jamaikatz JF-Expert Member Joined Jul 11, 2023 Posts 393 Reaction score 1,385 May 4, 2026 #1 Sema ile kauli ya "Sitaki watoto wangu waje kuishi maisha kama niliyoishi mimi" Kwa namna moja ama nyingine huwa tunawakosea sana wazazi wetu. Walijitahidi sana kutupa Kila kitu kwa nafasi zao na walicho jaaliwa 📌
Sema ile kauli ya "Sitaki watoto wangu waje kuishi maisha kama niliyoishi mimi" Kwa namna moja ama nyingine huwa tunawakosea sana wazazi wetu. Walijitahidi sana kutupa Kila kitu kwa nafasi zao na walicho jaaliwa 📌
Ushimen Platinum Member Joined Oct 24, 2012 Posts 44,062 Reaction score 110,707 May 4, 2026 #2 Mhhh....🤔 Ebu nisitie neno, nisije nikakufuru....🍻
Traxtion JF-Expert Member Joined Dec 10, 2021 Posts 7,583 Reaction score 15,471 May 4, 2026 #3 Mimi upande wangu wazazi wamejitahidi sana kufanya niishi kwa furaha duniani. Best people I've ever knew
Mimi upande wangu wazazi wamejitahidi sana kufanya niishi kwa furaha duniani. Best people I've ever knew
Seran JF-Expert Member Joined Feb 7, 2025 Posts 29,597 Reaction score 86,091 May 4, 2026 #4 Ushimen said: Mhhh....🤔 Ebu nisitie neno, nisije nikakufuru....🍻 Click to expand... Pole sana babu😔
Jumlisha JF-Expert Member Joined Jul 10, 2022 Posts 2,137 Reaction score 4,273 May 4, 2026 #5 Kweli aisee
The mission 2017 JF-Expert Member Joined Aug 14, 2017 Posts 6,179 Reaction score 14,063 May 4, 2026 #6 Wenyewe hua wanasoma, usipo kazana na shule utakua mkulima/Masikini kama sisi wazazi wak 😁