Wahuni sio watu. Wajua hali haitabiriki. Wameandaa mpango wa kumtelekeza mateka wao. Tayari ajua ameingia kwenye kumi na nane za wahuni. Hajui atokeje. Walahi hii mambo hii yachekesha. Na bado
Duniani kosa vyote usikose akili
Bibi muuaji baada ya kuuwa Watanganyika alijisifia kwa ngebe mbele ya Wazee wa Dar es Salaam kuwa nguvu aliyotumia hadi kuuwa watu ilikuwa sahihi.
Zaidi akawauliza Waliomsema kuua, kuteka na kupoteza watu hasa Marekani na Umoja wa Ulaya "Who are You?" Huku...
Ndugu Watanzania naomba tutafakari hii hoja iliyoko kwenye swali, nani hasa kwa sasa anaongoza nchi yetu?
Kwa nini nimeleta hii hoja? Nina sababu kadhaa ambazo nitazitanabaisha hapa chini:
1. Ndugu Samia Suluhu Hassan akiwa bungeni mara baada ya kujitangaza mshindi katika uchaguzi ambao...
Dunianyote imelalamika kuwa ripoti hiyo haiwezi kuwa independent, neutral and credible. Essence ya investigative ripoti ni kupata ukweli, ukweli usio na mashaka. Sasa consumers wanasema kitakachoandikwa hapo hatutakikubali kwa sabahu hakiko independent. Iko biased, corrupted at the onset and you...
Huyu Mama na Chama cha Mafisadi hadi leo watu hawana maji mji mkubwa watu wana nunua maji na mgao wa umeme. Tusishangae hawashindi mpaka kuiba kura maana ni nani mwenye akili zake atawapigia kura watu ambao hawawezi kuleta maji na kutegemea mvua kwa miaka 60! Walisema tutauza umeme nje leo kuna...
Guys, guys, guys this is economic sabotage, maadui zetu wanatuonea wivu sababu ya maumbile yetu na rasilimali tulizonazo. Tanzania ina bahari, maziwa, mito, mabwawa ila maadui zetu wanasababisha mpaka sasa miaka 64 ya uhuru maji si ya uhakika.
Guys, natamani mfunguke mjue hii ni economic...
Alianza nasisi vizuri tu. Hata ile Oct 29 aliifanya kuwa siku nzuri kwa makundi yote. Waliotoka na waliotiki. Haikunyesha mvua siku hiyo.
Kisha damu nyingi sana ya wasio na hatia ikamwagwa ndani ya siku hizo tatu. Bila shaka kitendo hicho kilimsononesha na kumuudhi sana.
Usiku wa oct 31...
Maajabu hayaishi na tumepatwa kweli kweli.
WHO THEY ARE
1. MILITARY SUPER POWERS
2. ECONOMIC SUPER POWERS
3. Wana nguvu ya kijeshi, wakiamua leo unauachia urais na ukienda kwa wajomba arabuni wanakunyofoa huko na kukushughulikia.
Ni hayo tu kwa leo.
Who are you uwafungie wapinzani ndani angali wewe unafanya kampeni?
Who are you ufanye uchaguzi mbovu na kuwalazimisha watu wakubali matokeo?
Who are you uuwe vijana wetu na uwalaumu wazazi kwa mauaji ya vijana wao?
Who are you uunde tume ya kuchunguza mauaji uliyofanya kupitia vyombo vya dola...
Rais Samia amesema katika visingizio vya upinzani kuepuka kushindwa na uchaguzi wanaweka visingizio, ambavyo vyote vinaungwa mkono na nchi za nje. Nje hawana aibu wanakaa wanasema Tanzania ifanye moja, mbili tatu halafu ndio itakuwa hivi, WHO ARE YOU?
Niawaulize kwao hayatokei? Tumenyanyua...
dhamira
katika
kuhoji
kujitoa
mustakabali
mustakabali wa taifa
nani
president
president samia
rais samia
samia
taifa
tec
teknolojia
ufahamu
wachafu
wakati
watawala
who
zao
Licha ya nchi yetu kuwa tegemezi na ombaomba, vitu vingi tunaagiza kutoka nje zikiwemo nchi za Ulaya na Marekani.
Sasa najiuliza, na hawa mabwana nao wakiamua kutunisha misulu kwa kupiga marufuku biashara yoyote ile na Tanzania ikiwemo kutokutuuzia silaha, kutoruhusu ndege zetu kutua nchi za...
Baada ya kumuona tabia zake hatuendani nikaamua kumpiga stop asifike kwangu tena.. Na waraka rasmi nikamuandikia usomwe na watu wake kwamba hana kibali tena ya kutia matendegu yakwe kwangu
Kumbe bwana alikuwa na kinyongo kikali na hasira za mkizi
Sasa kaniandalia kigoma na tarumbeta juu...
Tanzanian security is very complex. Ignorant fools might think that what happened was a surprise. No, it was planned for many years with the aim of destroying Tanzania.
National Security was closely monitoring every step that was being taken and all the plans.
Security matters are not about...
Kama Unavielewa Vile Vyama Vya Siri na Wanaoiiendesha Dunia Karibu Tujadili kwa Undani.
Niendelee kutoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki waliopotezwa kwa kuuliwa kupitia askali waajiliwa wa government yetu.
Nimejiuliza kimya kimya ila jibu linakosekana ila matukio mengi huko nyuma na sehemu...
These are the Presidents who attended the swearing in of president Suluhu Hassan of Tanzania 🇹🇿 and Africa must put them on notice!
They are the Presidents of:
Zambia 🇿🇲
Somalia 🇸🇴
Burundi 🇧🇮 and
Mozambique 🇲🇿.
MY TAKE;
🤣🤣🤣🤣🤣
Putting it mildly....
Is it selfish for a mother to prioritize financial security over romantic love? or is it heroic and self sacrifice for the benefit of her kids
"Materialist or Martyr? A Mother's Sacrifice."
Je asifiwe kwa kujinyima furaha ya roho yake, hata kwenda kwa mtu asiyempenda au...
Ni wengi tuliokuwa nao katika hii safari, wachache wametuacha siku chache tu zilizopita...kimwili hatuko nao, kiroho tuko nao...mashujaa wetu...wengi walitamani kuifikia hii nchi ya ahadi, lakini wametuacha.... tufurahi pamoja katika nchi mpya ASEMA BWANA WA MAJESHI!...
Jaribu kuishi nami mbele...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.