Wazee wenye hekima ndani ya CC ya CCM. Msirudie kupitisha Mgombea Mwenye kaliba ya Magufuli

Paploman

JF-Expert Member
Apr 13, 2019
1,720
3,237
Najua ni namna gani Rais na mwenyekiti wa CCM alivyo na nguvu kwa hapa nchini katika kipindi cha kupitisha jina la mgombea wa chama chake.

Kwa mazingira hayo, wenye nguvu na maamuzi makubwa ndani ya chama cha mapinduzi ni Mwenyekiti na Rais wa Tanzania mama Samia, Lakini pia huwezi kumkosa kikwete na Mangula kwa wakati huu.

Chondechonde, Makosa mliyofanya mwaka 2015 kwa kumleta magufuli yalikuwa ni zaidi ya mateso kwa taifa, na kama mungu asingeingilia kati taifa lingekuwa kwenye mateso kwa MDA mrefu sana, isingekuwa rahisi kuponyoka kwa ule mfumo ambao kwao ulishaanza kuonekana ndio utendaji wa kutukuka.

Kilichokuwa kinafanyika awamu ya tano kilikuwa hakina tofauti na kilichokuwa kinafanyika Rwanda na kupelekea genocide, It was just the matter of time, tulikuwa tayari tumechukua uelekeo kuelekea kwenye tatizo lenyewe.

Viongozi waliopewa nyadhifa kutuongoza walitufanya tuishi kama tumbili ndani ya nchi yetu, unaamka asubuhi unasali kwa dini zote ili usiingie kwenye mikono yao ukapotezwa.

Chondechonde mama msije mkajisahau mkaturudisha huko tena. nashauri hata Waziri Mkuu,Majaliwa akimaliza mda wake muacheni akalime huko lindi, ndio mazao ya mwendazake hayo.

Tupeni watu wenye hofu ya mungu na kuona kila mtanzania anastahili kufurahia maisha akiwa ndani ya nchi yake.
Kwa sasa watu hawana pesa lakini wana amani na furaha tele. MUNGU NA ASHUKURIWE.

Mungu kamtwaa Magufuli kwa sababu maalum, aliona jinsi watanzania walivyoteseka.
 
Najua ni namna gani Rais na mwenyekiti wa CCM alivyo na nguvu kwa hapa nchini katika kipindi cha kupitisha jina la mgombea wa chama chake.

Kwa mazingira hayo, wenye nguvu na maamuzi makubwa ndani ya chama cha mapinduzi ni Mwenyekiti na Rais wa Tanzania mama Samia, Lakini pia huwezi kumkosa kikwete na Mangula kwa wakati huu.

Chondechonde, Makosa mliyofanya mwaka 2015 kwa kumleta magufuli yalikuwa ni zaidi ya mateso kwa taifa, na kama mungu asingeingilia kati taifa lingekuwa kwenye mateso kwa MDA mrefu sana, isingekuwa rahisi kuponyoka kwa ule mfumo ambao kwao ulishaanza kuonekana ndio utendaji wa kutukuka.

Kilichokuwa kinafanyika awamu ya tano kilikuwa hakina tofauti na kilichokuwa kinafanyika Rwanda na kupelekea genocide, It was just the matter of time, tulikuwa tayari tumechukua uelekeo kuelekea kwenye tatizo lenyewe.

Viongozi waliopewa nyadhifa kutuongoza walitufanya tuishi kama tumbili ndani ya nchi yetu, unaamka asubuhi unasali kwa dini zote ili usiingie kwenye mikono yao ukapotezwa.

Chondechonde mama msije mkajisahau mkaturudisha huko tena. nashauri hata Waziri Mkuu,Majaliwa akimaliza mda wake muacheni akalime huko lindi, ndio mazao ya mwendazake hayo.

Tupeni watu wenye hofu ya mungu na kuona kila mtanzania anastahili kufurahia maisha akiwa ndani ya nchi yake.
Kwa sasa watu hawana pesa lakini wana amani na furaha tele. MUNGU NA ASHUKURIWE.

Mungu kamtwaa Magufuli kwa sababu maalum, aliona jinsi watanzania walivyoteseka.
Wa kumlaumu ni Kikwete! Alichonga kinyago kikamzidi nguvu, vitisho , all kind of frustrations, worries and upheavals!
 
Najua ni namna gani Rais na mwenyekiti wa CCM alivyo na nguvu kwa hapa nchini katika kipindi cha kupitisha jina la mgombea wa chama chake.

Kwa mazingira hayo, wenye nguvu na maamuzi makubwa ndani ya chama cha mapinduzi ni Mwenyekiti na Rais wa Tanzania mama Samia, Lakini pia huwezi kumkosa kikwete na Mangula kwa wakati huu.

Chondechonde, Makosa mliyofanya mwaka 2015 kwa kumleta magufuli yalikuwa ni zaidi ya mateso kwa taifa, na kama mungu asingeingilia kati taifa lingekuwa kwenye mateso kwa MDA mrefu sana, isingekuwa rahisi kuponyoka kwa ule mfumo ambao kwao ulishaanza kuonekana ndio utendaji wa kutukuka.

Kilichokuwa kinafanyika awamu ya tano kilikuwa hakina tofauti na kilichokuwa kinafanyika Rwanda na kupelekea genocide, It was just the matter of time, tulikuwa tayari tumechukua uelekeo kuelekea kwenye tatizo lenyewe.

Viongozi waliopewa nyadhifa kutuongoza walitufanya tuishi kama tumbili ndani ya nchi yetu, unaamka asubuhi unasali kwa dini zote ili usiingie kwenye mikono yao ukapotezwa.

Chondechonde mama msije mkajisahau mkaturudisha huko tena. nashauri hata Waziri Mkuu,Majaliwa akimaliza mda wake muacheni akalime huko lindi, ndio mazao ya mwendazake hayo.

Tupeni watu wenye hofu ya mungu na kuona kila mtanzania anastahili kufurahia maisha akiwa ndani ya nchi yake.
Kwa sasa watu hawana pesa lakini wana amani na furaha tele. MUNGU NA ASHUKURIWE.

Mungu kamtwaa Magufuli kwa sababu maalum, aliona jinsi watanzania walivyoteseka.
Crap
 
Najua ni namna gani Rais na mwenyekiti wa CCM alivyo na nguvu kwa hapa nchini katika kipindi cha kupitisha jina la mgombea wa chama chake.

Kwa mazingira hayo, wenye nguvu na maamuzi makubwa ndani ya chama cha mapinduzi ni Mwenyekiti na Rais wa Tanzania mama Samia, Lakini pia huwezi kumkosa kikwete na Mangula kwa wakati huu.

Chondechonde, Makosa mliyofanya mwaka 2015 kwa kumleta magufuli yalikuwa ni zaidi ya mateso kwa taifa, na kama mungu asingeingilia kati taifa lingekuwa kwenye mateso kwa MDA mrefu sana, isingekuwa rahisi kuponyoka kwa ule mfumo ambao kwao ulishaanza kuonekana ndio utendaji wa kutukuka.

Kilichokuwa kinafanyika awamu ya tano kilikuwa hakina tofauti na kilichokuwa kinafanyika Rwanda na kupelekea genocide, It was just the matter of time, tulikuwa tayari tumechukua uelekeo kuelekea kwenye tatizo lenyewe.

Viongozi waliopewa nyadhifa kutuongoza walitufanya tuishi kama tumbili ndani ya nchi yetu, unaamka asubuhi unasali kwa dini zote ili usiingie kwenye mikono yao ukapotezwa.

Chondechonde mama msije mkajisahau mkaturudisha huko tena. nashauri hata Waziri Mkuu,Majaliwa akimaliza mda wake muacheni akalime huko lindi, ndio mazao ya mwendazake hayo.

Tupeni watu wenye hofu ya mungu na kuona kila mtanzania anastahili kufurahia maisha akiwa ndani ya nchi yake.
Kwa sasa watu hawana pesa lakini wana amani na furaha tele. MUNGU NA ASHUKURIWE.

Mungu kamtwaa Magufuli kwa sababu maalum, aliona jinsi watanzania walivyoteseka.
Ushuzi tupu
 
Najua ni namna gani Rais na mwenyekiti wa CCM alivyo na nguvu kwa hapa nchini katika kipindi cha kupitisha jina la mgombea wa chama chake.

Kwa mazingira hayo, wenye nguvu na maamuzi makubwa ndani ya chama cha mapinduzi ni Mwenyekiti na Rais wa Tanzania mama Samia, Lakini pia huwezi kumkosa kikwete na Mangula kwa wakati huu.

Chondechonde, Makosa mliyofanya mwaka 2015 kwa kumleta magufuli yalikuwa ni zaidi ya mateso kwa taifa, na kama mungu asingeingilia kati taifa lingekuwa kwenye mateso kwa MDA mrefu sana, isingekuwa rahisi kuponyoka kwa ule mfumo ambao kwao ulishaanza kuonekana ndio utendaji wa kutukuka.

Kilichokuwa kinafanyika awamu ya tano kilikuwa hakina tofauti na kilichokuwa kinafanyika Rwanda na kupelekea genocide, It was just the matter of time, tulikuwa tayari tumechukua uelekeo kuelekea kwenye tatizo lenyewe.

Viongozi waliopewa nyadhifa kutuongoza walitufanya tuishi kama tumbili ndani ya nchi yetu, unaamka asubuhi unasali kwa dini zote ili usiingie kwenye mikono yao ukapotezwa.

Chondechonde mama msije mkajisahau mkaturudisha huko tena. nashauri hata Waziri Mkuu,Majaliwa akimaliza mda wake muacheni akalime huko lindi, ndio mazao ya mwendazake hayo.

Tupeni watu wenye hofu ya mungu na kuona kila mtanzania anastahili kufurahia maisha akiwa ndani ya nchi yake.
Kwa sasa watu hawana pesa lakini wana amani na furaha tele. MUNGU NA ASHUKURIWE.

Mungu kamtwaa Magufuli kwa sababu maalum, aliona jinsi watanzania walivyoteseka.
Fisadi kuishi kama tumbili ni bahati sana kwake ,fisadi anatakiwa kupigwa risasi
 
Tulipata Rais wa hovyo sana. Kaharibu sana hii nchi. Kaharibu hata mifumo ya uendeshaji serikali.....hakuna sheria au kanuni. Ni matamko tu na ubabe wa madaraka. Alishindwa kujenga taasisi imara ya urais. Ikabakia kila kitu kinategemea yeye kaamkaje. Akisema piga risasi, unapigwa tu.

No wonder hata aliyekuwa makamo wake sasa (akiwa Rais) analazimika kunafanya marekebisho makubwa sana kurudisha nchi kwenye mstari na ustaarabu wa utawala bora, wa sheria na haki.

Katika hali ya kawaida, usingetegemea mabadiliko makubwa hivi kama nchi ingalikuwa imeendeshwa kitaasisi na si kwa matakwa ya mtu mmoja very abuseful na mwenye miguvu iliyopitiliza ya kikatiba na kisheria
 
Tulipata Rais wa hovyo sana. Kaharibu sana hii nchi. Kaharibu hata mifumo ya uendeshaji serikali.....hakuna sheria au kanuni. Ni matamko tu na ubabe wa madaraka. Alishindwa kujenga taasisi imara ya urais. Ikabakia kila kitu kinategemea yeye kaamkaje. Akisema piga risasi, unapigwa tu.

No wonder hata aliyekuwa makamo wake sasa (akiwa Rais) analazimika kunafanya marekebisho makubwa sana kurudisha nchi kwenye mstari na ustaarabu wa utawala bora, wa sheria na haki.

Katika hali ya kawaida, usingetegemea mabadiliko makubwa hivi kama nchi ingalikuwa imeendeshwa kitaasisi na si kwa matakwa ya mtu mmoja very abuseful na mwenye miguvu iliyopitiliza ya kikatiba na kisheria
Kweli kaka, Jamaa hakufaa kabisa kuwa kiongozi wa nchi
 
Najua ni namna gani Rais na mwenyekiti wa CCM alivyo na nguvu kwa hapa nchini katika kipindi cha kupitisha jina la mgombea wa chama chake.

Kwa mazingira hayo, wenye nguvu na maamuzi makubwa ndani ya chama cha mapinduzi ni Mwenyekiti na Rais wa Tanzania mama Samia, Lakini pia huwezi kumkosa kikwete na Mangula kwa wakati huu.

Chondechonde, Makosa mliyofanya mwaka 2015 kwa kumleta magufuli yalikuwa ni zaidi ya mateso kwa taifa, na kama mungu asingeingilia kati taifa lingekuwa kwenye mateso kwa MDA mrefu sana, isingekuwa rahisi kuponyoka kwa ule mfumo ambao kwao ulishaanza kuonekana ndio utendaji wa kutukuka.

Kilichokuwa kinafanyika awamu ya tano kilikuwa hakina tofauti na kilichokuwa kinafanyika Rwanda na kupelekea genocide, It was just the matter of time, tulikuwa tayari tumechukua uelekeo kuelekea kwenye tatizo lenyewe.

Viongozi waliopewa nyadhifa kutuongoza walitufanya tuishi kama tumbili ndani ya nchi yetu, unaamka asubuhi unasali kwa dini zote ili usiingie kwenye mikono yao ukapotezwa.

Chondechonde mama msije mkajisahau mkaturudisha huko tena. nashauri hata Waziri Mkuu,Majaliwa akimaliza mda wake muacheni akalime huko lindi, ndio mazao ya mwendazake hayo.

Tupeni watu wenye hofu ya mungu na kuona kila mtanzania anastahili kufurahia maisha akiwa ndani ya nchi yake.
Kwa sasa watu hawana pesa lakini wana amani na furaha tele. MUNGU NA ASHUKURIWE.

Mungu kamtwaa Magufuli kwa sababu maalum, aliona jinsi watanzania walivyoteseka.
Rubbish. Sisi wananchi tunataka viongozi kama hao kina magu hata wawe 10mil hivi.
 
Back
Top Bottom