matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,569
- 15,298
Watoto wa mijini wanawahi kuelewa mambo mapema.
Wanajifunza mambo mengi nyumbani yale ambayo zamani tulijifunzia shule. Nyimbo, kuhesabu, abcd, na a e i o u.
Kama haitoshi wanafundishana wenyewe wakiwa wanacheza. Mfano juzi mwanangu wa miaka miwili kaja ananiimbia da de di do du. Amefundishwa huko michezoni na rafiki yake Zainabu.
Jirani yangu kapeleka mtoto shule ya serikali std1 dogo anagoma kwenda shule. Sababu uelewa wake ni mkubwa kuliko anachofundishwa. Wanaimba, wanafindishwa a e i o u, wakati yeye hayo anayajua kitambo maana anajua hadi kuandika Jina Lake.
Anamiaka mitano kasoro lakini kaanza tu std1 Kwa mbinu maana alitakiwa kuwa na miaka saba kwa mujibu wa viwango vya kiserikali.
Wakuu mnaonaje?
Wanajifunza mambo mengi nyumbani yale ambayo zamani tulijifunzia shule. Nyimbo, kuhesabu, abcd, na a e i o u.
Kama haitoshi wanafundishana wenyewe wakiwa wanacheza. Mfano juzi mwanangu wa miaka miwili kaja ananiimbia da de di do du. Amefundishwa huko michezoni na rafiki yake Zainabu.
Jirani yangu kapeleka mtoto shule ya serikali std1 dogo anagoma kwenda shule. Sababu uelewa wake ni mkubwa kuliko anachofundishwa. Wanaimba, wanafindishwa a e i o u, wakati yeye hayo anayajua kitambo maana anajua hadi kuandika Jina Lake.
Anamiaka mitano kasoro lakini kaanza tu std1 Kwa mbinu maana alitakiwa kuwa na miaka saba kwa mujibu wa viwango vya kiserikali.
Wakuu mnaonaje?