waziri mkuu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Influenza

    Meneja wa TANROADS nchini asema daraja la Kiyegeya limekatika kwa uchakavu. Je, Waziri Mkuu kumuondoa Meneja TANROADS-Morogoro alimuonea?

    Wakati meneja wa Tanroads mkoani Morogoro, Godfrey Andalwisye akiondolewa kwa madai ya kutokagua miundombinu, mtendaji mkuu wa taasisi hiyo, Patrick Mfugale amesema barabara ya Morogoro-Dodoma ni chakavu kwa kuwa imejengwa muda mrefu. Kauli hiyo ya Mfugale imekuja siku moja baada ya Waziri Mkuu...
  2. Influenza

    Waziri Mkuu aagiza Mweka Hazina wa Halmashauri ya wilaya ya Mkinga achunguzwe

    WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amemuagiza Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga Bibi Judica Omari achunguze utendaji kazi wa Mweka Hazina wa Halmashauri ya wilaya ya Mkinga, Bibi Juan Mening. Amesema hajaridhishwa na utendaji wake kwa kuwa ameshindwa kusimamia ukusanyaji wa mapato na hata hicho kidogo...
  3. beth

    Israel: Hatma ya Waziri Mkuu Netanyahu kujulikana leo

    Wananchi wa Israeli wanapiga kura leo Jumatatu katika uchaguzi usio wa kawaida na wa tatu nchini humo katika kipindi cha mwaka mmoja. Uchaguzi huu ndio utaamua kujulikana hatma ya Waziri Mkuu wa Benjamin Netanyahu ambaye anakabiliwa na kesi ya mashitaka ya ufisadi. Vituo vya kupigia kura...
  4. F

    Boris Johnson Waziri mkuu wa uingereza enzi za ujana wake utadhani jambazi

    1987 akiwa na umri wa miaka 23
  5. Kididimo

    Mh, Waziri Mkuu: Vyama Vikuu vya Ushirika vya SHIRECU na NCU vilitia umasikini wakulima wa Kanda ya Ziwa kwa wizi; kama wahusika wapo, wakamatwe.

    Awali ya yote, niipongeze TAKUKURU kwa namna wanavyoshughulikia wezi wa fedha na mali za vyama vya ushirika. Nimeona kule Kusini hasa zao la Korosho, wezi wakiamriwa kurejesha mamilioni ya fedha, Tabora nako nimeona. Kwa Mikoa ya Shinyanga na Mwanza, kuna Vyama viwili vya SHIRECU (Shinyanga) na...
  6. J

    Waziri mkuu Majaliwa: Wananchi wa Kigoma wanaongoza kwa kupenda kulipwa fidia na hivyo wanajicheleweshea maendeleo

    Waziri mkuu mh Majaliwa amesema wananchi wa Kigoma Ujiji wanapenda sana kulipwa fidia pindi miradi mikubwa ya maendeleo kama Hospitali, bandari na barabara. Majaliwa amesema kwa kufanya hivyo wana Ujiji wanajicheleweshea maendeleo wao wenyewe kwani kulipa fidia ni hisani siyo lazima. Kadhalika...
  7. beth

    Libya: Waziri Mkuu aonya kutokea kwa mgogoro baada ya miundombinu ya mafuta kufungwa

    Waziri mkuu wa Libya Fayez al-Serraj anayeongoza serikali inayoungwa mkono na jumuiya ya kimataifa amesema kufungwa kwa miundombinu ya mafuta nchini humo kutasababisha mgogoro mkubwa wa kifedha. Akizungumza na waandishi habari mjini Tripoli, Al-Serraj amesema hasara iliyokwishapatikana kutokana...
  8. Suley2019

    Dodoma: Waziri Mkuu asema Mikoa 18 imeathiriwa na mvua

    Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, amesema mvua kubwa inayoendelea kunyesha katika maeneo mbalimbali, mbali na kusababisha vifo, imeathiri barabara 73 na madaraja kwenye mikoa 18 nchini. Picha: Baadhi ya maeneo yaliyoathiriwa na mvua nchini. Amesema reli ya Tanga hadi Arusha, na Dar es Salaam hadi...
  9. GRAMAA

    Waziri Mkuu Bungeni: Serikali haiongozi kibabe na wala haijakataza mikutano ya kisiasa

    Leo bungeni kwenye kipindi cha maswali kwa Waziri Mkuu, mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe aliuliza maswali ya msingi sana kwa Waziri Mkuu. Maswali hayo yakiwepo. (i) Ni lini Serikali ya CCM itaruhusu vyama vya upinzani vifanye mikutano yao ili vijiandae na uchaguzi mkuu wa mwaka huu? (ii)...
  10. S

    Naomba tujadili kuhusu Ada ya upimaji viwanja

    Habari Wadau wa JamiiForums, leo nawaletea hoja ambayo imekuwa changamoto hasa kwa wananchi kuhusu tozo ya upimaji wa ardhi katika maeneo mengi Tanzania. Kuna maeneo ambayo yamepimwa na Halmashauri na baada ya Halmashauri husika kushindwa kulipa fidia kwa Wananchi, Uamuzi ulitolewa wananchi...
  11. Erythrocyte

    Hivi Makonda alipokuwa anatenda uhalifu wake viongozi wakuu wa Nchi kama Rais na Waziri Mkuu hawakuwa na Taarifa? Hawakujua ama hawakufahamu?

    Ikiwa kama Paulo Makonda ametenda unyama uliotajwa na Serikali ya Marekani na ambao umepelekea kudhalilisha nchi yetu kuliko ilivyowahi kudhalilishwa tangu Mungu aumbe mbingu na ardhi, nina swali dogo sana la kuuliza. Je alipokuwa anatenda uhalifu huo viongozi wakuu wa nchi hii akiwemo Rais...
  12. J

    Tetesi: Maalim Seif kugombea urais wa JMT, Mbowe mgombea mwenza Zitto Waziri Mkuu mtarajiwa; Lema kugombea Ubunge Hai

    Habari za chini ya carpet zinadai kuna mkakati mahsusi wa kiuchaguzi kati ya Chadema na ACT wazalendo ambapo baba wa upinzani maalim Seif anatarajiwa kugombea urais wa JMT. Mh Mbowe anatajwa kuwa mgombea mwenza huku Zitto Kabwe akiandaliwa kuwa Waziri mkuu. Godbless Lema naye anatajwa kuhamia...
  13. beth

    Lesotho: Waziri Mkuu atangaza kujiuzulu kufuatia tuhuma za mauaji ya aliyekuwa mkewe

    Waziri Mkuu wa Lesotho, Thomas Thabane ametangaza kwenye chama chake cha All Basotho Convention (ABC) kwamba atajiuzulu. Msemaji wa ABC ambacho ndicho chama tawala amesema kuwa Thabane atatangaza rasmi kujiuzulu Jumanne katika baraza la mawaziri. Hakuna sababu yoyote iliyotolewa kwa kiongozi...
  14. FRANC THE GREAT

    Waziri mkuu wa Urusi Dmitry Medvedev amewasilisha barua yake ya kujiuzulu kwa rais

    Waziri Mkuu wa Urusi Dmitry Medvedev ametangaza kuwa serikali imejiuzulu. Taarifa hiyo inakuja muda mfupi baada ya Rais Vladimir Putin kutoa hotuba yake ya kila mwaka ya kitaifa. Kukubaliana na kujiuzulu huko, Putin aliwaomba mawaziri kuendelea kufanya kazi hadi pale serikali mpya itakapoundwa...
  15. K

    Rais Trump sasa kukomaa na Waziri Mkuu wa Ethiopia

    Rais wa Marekani bwana Donald Trump amezidi kuwa kituko duniani pale aliposikika akiwalaumu watoaji wa tuzo ya Nobel kwa kumpatia tuzo hiyo Waziri Mkuu wa Ethiopia na kumuacha yeye ambaye amefanya kazi kubwa kuleta amani huko Ethiopia na kwingineko.
  16. J

    Je, kiitifaki Waziri mkuu wa Tanzania ni mkuu kuliko Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar?

    Nauliza kwa wale watu wanaoelewa vizuri mambo ya itifaki. Katika sherehe za mapinduzi Zanzibar, Waziri mkuu mh Majaliwa aliingia uwanjani baada ya makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar mh Idd Seif kuwa ameshaingia na wakati wa kuondoka alianza waziri mkuu kabla ya balozi Seif. Karibu kwa...
  17. beth

    Finland: Waziri Mkuu Sanna Marin apendekeza siku nne za kufanya kazi

    Waziri Mkuu mpya wa Finland Sanna Marin amependekeza nchi hiyo iwe na siku nne tu za kufanya kazi ili wananchi wawe na fursa kuwa na familia zao kwa muda mrefu zaidi na kufanya mambo mengine ya jamii ikiwemo michezo na utamaduni. Marin, akiwa kiongozi mkuu wa serikali mdogo kuliko wote duniani...
  18. Analogia Malenga

    Israel: Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu aomba kinga ya bunge dhidi ya mashitaka ya ufisadi

    Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, ameamua kutafuta kinga ya bunge dhidi ya mashitaka ya ufisadi yanayomkabili. Hatua hiyo huenda ikachelewesha kesi dhidi yake hadi uchaguzi utakapofanywa upya mwezi Machi. Mwezi Novemba, Waziri Mkuu alishitakiwa na mwanasheria mkuu kwa kutoa hongo...
  19. Nyendo

    Waziri Mkuu Johnson kutoa vipaumbele vyake

    Waziri Mkuu wa Uingereza Boris Johnson leo hii anatarajiwa kuelezea mipango yake, ya namna gani atatekeleza ahadi zake za kufanikisha kujiondoa katika Umoja wa Ulaya haraka na kupanua wigo wa huduma za afya nchi mwake. Katika hafla ya kuanza msimu mpya wa bunge la Uingereza, Malkia Elizabeth...
  20. J

    Je, yawezekana Kardinali Pengo ametuonyesha "moshi mweupe" wa mrithi wa Rais Magufuli mwaka 2025?

    Hawa maaskofu ndio wamepokea kijiti kutoka kwa Mtume Petro hivyo sauti na maono yao hutoka kwa Mungu. Kardinali Pengo ndiye pekee hapa nchini Tanzania mwenye kura ya kumchagua Baba Mtakatifu (Papa) wa dunia nzima. Nijuavyo mimi kumchagua Papa ni jukumu gumu na zito kuliko lile la kumtabiri...
Back
Top Bottom