wazee

Wazee Lake is a lake east of Black River Falls, Wisconsin, in the town of Brockway, Jackson County, Wisconsin, United States. The name "Wazee" means "tall pine" in the Ho-Chunk language. The artificial lake is the deepest lake within the state of Wisconsin, with a maximum depth of approximately 355 feet (108 m). The man-made lake was formed after the site was used as a quarry for taconite mining between the mid-1960s through April 1983. The quarry produced about 850,000 tons of taconite pellets each year. The mine closed in 1983 as a result of a crash of the domestic steel markets in the United States. When the mine was in operation, pumps removed about 800 US gallons (3,000 L; 670 imp gal) of water per minute from the quarry. Once these pumps were shut down, the quarry began filling with water.
The lake is now part of a county park known as Wazee Lake Recreation Area. The lake is a prime scuba diving destination because of its deep, clear water. Visibility averages between 30 feet (9.1 m) and 40 feet (12 m) during the summer months. There are also visible remains of mining operations underwater, such as roadways used for hauling equipment. Some features have been added to the lake, such as underwater platforms for training divers and fish cribs to improve habitat for the fish. Fish species within the lake include rainbow, brook, and brown trout, bluegills, suckers, catfish, walleye, warmouth, and smallmouth bass.

View More On Wikipedia.org
  1. F

    INAUZWA Wanaouguza wazee na vijana, ninauza wheelchair nzuri za mtumba kwa bei nafuu

    Habari wadau.. Nauza wheel chair za mtumba.. nzuri kabisa zipo mbili.. Yenye draft draft bei yake ni Tsh. 200,000. na nyingine nyeusi bei yake ni Tsh 150,000. Namba ya simu ni 0692 275 229
  2. Richard

    Nchi za mabeberu wana Ramani zinazoonyesha maliasili ilipo Tanzania na nchi nyingine mbili. Wao wanaamini walitukabidhi tuwatunzie lakini si zetu

    Nchi za Tanzania, Angola na Congo DRC ni nchi muhimu katika mstakabali mapinduzi ya viwanda barani Ulaya na Marekani. Mwaka 2020 Uingereza walitangaza kuachana na magari yatumiayo mafuta ya diseli na petroli kufikia mwaka 2030 na wameazimia kuanza kutengeneza magari zaidi yatumiayo betri. Hata...
  3. lee Vladimir cleef

    Mzee Warioba, Mzee Kikwete na wazee wenye hekima na Busara itisheni kikao maalumu Cha Wazee wenye busara wa CCM pamoja na Samia

    Mzee Warioba wewe ndio ulikua kiongozi wa kuandika Katiba mpya, Mzee Kikwete wewe ndio uliguswa na kilio cha katiba mpya ndio ukaunda kamati. Wazee wenye busara Ni pamoja na Mzee Butiku,Mangula na wengine. Mama Samia wewe ndio Rais kwa Sasa. Nawaomba wazee nyinyi,mkutane pamoja na Rais Samia...
  4. ubongokid

    Wale wazee wa Conspiracy Theory Mkuje tujadili hii ya Hayati JPM

    Kwanza kabisa nitoe angalizo kwamba yote ninayoandika hapa sio facts ambazo unaweza kuziverify so tusome kama sehemu ya kupanua uelewa na sio kama taarifa RASMI.Conspiracy theorists ni watu ambao wanaangalia mtiririko wa matukio na kuyaunganisha kisha kutoa maelezo kwa kutumia ushahidi ambao una...
  5. GeoMex

    Wazee wa kutuliza ghasia

    Huku nje huwezi elewa mziki wao. Ila ukiwa ndani, ndichi, lupango segedance ndo utawafahamu vizuri hawa😂😂
  6. MAHANJU

    Hivi Serikali hii mna tatizo gani kutolipa wastaafu mafao yao? Hii ni laana mtaua wazee wa watu kwa mawazo

    Haiwezekani mtu mwaka unaisha anafuatilia pesa yake na amekwisha staafu anazungushwa tu hakuna majibu ya kueleweka. Hivi huyu mzee mnata aingie mtaani aishi vipi wakati mshahara hana na pesa anazodai ni zake? Hii siyo kujitafutia laana na chuki ni kitu gani? Mnadhani kiwango cha chuki nchini...
  7. Analogia Malenga

    Wazee wa masumbwi, ligi ya kick boxing inaendelea Azam

    Vifuti, mateke ya kutosha, Mawashi, yoko na mai gel za kutosha, Leo kutakuwa na mapambano sita, yote ntakuwa naupdate hapa Michezo yote ina rounds Tatu Pambano la Kwanza Frank Moshi Vs Jafari Juma Mshindi Jafari Juma Pambano la Pili Ally Said Vs Patna Ally Mshindi, Ally Said Pambano la...
  8. B

    Vijana wengi wa Kitanzania hawana tofauti na Wazee wao. Wamezoea shida mpaka shida zimekuwa wao

    Moja ya jambo ambalo huwa linanisikitisha ni kuona kuwa tayari vijana wakitanzania katika Umri wa miaka 25-45 wanawaza kama wazee wenye Miaka 70-90 Nchi nyingine wazee wa miaka 60 wanawaza kama vijana wa miaka 25-45. kuna tofauti kubwa sana. Mtanzania anaweza furahi sana unapomsimulia kuwa Jana...
  9. T

    Washauri wa Rais msisahahu ipo misingi iliojengwa na wazee wetu, kamwe msipotezee

    Nakaa nakutafakari sana kule tumetoka na kule tunaenda kama taifa. Nina amini kabisa kama Taifa mtakubaliana nami kazi kubwa sana imefanyika mpaka leo hii yapata miaka zaid ya hamsini ya uhuru wetu kama Taifa. Taifa hili limejegwa kwa jasho na dam za watu wengi na kwa bahati mbaya wengi...
  10. B

    Corona: Wazee na wenye magonjwa mengine tupaze sauti

    Mabibi na mabwana hali inaendelea kuwa si hali. Sisi tulio hatarini sauti zetu lazima zisikike. Kwa mwelekeo uliopo ndiyo tumeshatolewa kafara hivyo. Jana tumemzika kigogo wa BOT (Joachim Sayi Nsunga) RIP, huko Dutwa Bariadi, Simiyu. Huyu bwana alikuwa mhasibu mkuu BOT makao makuu, Dodoma...
  11. Mohamed Said

    Kivuli cha wazee wazalendo kinapowafunika na kuwaziba watoto na wajukuu: Historia ya Kleist Abdu Sykes (1950 - 2017) & Bakari H Mwapachu (1939 - 2021)

    KIVULI CHA WAZEE WAZALENDO KINAPOWAFUNIKA NA KUWAZIBA WATOTO NA WAJUKUU: HISTORIA YA KLEIST ABDULWAHID SYKES (1950 - 2017) NA BAKARI HARITH MWAPACHU (1939 - 2021) Jana baada ya kifo cha Bakari Harith Mwapachu niliombwa niandike taazia yake. Nami nikajibu kuwa sikuwa namfahamu marehemu kwa...
  12. K

    TAHURI: Tumuunge mkono Rais Magufuli katika vita dhidi ya Corona

    Taasisi ya Haki za Binadamu, Tanzania Human Rights-Foundation (TAHURI) imetoa tamko la kuwataka Watanzania kuungana pamoja katika vita dhidi ya Shirika la Afya Duniani, WHO na Rais Magufuli huku likiwataka wananchi kumuunga mkono Rais wao. Akiongea na Waandishi wa Habari jijini Dar es Salaam...
  13. B

    Ikumbukwe: Chanjo ya corona ina umuhimu wa pekee kwa makundi maalumu si kwa watu wote

    Mabibi na mabwana katikati ya misukosuko na gonjwa hili lililotukalia vibaya mno hasa sisi wenye migogoro yoyote mingine ya kiafya, wale wenzetu na sisi wenye umri 50+, pia wale wafanyao shughuli zao kwenye mazingira yenye hatari zaidi, kwa hakika ina fikirisha sana. Ikumbukwe kuwa hata huko...
  14. Sky Eclat

    Rais Kagame amejenga nyumba kwa wasio na uwezo wa kujenga makazi bora, wengi wao ni wazee.

    Kila aliyekabidhiwa funguo za nyumba alipewa na chakula cha kuanzia maisha. Kijiji kina huduma zote za jamii, kuanzia shule, hospitali, kituo cha Polisi, soko, umeme, maji na barabara.
  15. M

    Simba SC msiwazuge Mashabiki wala kuona Aibu. Mpelekeni Bernard Morisson kwa Wazee wa Yanga SC awaombe Msamaha afunguliwe

    Najua mnajitahidi mno Kuficha na kutengeneza kila aina ya Mazingira dhidi yake ila wenye Kuujua hasa Mpira wa Bpngo ( Tanzania ) na muda mwingi tunakaa nao hawa Wachezaji tunajua kuwa Yanga SC kupitia Wazee wao wamemroga vibaya mno Bernard Morrison na sasa ana Uvumbe kama Shipa fulani hivi. Na...
  16. T

    Wazee wa CCM muangazieni RC Kunenge, huyu baba ni Kiongozi

    Wazee wa CCM na vyombo vya ulinzi na usalama Muangazieni huyu RC wa DSM. Mimi namuona kuwa hazina ya U Rais baada ya Mh Magufuli. Nimnyenyekevu na ana hekima yakipekee sana huyu Mzee.
  17. R

    Wazee wa Soft Rocks, strong feeling songs -- tukutane hapa

    Habari wadau, Leo nimeandaa huu uzi makusudi ili watu tupeane nyimbo nzur za soft rocks au atrong feeling songs. Kwanza mjue soft rocks ni tofaut na pop music mfano watu wanahoji celine dion anaimba mizik aina gani pop au soft rock jibu ni kwamba anaimba zote japo anasifika sn kwa soft rocks...
  18. Ndengaso

    Mwanza: Wazee waitikia wito wa uhakiki mafao

    Wazee wetu huko Mwanza wameitikia kwa nguvu kubwa ombi la serikali kuhakiki taarifa kwaajili ya malipo ya Mafao yao, Ushauri wangu ni wasiwasimamishe wazee wetu hivi kwa foleni waanzishe utaratibu ambao ni rafiki kwa afya na nguvu za wazee wetu.
  19. Mkogoti

    Haya Wazee wa connection mtuambie kuna habari gani huko Twitter Naona kuna raia kaliamsha tena dude

    Habari Wadau wa humu? Nisiwachoshe wala kuchoshana humu? Ipo hivi huko Twitter kuna connection zinatembea kwamba eti katika wale COVID19 kuna mmoja wao eti kaachia vitu vya dakika kadhaa akiwa anajirecord amepanda juu ya nini sijui? Nafikili ni mtu amepanda juu ya mtu, Sasa basi na jina lake...
  20. eliakeem

    Wazee wa Kenyan News and Politics: Happy End/Beginning (2020/2021) of the Year Festival

    Bila shaka tumekuwa na kipindi kizuri cha takribani siku 360. Tumekuwa na tumepitia changamoto nyingi, lakini tunamshukuru Mwenyezi Mungu mwenye rehema kwa kutuweka tukiwa salama. Nichukue fursa hii kuwatakia mapumziko mema ya mwisho na mwanzo wa mwaka.
Back
Top Bottom