Nimemsikiliza huyu mwanasayansi kijana anayelipwa Shilingi laki mbili kwa siku akikumbushia WAZIRI MKUU ahadi aliyoahidi young scientists wa Tanzania kuwa aitekeleze.
Nimemsikiliza huyu mwanasayansi kijana anayelipwa Shilingi laki mbili kwa siku akikumbushia WAZIRI MKUU ahadi aliyoahidi young scientists wa Tanzania kuwa aitekeleze.
Ingekuwa tunathamini sayansi tusinge wapeleka jela waletunaowakamata na karakana zao binafsi za kutengeneza magobore,zaidi tungewapa ufadhili waweze hata kubuni vifaru vya kibongo kama,sii mfano wa ak-47 ya ubunifu wa nyumbani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.