who

  1. peno hasegawa

    JamiiForums Tanzania Tundu Lissu's wrongful imprisonment on treason charges may affect Professor Janabi 's WHO leadership candidacy

    Tundu Lissu’s wrongful imprisonment on treason charges has significant implications, not only for his political career but also for the broader context of leadership in Tanzania and beyond. Lissu, a prominent opposition figure, has been a vocal advocate for democracy, human rights, and good...
  2. and 998 others

    JamiiForums Tanzania Janabi apewe hadhi ya Ubalozi kisha ateuliwe Waziri itainua CV yake huko WHO

    Mwamba apewe; 1. Hadhi ya Ubalozi, 2. Ateuliwe Ubunge [viti maalum], 3. Apewe Uwaziri hata kwa siku chache tu, hili litainua CV yake huko WHO. **Vinginevyo mchuano ni mkali na kule huwezi kuiba kura. ***Kura zilindwe na Polisi wetu, kisha mshindi atangazwe usiku wa manane.
  3. Y

    JamiiForums Tanzania Who owes allegiance to the United Republic Of Tanzania? (Ni nani anapaswa kuwa muaminifu kwa Jamhuri ya Muungano Tanzania)?

    FOR ACADEMIC PURPOSE ONLY. Uaminifu au utii kwa Nchi ni jukumu mama na la kwanza kwa Kila raia wa Nchi husika. Mtu yeyote asiye raia anaweza kutokuwa muamimifu kwa Nchi yoyote na isiwe na madhara kwakwe Lakini sio kwa upande wa Raia. Uaminifu kwa Nchi unazaliwa na uraia wa Mtu au unaanza na...
  4. Komeo Lachuma

    JamiiForums Tanzania Tupeane Updates Uchaguzi wa WHO Janab anaendeleaje na maandalizi

    Wamefikia wapi na mwakilishi wetu ambaye amechukua nafasi ambayo alitakiwa kuwa nayo Mpambanaji Dr. Ndugulile? Uchaguzi unafanyika lini?
  5. L

    JamiiForums Tanzania VIDEO: Rais Samia amuombea kura za Ukurugenzi wa WHO Mohammedi Janabi

    Ndugu zangu Watanzania, Nashindwa niandike nini ,nashindwa niseme nini ,nashindwa nieleze vipi juu ya uwezo mkubwa wa kiakili alionao na aliojaliwa kuwa nao Rais wetu Mpendwa Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan. Rais Samia ni Mpango wa Mungu,ni chaguo la Mungu na kapewa akili nyingi na...
  6. DR HAYA LAND

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Being a responsible Father, and being a man generally is not easy and every Father that bounced had a reason trust me!

    Unapokua na kuwa Baba unaanza kuona picha tofauti. Hapa ndo unaanza kuona kuna kitu kinaitwa Afya ya Akili . Unapowatazama watoto wako Unapoiwaza kesho ya watoto wako. Uku ukidaiwa bills , ukidaiwa muda wa kukaa na familia , ukidaiwa kuwajibika kikamilifu ili kuhakikisha watoto na familia...
  7. H

    JamiiForums Tanzania "Soon u will find out who is the real revolutionary..." Prophet Bob Marley

    when Bob got the invitation to Zimbabwe Independence celebration he contacted his two brothers to join him and they both chickened out...
  8. Tlaatlaah

    JamiiForums Tanzania Prof. Mohamed Janabi ana nafasi kubwa zaidi ya kuchaguliwa kua mkurugenzi mtendaji wa who kanada ya Afrika

    Licha ya kua ana sifa zote, vigezo na masharti tajika ya kitaaluma kulingana wajibu anaoelekea kuutwaa, uzoefu usio na shaka wa Prof.Janabi katika kazi za kada ya Afya kitaifa na kimataifa ni wa kuaminika. Lakini pia umahiri, bidii na ubobevu wake katika masuala ya tiba na tafiti mbalimbali za...
  9. Strong and Fearless

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania How Do You “Steal” Your Best Friend Who Is Already in a Relationship?

    Wakuu, naomba ushauri kwa niaba ya rafiki yangu. Ana best friend wa kiume ambaye wamekuwa close for a long time. Wanaelewana sana, wanashare almost everything, and deep down, anahisi huyo ndo mwanaume sahihi kwake. The problem is—huyo mwanaume tayari yupo kwenye serious relationship! Sasa...
  10. peno hasegawa

    JamiiForums Tanzania UMATI - Tanzania, msipojipanga ,kubana matumizi, mradi wa afya ya uzazi, unakufa asubuhi na mapema, kufuatia kujiondoa kwa Marekani WHO!

    Kupunguzwa kwa misaada rasmi ya maendeleo, hususan kutoka kwa nchi kama Marekani, kumeathiri pakubwa shughuli za Shirika la Afya Duniani (WHO) na miradi yake, ikiwemo ile inayohusiana na afya ya uzazi. Hali hii inasababisha changamoto kubwa katika utekelezaji wa mipango ya afya, hasa katika...
  11. milele amina

    JamiiForums Tanzania Professor Janabi is set to compete with other candidates in a debate for the position of Director of the WHO Africa Region on April 2,2025

    Professor Janabi is set to compete with other candidates in a debate for the position of Director of the WHO Africa Region on April 2. I feel a sense of sympathy for him, as many Tanzanians are often hesitant to engage in debates like this. This fear can be attributed to several factors that...
  12. T

    JamiiForums Tanzania Ningekuwa mimi, nisingeruhusu Prof. Janabi agombee WHO kanda ya Africa

    Nionavyo mimi kule WHO kanda ya africa ni mahali sio pazuri kupeleka mtu kwa Tanzania tumeshapoteza watu wawili mysterious na sote tumewazika bila kujiuliza why haya yanatokea... Wakati kwa Tz tuna fanya siasa kwenye hii nafasi basi tukumbuke hii nafasi ni nafasi ya hatari na kama mnataka mpata...
  13. F

    JamiiForums Tanzania Watanzania hatupaswi kufanya chochote kumsaidia professor Janabi kushinda ukurugenzi wa WHO kanda ya Africa

    Nimesikia watu mbalimbali na hata viongozi wakubwa kabisa wakisema watanzania tufanye kila tuwezalo ili professor Janabi ashinde kinyan’anyiro cha uchaguzi wa mkurugenzi wa WHO kanda ya Africa. Tufanye nini ili ashinde? Kwa bahati mbaya tumezoea zile chaguzi ambapo watu wasio na sifa wanapigiwa...
  14. C

    JamiiForums Tanzania Kenya wanampambania Nduta asinyongwe Vietnam Vs TZ tupambanie Janabi ashinde WHO Africa

    1. Kama Taifa twende na Professor Mkuu Janabi (PhD) ili ashinde huko WHO Africa (baada ya Dr Ndugulile kufariki dunia) Diplomasia yetu ikue. 2. Tujifunze kwa majirani wao wamempambania Odinga Africa Union na sasa Nduta asile kitanzi huko Vietnam.
  15. milele amina

    JamiiForums Tanzania Utabiri: Mkurugenzi wa WHO Kanda ya Afrika Kutoka Ivory Coast, West Africa

    Katika miaka ya hivi karibuni, shirika la afya duniani (WHO) limekuwa na jukumu muhimu katika kushughulikia changamoto za afya zinazokabili nchi mbalimbali, hasa barani Afrika. Mkurugenzi wa WHO Kanda ya Afrika anatarajiwa kuchaguliwa hivi karibuni, na kuna uwezekano mkubwa kwamba atakuwa...
  16. C

    JamiiForums Tanzania Jenista Mhagama jitokeze kumnadi Prof Janabi ashinde WHO

    1. Waziri mwenye dhamana jitokeze kumnadi Mgombea wetu huko WHO. Akishinda Prof tumeshinda Tanzania nzima (bila kujali kabila wala Dini) 2. Nenda G20, AU, ECOWAS , COMESA, IGAD, EAC, Vatican na tumia network yako mliosoma nao Harvard University. 3. Mwijaku, Babalevo na Steve Nyenyere...
  17. R

    JamiiForums Tanzania Who is likey to be the looser between Belgium and Rwanda

    Nani wa kupoteza kati ya hao katika kila nyanja...kiuchumi, kijeshi, kidplomasia etc etc.
  18. The Burning Spear

    JamiiForums Tanzania All african leaders who tried to do good things for their countries were assassinated.

    Yes this is very true. The good example is gadaffi and magufuli.
  19. Mkalukungone Mwamba

    JamiiForums Tanzania Prof. Mohamed Janabi Miongoni mwa Wagombea wa Ukurugenzi wa WHO Kanda ya Afrika

    PROFESA Mohamed Janabi, jina lake limetangazwa rasmi kuwa miongoni mwa wagombea watano katika kuwania nafasi ya Mkurugenzi wa Kanda ajaye wa Shirika la Afya Duniani (WHO) kwa Kanda ya Afrika. Prof. Janabi, ambaye pia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) anawania kiti...
  20. Alvin_255

    JamiiForums Tanzania Who gives general odds in betting platforms?

    The general odds in betting platforms are set by a combination of algorithms, data analysis, and human expertise. Here's a breakdown of how this process typically works: 1. Oddsmakers (Bookmakers): Role: Oddsmakers, also known as bookmakers, are professionals employed by betting companies who...
Back
Top Bottom