Vijana kama vijana tunasakamwa kila kona.Ukianzia nyumbani hapasomeki, wazazi wakati mwingine wanakuona kama mzigo, ukija kwa watengeneza sera wa nchi ndo balaaa! Viongozi wetu balaaa kubwa.Mara hatuwezi kuweka hata mbolea!
Kazi kushinda mitandaoni ohh!? Mara kazi kuvuta shisha.wakati tunakua tuliambiwa vijana ndio taifa la leo lakini kwa yanayotokea ina furahisha nadhani vijana wanaozungumziwa kama taifa la kesho nimekuja kugundua ni watoto kama wa akina pinda, ndungai, jakaya, pombe, na viongozi wengine hao ndo taifa la kesho.
Katika hotuba ya waziri mkuu nimemsikia kwamba anasema wamekwisha ajiri waalimu 8000, na wengine 5000 majina wamesha yatoa wanaendelea kuripoti vituoni. Sijajua kauli nitumie kauli gani rasmi, waziri alidanganya bunge au yeye alidangwanya na jaffo. Maanake majina hayajatoka majina yanayotoka ni kwamba ni wanapigiwa simu kwa maelekezo maalum waende kuripoti vituo vipya vya kazi.Kwa maana hiyo waziri mkuu alidanganya bunge kwa kuwa hakuna cha ajira zaidi ya watu wachache kupangiwa kazi kwa mtonyo.
Hii inawafikirisha sana vijana waalimu wasio na kazi wako mtaani kama serikali ya wanyonge inayojinasibu kwa kutetea wanyonge itoe ajira kwa waalimu hawa. Nasio kuwapiga dana dana. Siku hizi hata ukienda private unatakiwa ujitolee kwa miezi mi3 kisha unaweza kufikiriwa kazi vijana tunanyanyasika hakuna wakutusemea. Serikali ifanye mambo yake chonde chonde isituzalau vijana kwani sisi ndio wazee wa kesho.
Kazi kushinda mitandaoni ohh!? Mara kazi kuvuta shisha.wakati tunakua tuliambiwa vijana ndio taifa la leo lakini kwa yanayotokea ina furahisha nadhani vijana wanaozungumziwa kama taifa la kesho nimekuja kugundua ni watoto kama wa akina pinda, ndungai, jakaya, pombe, na viongozi wengine hao ndo taifa la kesho.
Katika hotuba ya waziri mkuu nimemsikia kwamba anasema wamekwisha ajiri waalimu 8000, na wengine 5000 majina wamesha yatoa wanaendelea kuripoti vituoni. Sijajua kauli nitumie kauli gani rasmi, waziri alidanganya bunge au yeye alidangwanya na jaffo. Maanake majina hayajatoka majina yanayotoka ni kwamba ni wanapigiwa simu kwa maelekezo maalum waende kuripoti vituo vipya vya kazi.Kwa maana hiyo waziri mkuu alidanganya bunge kwa kuwa hakuna cha ajira zaidi ya watu wachache kupangiwa kazi kwa mtonyo.
Hii inawafikirisha sana vijana waalimu wasio na kazi wako mtaani kama serikali ya wanyonge inayojinasibu kwa kutetea wanyonge itoe ajira kwa waalimu hawa. Nasio kuwapiga dana dana. Siku hizi hata ukienda private unatakiwa ujitolee kwa miezi mi3 kisha unaweza kufikiriwa kazi vijana tunanyanyasika hakuna wakutusemea. Serikali ifanye mambo yake chonde chonde isituzalau vijana kwani sisi ndio wazee wa kesho.