Palac
JF-Expert Member
- Mar 29, 2025
- 2,391
- 6,266
Hivi sasa kwa zama hizi wengi ni wazazi pengine kwa kutarajia kua na wengine hawakutarajia imetokea tu.
Kwasasa wazazi wanalalamika watoto wao kutowahudumia zaidi wanapofikia uzee lakini watoto hawa hawa unakuta mjini ana maisha ya kuweza kumtumza mzazi au wazazi wote wawili lakini kwa GenZ imekua tofauti sana kwa wazazi wao na hata wasio kua wazazi
Je ni nini hasa imepelekea ili swala limekua kubwa na linazidi kukua nafikiri ukizunguka mjini unakutana na wazee tofauti hali zao zinakua tofauti ila anakueleza ana mtoto pengine yupo vizuri ila hamhudumiii na wala swala la kuja kumsalimu imekua hadithi
Karibuni tujadili je ni wazazi ndio wamepoteza mvuto kwa watoto wao au nini hasa
Kwasasa wazazi wanalalamika watoto wao kutowahudumia zaidi wanapofikia uzee lakini watoto hawa hawa unakuta mjini ana maisha ya kuweza kumtumza mzazi au wazazi wote wawili lakini kwa GenZ imekua tofauti sana kwa wazazi wao na hata wasio kua wazazi
Je ni nini hasa imepelekea ili swala limekua kubwa na linazidi kukua nafikiri ukizunguka mjini unakutana na wazee tofauti hali zao zinakua tofauti ila anakueleza ana mtoto pengine yupo vizuri ila hamhudumiii na wala swala la kuja kumsalimu imekua hadithi
Karibuni tujadili je ni wazazi ndio wamepoteza mvuto kwa watoto wao au nini hasa
