Cvez
JF-Expert Member
- May 19, 2018
- 4,345
- 13,078
Kutokana na ukosefu wa ajira na wingi wa wasomi, imepelekea kua na mlundikano mkubwa wa wahitaji wa kazi kuliko uhitaji. Mathalani kada moja unaweza kuta nafasi moja lakini kuna waombaji zaidi ya 100.
Hapa changamoto inapoanza huwezi kuongea na watu 100. Hivyo kuna haja ya kuwachuja ubakiwe na watu kama 5 hivi ili uweze kufanya nao usaili wa mazungumzo. Hapo ndio written Interview inavyopukutisha watu, maana kufeli written Interview haimaanishi wewe ni kilaza. Unaweza kukuta huyo aliefeli written ana uzoefu mkubwa wa kazi plus vyeti vizuri zaidi ila ndio hivyo hakufanikiwa kupita.
Dogo fresh from school anakunyoosha vizuri na kupita oral huyoo anapata mchongo. Mfano nafasi kama hizi za Tutorial Assistant dogo katoka shule halafu hajawahi fanyia kazi field yake halafu anarudi tena kuzalisha wataalamu wengine hali ya kua yeye hajui chochote zaidi ya kusoma notes. Mwengine ana 3+ years ya experience na good certificates ila ndio hivyo kashaliwa kichwa.
Ila ndio hivyo hamna namna lazima watu wapunguzwe.
Hapa changamoto inapoanza huwezi kuongea na watu 100. Hivyo kuna haja ya kuwachuja ubakiwe na watu kama 5 hivi ili uweze kufanya nao usaili wa mazungumzo. Hapo ndio written Interview inavyopukutisha watu, maana kufeli written Interview haimaanishi wewe ni kilaza. Unaweza kukuta huyo aliefeli written ana uzoefu mkubwa wa kazi plus vyeti vizuri zaidi ila ndio hivyo hakufanikiwa kupita.
Dogo fresh from school anakunyoosha vizuri na kupita oral huyoo anapata mchongo. Mfano nafasi kama hizi za Tutorial Assistant dogo katoka shule halafu hajawahi fanyia kazi field yake halafu anarudi tena kuzalisha wataalamu wengine hali ya kua yeye hajui chochote zaidi ya kusoma notes. Mwengine ana 3+ years ya experience na good certificates ila ndio hivyo kashaliwa kichwa.
Ila ndio hivyo hamna namna lazima watu wapunguzwe.