who

  1. R

    JamiiForums Tanzania WHO WINS WHEN TAX LAWS ARE UNCLEAR?

    Introduction Taxation represents one of the most consequential exercises of state authority. It directly affects both individual livelihoods and the economic vitality of businesses. Yet, as essential as it is, the authority to tax must be carefully constrained by the law. It must be exercised...
  2. P

    JamiiForums Tanzania Nani wa kumhoji nani? An open discussion to those who can critically think on behalf of others

    If you can’t think critically, better stay away from this post aka thread. Hivi karibuni taarifa za kifedha za mkuu mmoja nchini zilisambazwa kwenye mitandao ya kijamii zikionesha kiasi cha zaidi ya bilioni 1 kikiwa kwenye akaunti yake. Hatua hii iliibua maswali mengi miongoni mwa wananchi...
  3. OLS

    JamiiForums Tanzania Kampeni za kumfanya Janabi awe Mkurugenzi wa WHO zinaweza kuwa sababu ya kuondosha ndoto hiyo

    Nimekutana na andiko linalokosoa kampeni zilizomfanya Janabi ashinde, andiko hili sijaona muandishi wake lakini lina mashiko kwa namna moja au nyingine. Ikumbukwe Ndugulile alishinda bila kampeni kama zilivyokuwa kwa dr Janabi, yaani wanasema kinachohitajika ni discreet diplomacy. Makosa...
  4. funaku

    JamiiForums Tanzania CCM Yatoa pongezi kwa Mkurugenzi Mteule wa WHO kanda ya Afrika Dr. Yakub Janabi

    CCM Inamtakia mafanikio mema katika majukumu yake mapya.
  5. Stephano Mgendanyi

    JamiiForums Tanzania Cheers Prof. Janabi for WHO Afro Director Election Trust!

    Cheers Prof. Janabi for WHO Afro Director Election Trust! I ‘m humbly writing this congratulatory massage to eagerly create a lasting impression of the same on your desk! I sincerely reiterate my proudly congratulation yet, extremely welcoming the trust WHO Afro member states bestowed on...
  6. Dr Adam Francis

    JamiiForums Tanzania Hongera Prof. Mohammed Janabi, Mkurugenzi WHO Afrika

    Hakuna jambo linafurahisha kama kuona mtanzania mwenzetu anapata mafanikio makubwa kimataifa. Sisi watanzania wazalendo tumeupokea taarifa za kuchaguliwa kwako kuwa mkurugenzi wa WHO Afrika matumaini makubwa. Nafasi aliyoipata Prof. Janabi ni ushindi wetu watanzania kama Taifa. Katika hili...
  7. The introvert

    JamiiForums Tanzania Tanzania itanufaika vipi na uteuzi wa Prof. Janabi WHO

    Kwanza napenda kumpongeza Prof. Mohamed Yakub Janab kuwa Mkurugenzi Mteule wa Kanda ya Afrika wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa kipindi cha 2025–2030. Napenda kufahamu sisi kama watanzania pamoja na nchi kwa ujumla tutanufaika vipi na uteuzi huu. Naomba kuwasilisha The introvent ✍️ Soma...
  8. meningitis

    JamiiForums Tanzania Prof. Mohamed Janabi achaguliwa kuongoza WHO AFRO

    Hii ni taarifa ya hivi punde. Prof. Mohamed Janabi ambaye pia ni Mkurugenzi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili amechaguliwa kuongoza Shirika la Afya Duniani ukanda wa Africa. Pongezi nyingi kwake na watanzania. =============== Profesa Mohamed Janabi, Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa...
  9. Kijakazi

    JamiiForums Tanzania WHO inamuita Janabi pia profesa?

    kwa wanaofwatilia mgombea wa tanzagiza huko geneva, ningependa kujua huko who officialy wanamtambulishaje? je, wanamuita profesa Janabi pia kama sisi tanzagiza au wanamtambulishaje?
  10. Roving Journalist

    JamiiForums Tanzania Kikao Maalum cha Pili cha Kamati ya Kanda ya WHO kwa Afrika. Prof Janabi anamwaga sera

    https://www.youtube.com/live/vVff21KwD50?si=4cn52B2JbabvDOdb The second special session of the WHO Regional Committee for Africa will be held in a virtual format on 18 May 2025 under Special procedures for the conduct of the virtual special session of the Regional Committee for Africa. The...
  11. L

    JamiiForums Tanzania PICHA: Jenista Mhagama Akimfanyia Sala na Maombi Mazito Profesa Janabi Muda mfupi kabla ya kuingia katika Uchaguzi Wa Mkurugenzi Mkuu wa WHO Afrika

    Ndugu zangu Watanzania, Taifa letu siku zote limekuwa la Kumtanguliza,kumtegemea na kumtumainia Mwenyezi Mungu kwa kila kitu. Ni Taifa ambalo limekuwa likijiweka mikononi mwake Mungu kwa kila jambo. Limekuwa ni Taifa la kujinyenyekeza na kuutafuta uso wake Mungu wakati wote,limekuwa ni Taifa...
  12. peno hasegawa

    JamiiForums Tanzania Concerns About Electoral Integrity: Is WHO Africa Addressing Fraud in Janabi's Candidacy?

    The question I’m asking is: "Does WHO Africa not have electoral fraud to allow Janabi to win?" I raise this question because this candidate comes from a country that has a history of electoral malpractices and vote rigging. Electoral integrity is crucial for any democratic process. When a...
  13. L

    JamiiForums Tanzania Jenista Mhagama Atua Geneva Uswisi Kufanya Kampeni Nzito Za Kumnadi Profesa Janabi. Afanya vikao Vizito kwelikweli

    Ndugu zangu Watanzania, Mambo yanaendelea kunoga ,mambo yanaendelea kuiva. Tanzania inaendelea kugonga vichwa vya habari, Tanzania inaendelea kutikisa Huko Duniani, Tanzania inaendelea kuteka mioyo ya watu, Tanzania inaendelea kuchanja mbuga mioyoni mwa watu. Tanzania inaendelea kuonyesha...
  14. S

    JamiiForums Tanzania Who The Cap Fit -- Bob Marley

    Man to man is so unjust, children You don't know who to trust Your worst enemy could be your best friend And your best friend your worst enemy ### Some will eat and drink with you Then behind them so-so 'pon you Only your friend know your secrets So only he could reveal it Hypocrites and...
  15. U

    JamiiForums Tanzania What are the names of the 2 deadly Jins believe d to be available at lavatories

    Wadau hamjamboni nyote .. What are the names of the 2 deadly Jins believe d to be available at lavatories
  16. Kagemro

    JamiiForums Tanzania ““Listen! I am coming like a thief! Happy is he who stays awake and guards his clothes, so that he will not walk around naked and be ashamed in public

    Samia the bible in ReV: 16:15 It says : ““Listen! I am coming like a thief! Happy is he who stays awake and guards his clothes, so that he will not walk around naked and be ashamed in public!”” ‭‭Revelation‬ ‭16‬:‭15‬ Please step down now ! The hand of God will fall on you very soon! You have...
  17. funaku

    JamiiForums Tanzania Je Jesca Magufuli ni nani?

    Tumeona vipande vya Mahojiano kati ya mwandishi Millard Ayo na Mtoto wa aliyewahi kuwa kiongozi Mkuu nchini. Jambo hili ni la kipekee na kihistoria nchini. Humu jamvini na mtandaoni tuliwahi kumtaja au kumjadili Jesca Magufuli wakati wa uhai wa baba yake. Yapo tuliyozusha au kuyasema bila...
  18. SSH2025_2030

    JamiiForums Tanzania Janabi akishindwa WHO itakua aibu kwetu, apikwe kijadi pia

    Mheshimiwa Janabi akishindwa huko WHO aibu inarudi kwetu. Tafadhali apelekwe Mlingotini apikwe kijadi pia. Siku ya kupiga Kura hao wapigaji Kura waone jina lake tu.
  19. Poppy Hatonn

    JamiiForums Tanzania Prof Janabi anaweza kushinda nafasi ya WHO Africa?

    What is happening ni kwamba Wamarekani waliiahidi Serikali ya Tanzania kuipa chanjo za magonjwa mbali mbali kwa masharti kwamba Tanzania lazima ikubali genetic experiments zifanyike on the Tanzanian population. Yaani hizi genetic experiments zifanyike with no or limited monitoring by our own...
  20. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Nafasi ya Janabi kushinda WHO ni finyu

    Mwamba kwenye CV yake hakuna popote unapomuona alifanya kazi za kimataifa/WHO (Magonjwa ya milipuko) zaidi ya Teuzi za hapa na pale. Na lile Jambo letu!
Back
Top Bottom