Sasa ni kama watoto yatima wanaolelewa na mlezi, lakini wazazi wao wako hai.
Watoto hao watano wa familia moja-- wa kwanza akiwa na umri wa miaka 12 na wa mwisho mwaka mmoja, walitelekezwa na wazazi wao kwenye nyumba iliyobomoka iliyo mtaa wa Kazima, Manispaa ya Mpanda mkoani Rukwa na sasa...