wataalamu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Drone Camera

    JamiiForums Tanzania Kwa wataalamu wa Python;

    Habarini za jioni, Naombeni msaada kidogo katika hili. Kuna kipengele kimoja katika "Python programming language" kinaitwa "Regular Expressions".Hiki kipengele kinanichanganya kiasi katika platform ninayosomea.Nimekimaliza ila nikijipima najiona bado. Wenzangu mliopo vizuri hii lugha nisaidieni...
  2. frankkilulya

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa Mdoto mnisaidie kutafsiri.

    Habari wakuu poleni na majukumu, Nina mambo kadhaa hapa naomba kushare na nyie... sana sana wataalamu wa ndoto na watabiri. Kwanza, Ndani ya hizi siku mbili mfululizo Nimeota Ndoto ikihusu Maji kujaa ama mafuriko, ndoto ya kwanza niliota nipo kando ya bahari imejaa mpaka makazi ya watu nkavuka...
  3. beth

    JamiiForums Tanzania Naibu Waziri: Suala ya wazalishaji mafuta ya kula kufutiwa 'VAT' linahitaji wataalamu

    Naibu Waziri wa Fedha, Hamad Hassan Chande amesema Serikali inafanya tathmini ya hatua mbalimbali zinazopaswa kuchukuliwa kwa kila Sekta ili kukabiliana na athari zinazotokana na Hali ya Kisiasa ikiwemo Vita ya Urusi na Ukraine Ameeleza hayo baada ya Mbunge Nancy Hassan Nyalusi kuhoji ni hatua...
  4. fullcup

    JamiiForums Tanzania Namba za NIDA zitumike kuajiri walimu na wataalamu wa Afya

    Naomba TAMISEMI msiwe mmezichukua namba zetu za NIDA Ili kujifurahisha naomba mzitumie Ili tupewe kipaumbele tunaomalizia ujana ukiwa mtaani. Wale wenye namba zinazoanza na 1996+ watupishe kwanza wenye 1980s na Early 1990s
  5. The unpaid Seller

    JamiiForums Tanzania Watangazaji wa TV wapunguze maneno wanapokuwa katika vipindi mubashara ili wataalam watoe maarifa kwa kina

    Wakuu salaam, moja kwa moja kwenye mada, Kuna watangazaji wa vipindi mubashara ambavyo kuna wataalamu wa afya, elimu, viongozi nk hualikwa kwa ajili ya kudadafua mambo fulani kwa kina. Natambua watangazaji wanajukumu muhimu la kuongoza mijadala kwa kuuliza maswali au kupokea simu za watazamaji...
  6. F

    JamiiForums Tanzania Hichi nini kwenye mwili wangu wataalamu wa X Ray, CT Scan na MRI

    Habari wanajamvi natumai mu na afya njema na wale ambao afya imelega kidogo poleni na ugua pole God atabless Ndugu zanguni nilipiga Ct scan,, naomba kuuliza hiko nimezungushia kwenye picha ni kitu gani wataalamu?
  7. Baba Rhobi

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa photoshop na digital painting msaada wenu tafadhali.

    Wakuu habari ya nyie kuna hii picha hapa nahitaji kujua namna kuedit kama hivyo, mimi naishia kuweka strokes tu, lakini sijawahi fikia hii level ya hizi cartoon, labda mnipe muongozo ni technique gani hii jina lake ili nifatilie youtube make ukitafuta kwa cartoon za kawaida haiji.
  8. M

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wetu wa afya (MDs, Nurses & Pharmacists) tunzeni maadili! Mheshimiane, msiingiliane na msihasimiane! Wote mnahitajika kila mmoja sehemu yake

    Kwa lugha rahisi, mfamasia ni mtaalamu wa madawa! kazi yake inahusisha kutengeneza, kuchanganya, kutunza na kufikisha dawa kwa wagonjwa zikiwa salama. Ndiye anayeweza kuya-handle madawa na anajua vizuri kwa undani mode of action ya madawa. Daktari/MD ni mtaalamu wa tiba! kazi yake ni kutibu watu...
  9. Zero Conscious

    JamiiForums Tanzania Wataalam wa sanaa ya uchoraji

    Wakuu habari za wakati huu, ninatumai mu wazima wa afya. Naomba kufahamu humu kama kutakuwa na wataalamu wa sanaa ya UCHORAJI, Aidha Mabango ya biashara, picha za kupamba ukutani au majengo ya biashara. Kama mpo naomba tuwasiliane, au kama kuna mwenye groups za Whatsapp au telegram...
  10. kikoozi

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa computer naomba kujua kuhusu "HP laptop"

    Nimeona kuna computer nyingi sana aina HP, ususani nataka kujua kuhusiana na izi laptop aina ya HP, nataka kujua zipi lianza kutoka mpaka muda huu zipi ndio zipo updated sokoni, (hapa nataka kueleweshwa mfano kama ulivyo Iphone, ilianza iphoe1, ikaja iphone2, ikaja iphone3, ikaja iphone4...
  11. M

    JamiiForums Tanzania Pato la Taifa ni GNP (Gross National Product) au GDP (Gross Domestic Product)?

    Hamjambo je tunao hapa wataalamu wa uchumi? Pato la Taifa ni GNP au GDP? Nominal - itakuwa kinaganaga? Ufafanuzi kwa Kiingereza: GNP Gross National Product (kisawe = gross national income GNI) : total domestic and foreign output claimed by residents of a country, consisting of gross domestic...
  12. D

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa Jiji vyumba maeneo ya upanga na maeneo jirani vinasomekaje

    Habri!! Muda si mrefu ninaingia hapo jijini, kuanza Kazi. Kituo cha kazi kipo Upanga, Sasa nauliza wazoefu wa mjini vyumba maeneo hyo vinapatikana kwa sh ngapi?? Mfano chumba na sebule au chumba ambacho ni self au Sio self coz nataka nijue najipangaje wakuu. Au maeneo jirani na Upanga?!
  13. S

    JamiiForums Tanzania Wataalamu was Go sms Pro

    Nimeinstall hii app kwenye simu yangu lakini nashangaa inagoma kutuma sms lakini ikitumwa kwangu inaingia vizuri kabisa Kwa anaetumia hii app anielekeze jinsi ya kutumia pls
  14. emmarki

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa IT, nini kinachowazuia kuanzisha freelancing website's

    Experts wa IT, mthubutu kuanzisha freelancing websites hapa bongo ili tutengeneze character ya kufanya kazi na kulipwa kwa masaa kazi inapokamilika. Kuna watu wana kazi ndogondogo na nyingine zinahitaji special skills ambazo kwenye ofisi yake labda hana expert wa kukamilisha hiyo task. Kuondoa...
  15. H

    JamiiForums Tanzania Ilemela, Mwanza: Afisa mtendaji kata ya Pasiyansi alalamikiwa na wataalamu

    Kuna malalamiko kutoka kwa wataalamu wa kata ya Pasiyansi Ilemela Mwanza,kuhusu afisa mtendaji kata anaitwa Betty,alihamishwa kutoka kata ya Nyamanoro kuja Pasiyansi. Alikotoka wataalamu wote chini yake walikuwa wanawake na alipohamishiwa(Pasiansi)pia wataalamu wote ni wanawake. Hakuna gender...
  16. A

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kutafsri ndoto

    Nimekuwa nikiota ndoto za kuokota pesa tena sarafu zikiwa kwenye mstari mara kwa mara ingawa Jana nikiwa na piga story za jamaa zangu nao wamesimulia ndoto hiyo nini maana yake?
  17. Josephat Sanga

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa macho huu ugonjwa gani?

    Wataalamu huu ni ugonjwa gani mhusika anasema ahisi maumivu yoyote.
  18. Crocodiletooth

    JamiiForums Tanzania Msaada wa wataalamu jinsi ya kuondoa hiki katika simu

    Msaada
  19. Kasomi

    JamiiForums Tanzania 6174: 'Kaprekar's Constant' uvumbuzi uliowatatiza wataalamu wa hesabu kwa zaidi ya miongo 7

    6174: Kwanini takwimu hii imewatatiza wataalamu wa hesabu kwa zaidi ya miongo 7? Itazame takwimu hii: 6174. Kwa mtazamo wa kwanza, huenda sio kitu kikubwa - lakini imewatatiza wataalamu wa hesabu tangu mwaka 1949. Kwanini? Haya ni mambo ya kustaajabisha na unayostahili kuyafahamu mwenyewe...
  20. albab

    JamiiForums Tanzania Msaada wataalamu wa skimming

    Nikiwa naeleke kufanya maandalizi kwa ajili ya hii kazi wajuzi naomba msaada wenu.... Fundi wa kwanza: Ameshauri itumike white cement then binder alafu rangi na kanipa makadirio yake Fundi wa pili: Yeye kashauri itumike pva then binder alafu rangi..... Fundi wa tatu: Kashauri itumie wall...
Back
Top Bottom