johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,779
- 141,666
Kiukweli nawapongeza sana wazee wa Dar es salaam kwa kuzingatia masharti ya wizara ya afya kwa kuanza rasmi kuvaa barakoa na kutembea na vitakasa mikono.
Mungu wabariki wazee wa Dar es salaam!
Mungu wabariki wazee wa Dar es salaam!