Mwaka 2014 wakati bwana Zuckerbeg anainunua whatsapp kwa dola za kimarekani 19 B watu waliona kama ni uharibifu wa pesa. Haikuwa clear ni kwa namna gani hii app ya kuchat itaweza kuingiza pesa. Fast forward 12 years later, sasa iko wazi jamaa anataka kurudisha pesa zake.
WhatsApp imeanza...
Ukiwa mume mwenye mke zaidi ya mmoja basi kila hatua unayochukua inakubidi uitafakari mara mbili. Hayo yametokea jana baada ya baba mwenye mji wake kumpost mke mdogo kwenye Status WhatsApp
Baada ya mara kwa mara mume kumpost bimkubwa status akaona leo ngoja nimrushe bimdogo nae hewani auze...
Kuna namba ya simu ipo kwenye Contact yangu nimeifutq kwenye Contact imefutika siioni lakini chakushangaza kwenye WhatsApp yangu bado hipo na status zake bado naziona. Nimejaribu kuifuta imegoma naombeni msaada shida itakua wapi.
Meta Imeweka Mkazo Zaidi Kwenye Huduma za Kulipia (Subscriptions)
Siku ya Jumatano, kampuni hiyo kubwa ya mitandao ya kijamii ilitangaza kuwa inazindua rasmi huduma zake za kulipia kwa watumiaji wa kawaida duniani kote kwenye programu zake kuu za Instagram, Facebook, na WhatsApp. Pia, imeanza...
Hivi ndivyo ilivyo Whatsapp status yangu kimaudhui
Dini (Mahubiri, nyimbo, Aya za biblia n.k)-50%
Mpira-20%
Matukio(ndoa, birthdays, misiba n.k)-20%
Fursa za uchumi,biashara-5%
Memes, Quotes-5%
KERO: MATUMIZI MABAYA YA MAKUNDI YA WHATSAPP WILAYANI SIHA
Mimi ni mkazi wa Wilaya ya Siha. Nina kero kuhusu uwepo wa makundi ya WhatsApp yanayotambulika kwa majina ya Siha Development, Siha Unity na Sauti ya Siha. Makundi haya ambayo awali yalikuwa yakitumika kujadili maendeleo ya wananchi...
Anonymous
Thread
makundi
makundi ya whatsapp
siha
udhalilishaji
watawala
whatsapp
Katika kipindi hiki cha digital, WhatsApp imekuwa zaidi ya app ya chatting. Leo watu wengi wanatumia WhatsApp kama njia ya kuuza bidhaa, kupata wateja na kuendesha biashara moja kwa moja kupitia simu zao.
Tatizo kubwa ni kwamba watu wengi bado wanatumia WhatsApp kawaida bila mfumo wa biashara...
Wengi tumezoea ukitaka kuhifadhi data zako zilizopo kwenye Whatsapp lazima uwe na Google Drive au icloud sio ๐ซข.
Jambo linalopelekea ukipoteza email ndo basi Tena huwezi kuzipata data zako kirahisi, Sasa jambo ilo linakwenda kufa.
Kwani watumiaji wengi wa Android wanatumia Google drive kuweza...
Habari,
Kuna baadhi ya matangazo ya KAZI huwa yanahitaji CV hasa kwa njia ya WhatsApp.
Je njia hii ni salama kwa ajili ya privacy nk?
Je ni hatari kiasi Gani?
Ahsante.
Wakuu wa JamiiForums, habari za muda huu.
Nimekuja hapa kuelezea machungu ya sisi wananchi wa Wilaya ya Simanjiro, hususan maeneo ya Terrat, na vijiji vyote vinavyopata umeme kupitia njia za Sinoni na Monduli.
Kiukweli hali ya umeme huku kwetu imekuwa ni kero isiyovumilika,Sijui kwa maeneo...
Kuna hii inaitwa Whatsapp bot ukiiset kwenye Whatsapp yako unaweza kupata features zifuatazo na hizi ni baadhi TU ila zipo 500+ Zaidi siwezi zielezea zote . Naelezea baadhi tu
1. Kuweza kuona messages zilizofutwa na mtu yoyote iwe kwenye groups Au messages ya kawaida.
2. Kuset always online...
Kwa nia njema ya kujumuika tena na wanangu wa sekondari. Safari hii ilikuwa kupitia WhatsApp group.
Halikuwa tofauti sana na magroup mengine, mambo yalikuwa ni yaleyale tu, kusaidiana kwenye shida na raha. Tuliweka mkakati mzuri wa kusaidiana kwenye misiba na ugonjwa.
Kosa nililofanya ni...
Hii December nimepigwa ban mara sita
Nimetumia number mpya hiyo hiyo ikapigwa ban
Nimeadd member kwenye group nikapigwa ban
Nimetuma text kwa chatgpt nikapigwa ban
Kurud hiv vitu vikawa vinarecover
Kutuma text kidogo ti ban
Ban ban
Christmas ban
Je wewe hii hali ishawahi kukutokea?
Ni...
Kwahiyo tumeanza kupangiana cha kufanya kwenye magroup au sio?
=============
Jeshi la Polisi mkoani Geita limewataka viongozi wa makundi Whatsapp kuchukua hatua madhubuti kudhibiti usambazaji wa taarifa za uchochezi na uvunjifu wa amani.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Safia Jongo ametoa...
Mange alikuwa anafowadiwa matukio mengi kwasababu alipatikana whatsap.
karibia kila mtu mwenye smartphone kajiunga whatsapp, wachache wapo instagram, wachache zaidi wapo X.
Wenzake kina Hilda, Sativa, Maria n.k. hawaweki hadharani namba zao za whatsapp, hutegemea zaidi Instagram na akaunti...
Sheria ya data protection inahusu watu gani?
Nimeshangaa kuona Polisi Tanzania wakivunja sheria and za nchi na luhumu watu kabla ya mahakama kutoa hukumu. Kosa ni kuwa CHADEMA na kupinga maovu yanayoendelea Nchini iikiwemo polisi kuua watu, na Uchafuzi wanaouita uchaguzi. Ukipinga maovu ya...