who

  1. R

    JamiiForums Tanzania WAZO LA LEO: Who Commits Genocide

    Genocide is committed by those who give orders and subordinates that obey these orders. Muwe na siku njema.
  2. Fbn

    JamiiForums Tanzania Kumbe kifupi cha FAFO ni kuwakumbusha Who Are YOu

    "F@#k Around, Find Out" .
  3. October 2pm

    JamiiForums Tanzania ‘Who are you’ naona wanaume wakikutaka. Endelea kujichomeka

    Wahuni sio watu. Wajua hali haitabiriki. Wameandaa mpango wa kumtelekeza mateka wao. Tayari ajua ameingia kwenye kumi na nane za wahuni. Hajui atokeje. Walahi hii mambo hii yachekesha. Na bado
  4. Lord Denning

    JamiiForums Tanzania Kama nawaona Wazee wa Dar es Salaam waliopiga makofi na kushangilia aliposema Who are you?

    Duniani kosa vyote usikose akili Bibi muuaji baada ya kuuwa Watanganyika alijisifia kwa ngebe mbele ya Wazee wa Dar es Salaam kuwa nguvu aliyotumia hadi kuuwa watu ilikuwa sahihi. Zaidi akawauliza Waliomsema kuua, kuteka na kupoteza watu hasa Marekani na Umoja wa Ulaya "Who are You?" Huku...
  5. salisalum

    JamiiForums Tanzania Who is in control? Nani hasa anatawala nchi yetu?

    Ndugu Watanzania naomba tutafakari hii hoja iliyoko kwenye swali, nani hasa kwa sasa anaongoza nchi yetu? Kwa nini nimeleta hii hoja? Nina sababu kadhaa ambazo nitazitanabaisha hapa chini: 1. Ndugu Samia Suluhu Hassan akiwa bungeni mara baada ya kujitangaza mshindi katika uchaguzi ambao...
  6. R

    JamiiForums Tanzania Who sensible màn will consume so called Judge Chande's 29th October 2025 massacre Investigation report?

    Dunianyote imelalamika kuwa ripoti hiyo haiwezi kuwa independent, neutral and credible. Essence ya investigative ripoti ni kupata ukweli, ukweli usio na mashaka. Sasa consumers wanasema kitakachoandikwa hapo hatutakikubali kwa sabahu hakiko independent. Iko biased, corrupted at the onset and you...
  7. K

    JamiiForums Tanzania Maji na umeme umekushinda umebaki na mdomo “ Who are You” !

    Huyu Mama na Chama cha Mafisadi hadi leo watu hawana maji mji mkubwa watu wana nunua maji na mgao wa umeme. Tusishangae hawashindi mpaka kuiba kura maana ni nani mwenye akili zake atawapigia kura watu ambao hawawezi kuleta maji na kutegemea mvua kwa miaka 60! Walisema tutauza umeme nje leo kuna...
  8. Its Tesha

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Maandamano yanaendelea huko nchini Ujerumani wanauliza " Samia who are you"

    "Tumekuja kuchukua miili ya ndugu zetu tukazike, Samia ondoka Ikulu hatukutaki WHO ARE YOU" Eva Shayo
  9. M

    JamiiForums Tanzania KERO Guys, hii ni vita ya uchumi, maadui zetu wamesababisha uhaba wa maji Dar. Who are you? They think they are still our masters?

    Guys, guys, guys this is economic sabotage, maadui zetu wanatuonea wivu sababu ya maumbile yetu na rasilimali tulizonazo. Tanzania ina bahari, maziwa, mito, mabwawa ila maadui zetu wanasababisha mpaka sasa miaka 64 ya uhuru maji si ya uhakika. Guys, natamani mfunguke mjue hii ni economic...
  10. MchelewajiSugu

    JamiiForums Tanzania Wanaotudai 107T, wamezuia misaada. Tukawashikia kiuno tukawahoji kwa dharau 'who are you?' Anayetupa kuishi kazuia mvua

    Alianza nasisi vizuri tu. Hata ile Oct 29 aliifanya kuwa siku nzuri kwa makundi yote. Waliotoka na waliotiki. Haikunyesha mvua siku hiyo. Kisha damu nyingi sana ya wasio na hatia ikamwagwa ndani ya siku hizo tatu. Bila shaka kitendo hicho kilimsononesha na kumuudhi sana. Usiku wa oct 31...
  11. R

    JamiiForums Tanzania Wanakudai TRILLION 107, Halafu unawaambia who are you?

    Maajabu hayaishi na tumepatwa kweli kweli. WHO THEY ARE 1. MILITARY SUPER POWERS 2. ECONOMIC SUPER POWERS 3. Wana nguvu ya kijeshi, wakiamua leo unauachia urais na ukienda kwa wajomba arabuni wanakunyofoa huko na kukushughulikia. Ni hayo tu kwa leo.
  12. F

    JamiiForums Tanzania Who are you to kill Tanzanians?

    Who are you uwafungie wapinzani ndani angali wewe unafanya kampeni? Who are you ufanye uchaguzi mbovu na kuwalazimisha watu wakubali matokeo? Who are you uuwe vijana wetu na uwalaumu wazazi kwa mauaji ya vijana wao? Who are you uunde tume ya kuchunguza mauaji uliyofanya kupitia vyombo vya dola...
  13. Common Folk

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Samia to Western Countries: Who are You? They think they are still our masters?

    Rais Samia amesema katika visingizio vya upinzani kuepuka kushindwa na uchaguzi wanaweka visingizio, ambavyo vyote vinaungwa mkono na nchi za nje. Nje hawana aibu wanakaa wanasema Tanzania ifanye moja, mbili tatu halafu ndio itakuwa hivi, WHO ARE YOU? Niawaulize kwao hayatokei? Tumenyanyua...
  14. S

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Kwa kiburi hiki, hivi EU na US wakituwekea vikwazo vya kiuchumi, tutamaliza hata mwaka tukiwa salama?

    Licha ya nchi yetu kuwa tegemezi na ombaomba, vitu vingi tunaagiza kutoka nje zikiwemo nchi za Ulaya na Marekani. Sasa najiuliza, na hawa mabwana nao wakiamua kutunisha misulu kwa kupiga marufuku biashara yoyote ile na Tanzania ikiwemo kutokutuuzia silaha, kutoruhusu ndege zetu kutua nchi za...
  15. Mshana Jr

    JamiiForums Tanzania Amenichamba kimatumbi! Who are me?

    Baada ya kumuona tabia zake hatuendani nikaamua kumpiga stop asifike kwangu tena.. Na waraka rasmi nikamuandikia usomwe na watu wake kwamba hana kibali tena ya kutia matendegu yakwe kwangu Kumbe bwana alikuwa na kinyongo kikali na hasira za mkizi Sasa kaniandalia kigoma na tarumbeta juu...
  16. President of China

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kenyans who expected Tanzania to fall after the elections have become frustrated - Now they are spreading false propaganda

    Tanzanian security is very complex. Ignorant fools might think that what happened was a surprise. No, it was planned for many years with the aim of destroying Tanzania. National Security was closely monitoring every step that was being taken and all the plans. Security matters are not about...
  17. TODAYS

    JamiiForums Tanzania Je, Damu za Raia Ndiyo Ufunguo wa Kimamlaka Uongozi?

    Kama Unavielewa Vile Vyama Vya Siri na Wanaoiiendesha Dunia Karibu Tujadili kwa Undani. Niendelee kutoa pole kwa ndugu, jamaa na marafiki waliopotezwa kwa kuuliwa kupitia askali waajiliwa wa government yetu. Nimejiuliza kimya kimya ila jibu linakosekana ila matukio mengi huko nyuma na sehemu...
  18. figganigga

    JamiiForums Tanzania GE2025 These are the Presidents who attended the swearing in of president Suluhu Hassan

    These are the Presidents who attended the swearing in of president Suluhu Hassan of Tanzania 🇹🇿 and Africa must put them on notice! They are the Presidents of: Zambia 🇿🇲 Somalia 🇸🇴 Burundi 🇧🇮 and Mozambique 🇲🇿. MY TAKE; 🤣🤣🤣🤣🤣
  19. Logikos

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Should a mother be judged for sacrificing love to secure her family's future?

    Putting it mildly.... Is it selfish for a mother to prioritize financial security over romantic love? or is it heroic and self sacrifice for the benefit of her kids "Materialist or Martyr? A Mother's Sacrifice." Je asifiwe kwa kujinyima furaha ya roho yake, hata kwenda kwa mtu asiyempenda au...
  20. JITU BANDIA

    JamiiForums Tanzania Pole, Na Karibu Kaanani Mpya na Makao Mapya! Cry no more!. (For those who are living in the future!)

    Ni wengi tuliokuwa nao katika hii safari, wachache wametuacha siku chache tu zilizopita...kimwili hatuko nao, kiroho tuko nao...mashujaa wetu...wengi walitamani kuifikia hii nchi ya ahadi, lakini wametuacha.... tufurahi pamoja katika nchi mpya ASEMA BWANA WA MAJESHI!... Jaribu kuishi nami mbele...
Back
Top Bottom