Ni ujinga wa hali ya juu kama unaishi na Kulala sehemu nzuri hali ya kuwa wazazi wako waliokupambania mpaka kufika hapo wanalala kwenye dhiki.
Wanalala chini
Kwenye Godoro kama ulimi wa mbwa
Hakuna fan Wala asset nzuri za maana.
Kuwaweka wazazi wako kwenye mazingira mazuri haiitaji uwe na...
Wakuu, Habari!
Watu wengi hufikiri kuwa na website ni kwa watu wenye biashara na makampuni tu… lakini si kweli! Unaweza kuwa na website kwaajili ya familia yako, watoto, wazazi, au hata wewe mwenyewe.
Faida za kuwa na website yako:
Hifadhi kumbukumbu zako: Picha, video, na mafaili mengine...
Katika hotuba yake kwa wanahabari anasema Chini ya uongozi wa Rais Samia utoaji wa huduma za elimu mkoani umeimarika kwa kiasi kikubwa kupitia ujenzi na ukarabati wa miundombinu pamoja na ongezeko la walimu.
Serikali imetoa jumla ya TZS 146.69 bilioni kuanzia mwaka 2021 hadi mwaka 2025 kwa...
Nina manzi Hadi sasa ni Zaidi ya 3 years nipo nae tangu akiwa ana 19yr anasifa zote nazo zihitaji
Shida Mzee anataka nirudi Kilimanjaro nichukue jiko kule alafu nimkache manzi yangu
Mnashauri niforce vipi?👇👇👇
Amini tu. Kama unavyokubali tarehe yako ya kuzaliwa bila kuhoji. Uliikuta tu imeandikwa kwenye cheti, ikisimuliwa na wazazi au walezi wako, na ukaikubali kuwa ndiyo siku uliyotangulia kuja duniani. Hujawahi kuikumbuka wewe mwenyewe, lakini unaishi kuiamini kwa moyo wako wote. Hujawahi kuhoji...
Hapa ñaona kama anadhalilishwa tuu, halafu wanawake wengi wazuri ndio wanakua hawana akili sijui shida nini.
Na hii tabia yenu ya kupenda kutoa jicho sijui mmeipata wapi aise
Inasikitisha Sana Mitandao inapeleka Maisha Kasi Sana, Bikra za K zilishatoweka tunapoelekea hata za mlango wa uwani...
Kuna wazazi wengi wanafikiria kuwa kazi yao kubwa ni kuhakikisha mtoto anapata akili sana. Anapata elimu nzuri, anasoma vitabu vingi, anajua mambo mengi.
Hili si kosa. Lakini kuna jambo moja kubwa ambalo wengi wanasahau:
Yaani, unamjaza mtoto maarifa, unamwambia maisha ni hivi na vile...
Leo katika pita pita zangu , nilienda msalimia Dada mmoja age 38 ana mtoto wake wa kike umri 14 yupo secondary.
Huyu Dada ana shida ya macho kwahiyo maandishi ya kwenye simu hawezi kuyasoma hivyo huwa anamtumia mtoto wake kumuangalizia mambo mawili matatu.
Sasa iliingia Meseji akanipa nimsomee...
Kwanza nitangulize shukrani zangu za dhati kwa Mwenyezi Mungu . Pili ,kwa Mheshimiwa huyu kuwa karibu sana na jamii , napenda aendelee kuwa katika nafasi hii kwa vile anajua wajibu .
Naomba kutambua mchango wa wadau wote humu ndani kwa michango yao , kwa pamoja katika kuchangia hoja ...
dkt. dorothy gwajima
dorothy
dorothy gwajima
gwajima
hoja
kiume
kuchangia
kuchangia hoja
kuhusu
malezi
malezi ya watoto
mzazi
mzazi wa kiume
naomba
watoto
wazazi
Leo nimepita kijiwe nongwa nikakutana na mzee mmoja aliyekuwa akitoa maoni yake kwa hasira juu ya vijana ambao bado hawajaoa, Alikuwa na mtazamo mkali lakini wa kusisimua kuhusu mahusiano, na alisisitiza kuwa anazungumza kwa msingi wa uzoefu wa maisha na umri alionao
Haya ndiyo aliyoyasema...
Ni zaidi ya miezi sita sasa tangu Mheshimiwa Hussein Bashe, Mbunge wa Nzega Mjini, atoe ahadi ya kugharamia chakula kwa wanafunzi wa shule ya sekondari Mwanzoli, hasa wale wa bweni waliopata ufaulu wa juu. Hadi leo, utekelezaji wa ahadi hiyo haujafanyika.
Ahadi hiyo ilipokewa kwa matumaini...
Ukurasa wa Facebook wa Mheshimiwa Waziri Gwajima: KWENU WAZAZI MNAOLAZIMISHA WATOTO WAOLEWE.
Hivi kwanza huwa mnatoa wapi ujasiri, nguvu na mamlaka ya kumlazimisha mtu mwingine afanye lile asilolipenda tena la pingu za maisha yake yote? Tena ambalo ni kinyume na sheria na...
Sina Deni!
Mtoto wa Mtibeli ni Mtibeli.
Mtoto wa Kiongozi ni Kiongozi.
Mtoto wa Mkulima ni Mkulima.
Mtoto wa Nyoka ni Nyoka!
Hutaki kujihusisha na siasa, alafu unataka mtoto wako ateuliwe kwenye nafasi za kisiasa. Zinakutosha kweli?
Uwezekano wa mtoto wako kuteuliwa nafasi za uongozi ni Finyu...
Wasalaam!,
Nimekaa wiki 1 nzima sijawasiliana na wazazi wangu nikipambana na purukushani na namna ya kulipa hili deni la mama yetu.
Leo napokea simu ya baba yangu, baada ya salamu mzee ananambia, nanukuu; "Mwanangu, usiwe unakaa muda mrefu bila kutupigia simu tukajua unaendeleaje maana tuna...
Unakuta mtu anapost thread yenye maudhui ya ukosefu wa maadili kabisa. Yaani inatia kinyaa hata kuisoma. Huwa najiuliza hivi baba yake au mama yake akisoma hayo mambo ya hovyo aliyoandika mwanaye atajisikiaje? Wengine wanalilia kupata mtoto na wengine wanasema nilizaa wa nini!
Habari za mchana.
Hii nimeitoa kwenye familia moja kanda ya ziwa.
Hivi ulishawahi kuona familia fulani ina watoto wengi lakini mmoja haolewi,au haoi na akioa anaacha ndoa haidumu.
Au kama ni mwanamke anaachika ili tu arudi Kwa wazazi?
Unakuta kijana anapambana lakini hatulii,anajikuta...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.