazazi kwa mauaji ya vijana wao? Who are you uunde tume ya kuchunguza mauaji uliyofanya kupitia vyombo vya dola...
  3. S

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kwa kiburi hiki, hivi EU na US wakituwekea vikwazo vya kiuchumi, tutamaliza hata mwaka tukiwa salama?

    Licha ya nchi yetu kuwa tegemezi na ombaomba, vitu vingi tunaagiza kutoka nje zikiwemo nchi za Ulaya na Marekani. Sasa najiuliza, na hawa mabwana nao wakiamua kutunisha misulu kwa kupiga marufuku biashara yoyote ile na Tanzania ikiwemo kutokutuuzia silaha, kutoruhusu ndege zetu kutua nchi za...
  4. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Amenichamba kimatumbi! Who are me?

    Baada ya kumuona tabia zake hatuendani nikaamua kumpiga stop asifike kwangu tena.. Na waraka rasmi nikamuandikia usomwe na watu wake kwamba hana kibali tena ya kutia matendegu yakwe kwangu Kumbe bwana alikuwa na kinyongo kikali na hasira za mkizi Sasa kaniandalia kigoma na tarumbeta juu...
  5. President of China

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenyans who expected Tanzania to fall after the elections have become frustrated - Now they are spreading false propaganda

    Tanzanian security is very complex. Ignorant fools might think that what happened was a surprise. No, it was planned for many years with the aim of destroying Tanzania. National Security was closely monitoring every step that was being taken and all the plans. Security matters are not about...
  6. TODAYS

    JamiiForums Tanzania Je, Damu za Raia Ndiyo Ufunguo wa Kimamlaka Uongozi?

    Kama Unavielewa Vile Vyama Vya Siri na Wanaoiiendesha Dunia Karibu Tujadili kwa Undani. Niendelee kutoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki waliopotezwa kwa kuuliwa kupitia askali waajiliwa wa government yetu. Nimejiuliza kimya kimya ila jibu linakosekana ila matukio mengi huko nyuma na sehemu...
  7. figganigga

    JamiiForums Tanzania GE2025 These are the Presidents who attended the swearing in of president Suluhu Hassan

    These are the Presidents who attended the swearing in of president Suluhu Hassan of Tanzania 🇹🇿 and Africa must put them on notice! They are the Presidents of: Zambia 🇿🇲 Somalia 🇸🇴 Burundi 🇧🇮 and Mozambique 🇲🇿. MY TAKE; 🤣🤣🤣🤣🤣
  8. Logikos

    JamiiForums Tanzania Should a mother be judged for sacrificing love to secure her family's future?

    Putting it mildly.... Is it selfish for a mother to prioritize financial security over romantic love? or is it heroic and self sacrifice for the benefit of her kids "Materialist or Martyr? A Mother's Sacrifice." Je asifiwe kwa kujinyima furaha ya roho yake, hata kwenda kwa mtu asiyempenda au...
  9. JITU BANDIA

    JamiiForums Tanzania Pole, Na Karibu Kaanani Mpya na Makao Mapya! Cry no more!. (For those who are living in the future!)

    Ni wengi tuliokuwa nao katika hii safari, wachache wametuacha siku chache tu zilizopita...kimwili hatuko nao, kiroho tuko nao...mashujaa wetu...wengi walitamani kuifikia hii nchi ya ahadi, lakini wametuacha.... tufurahi pamoja katika nchi mpya ASEMA BWANA WA MAJESHI!... Jaribu kuishi nami mbele...
  10. Vedasto Prosper

    JamiiForums Tanzania Dk. Alex Ntale Gasasira, awasilisha hati rasmi za uwakilishi mpya wa WHO nchini Tanzania

    Dar es Salaam , 14th Ocotber 2025 - Mwakilishi mpya wa Shirika la Afya Duniani (WHO) nchini Tanzania, Dk. Alex Ntale Gasasira, amewasilisha rasmi nyaraka zake za uteuzi kwa Mheshimiwa Cosato Chumi, Mbunge na Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, katika hafla...
  11. MaxShimba

    JamiiForums Tanzania Who is God, and from where did He originate?

    A Theological Inquiry into the Nature, Attributes, and Works of God Introduction: The Foundational Question The question, "Who is God and from where did He originate?" is of profound significance. The answer to this inquiry fundamentally shapes one's worldview, ethics, and ultimate destiny. It...
  12. La Roche

    JamiiForums Tanzania What should you do if you love someone who doesn't love you?

    Move on. Period Everyone is entitled to his/her preferences and if someone doesn't love you its their choice. You can't question it or find faults with your self. Waiting for the person till eternity to notice your love or accepting it will only waste your time and you will get hurt at every...
  13. R

    JamiiForums Tanzania WHO: Takribani Watu 727,000 hupoteza Maisha kila Mwaka Duniani kwa Kujiua

    Rekodi ya Shirika la Afya duniani (WHO) inaeleza kuwa, kila mwaka watu wapatao 727,000 hupoteza maisha kwa kujiua, na idadi kubwa zaidi hujaribu kujiua lakini hunusurika. Kila tukio la kujiua ni janga kubwa linaloathiri familia, jamii na hata mataifa kwa ujumla, likiacha madhara ya kudumu kwa...
  14. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Uhuru wa wengine ni uhuru wetu. Tukinyamaza hata humu JF ipo siku. Ndio Maana Watibeli tunahangaika. Walianza CDM wameingia CCM. Who's next.

    Habari za Sabato! Mbinu rahisi ya kuwafanya watu watumwa ni kuwafanya waone Uhuru wa wengine hauwahusu. Kuona kuonewa kwa wengine ni juu yao, ilimradi wao wapo salama basi, wengine wakionewa haiwahusu. Hiyo inaitwa Divide and Rule technique. Hakuna jamii rahisi kuitawala na kuifanya watumwa...
  15. DogoWaNjombe

    JamiiForums Tanzania Nchi Wanachama wa WHO - Kanda ya Afrika wakutana kujadili uimarishji wa viwanda vya kuzalisha Dawa Afrika

    Nchi wanachama wa Shirika la Afya Duniani (WHO) Kanda ya Afrika wamekutana Lusaka Zambia kujadili masuala mbalimbali yenye lengo la kuboresha afya kwa nchi wanachama na agenda mojawapo ikiwa ni uimarishaji wa viwanda vinavyozalisha dawa ili nchi hizo zijitosheleze kwa dawa na kupunguza...
  16. Sky Eclat

    JamiiForums Tanzania The salve trader who became a slave

    The Slave Trader Who Became a SIave Ayuba Diallo was born in 1701 in what is now Senegal 🇸🇳. His father was a sIave trader, and Diallo helped him with the business as he grew older. However, during one of his trips, Diallo's life changed dramatically. He was captured by European traders...
  17. M

    JamiiForums Tanzania People who are on social media

    People on social media won’t tell you their parents cover their rent. They won’t tell you an old man is funding their lifestyle in exchange for sex. They won’t tell you their “business success” started with inherited money. Moreover They won’t admit that relatives in government...
  18. Griss

    JamiiForums Tanzania Who is this Man? Mwenye CV yake

    Huyu ni Nani? Naomba mwenye CV yake aiweke hapa Ndiye new boss wa SSIT? Ataweza? Jw watakubali? Vijana wa Nyerere watakubali?
  19. ERTUGRUL BEY

    JamiiForums Tanzania Fo àll those who want to go Abŕoad for better life,listen to this dude!

    Ni hayo tu!
  20. MoroGent

    JamiiForums Tanzania Robin Sharma: Who Will Cry When you Die?

    Salaam sana Wakuu, Leo nimewiwa kutoa muhtasari wa kitabu cha "Who Will Cry When You Die?" Kilichoandikwa na mwandishi maarufu aitwaye Robin Sharma (huyu ndo ameandika pia The monk who sold his ferrari, The leader who had no title na The 5 AM Club). Kitabu hiki kinavutia sana kukisoma kwa...
Back
Top Bottom