wasiwasi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Nina wasiwasi na haya mawasiliano ya wife na karani mwenzie wa sensa

    Za saizi waheshimiwa Wife ni mwalimu wa primary, amepata kazi ya kuwa karani wa sensa. Sasa toka zoezi lianze naona kuna jamaa wanawasiliana mara kwa mara, kwenye simu nimeona amemsave Peter sensa. Leo asubuhi nimeona jamaa amemtext wife eti tukutane pale pa jana, nikamhoji wife jamaa ni nani...
  2. Lady Whistledown

    Shule zafunguliwa huku kukiwa na wasiwasi wa kukatizwa kwa kalenda ya Masomo

    Shule zimefunguliwa baada ya mapumziko ya wiki mbili kwa ajili ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Agosti 9, huku Mamlaka zikisema kwamba ratiba ya masomo haitaongezwa ili kuruhusu wanafunzi kufidia muda uliopotezwa Wadau wamedai kuwa Ratiba inaweza kuathiriwa zaidi iwapo Mahakama ya Juu itaamuru...
  3. ndege JOHN

    Jinsi ya kudhibiti wasiwasi

    Weekend nilikuwa nimekaa na washikaji zangu wanne sehemu tunakunywa pombe wote ni watumishi wizara mbalimbali na sio wenyeji wa huu Mkoa. Sasa pembeni ya ile bar alikuwepo amekaa jamaa fulani ambaye kwa maelezo ya washikaji zangu ni Kuwa jamaa ni usalama wa taifa japo mimi sina uhakika sana...
  4. Lady Whistledown

    Marekani yaonesha wasiwasi kuhusu hali ya Haki za Binadamu nchini Rwanda

    Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, Antony Blinken, ametoa wito kwa Rais Kagame kushughulikia Ulinzi wa Kisheria Nchini humo hasa usawa katika usikilizwaji wa Kesi akimrejelea Paul Rusesabagina, anayetumikia kifungo kwa tuhuma zinazodaiwa kuwa zenye msukumo wa kisiasa Paul Rusesabagina...
  5. Bujibuji mafuriko

    Ukinunua gari kwa dalali, wasiwasi

    Najua ujanja duniani ni mwingi Sana. Gari la mkononi ni chombo ambacho usipokuwa makini unapigwa mchana kweupe pee. Wengine Hadi wanaacha kuagiza Japan au uarabuni ni hofu ya kupigwa. Mimi ni miongoni mwao. Madam hakuna kampuni nchini itayonohakikishia gari chessis namba flani IPO na mmliki...
  6. Gama

    Kim Jong-un wa North Korea atiwa wasiwasi na maputo yaanayorushwa na mahasimu wake

    Wapinzani wa mtawala wa North Korea ambao wengi wao wako korea ya Kusini wamekuwa wakipeleka misaada jamaa zao walioko Korea ya Kiduku kwa kutumia maputo maalum yaliyojajwa hewa ya helium. Misaada amabayo imekuwa ikipelekwa kwa njia hiyo ni pamoja na madawa, barakoa na tembe za Vitamin c...
  7. L

    Nchi za Magharibi zatiwa wasiwasi na hasira na kuongezeka kwa ushawishi wa China barani Afrika

    Likiita Afrika "bara lisilo na matumaini" na kushangilia uvamizi wa Marekani nchini Iraq, jarida la The Economist la nchini Uingereza limekuwa halifichi mantiki yake ya "Eurocentrism" na "ukuu wa wazungu". Hivi karibuni, mfululizo wa ripoti zilizotolewa na jarida hilo "China barani Afrika" kwa...
  8. figganigga

    Mizengo Pinda: Wananchi wa Loliondo wanaohofia kuhamishwa, wasiwe na Wasiwasi (Machi, 2013)

    Salaamm Wakuu, Hapa chini ni barua ya aliyekuwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda, aliyomuandikia Mkuu wa Mkoa wa Arusha wakati huo Magesa Mulongo, akitaka akawaondoe Wasiwasi Wananchi wa Loliondo wanaohofu kwamba Watahamishwa. Tuisome kwa Pamoja na tutafakari, je kulikuwa na Lazima ya kutokukaa meza...
  9. Gama

    Wahamaji wanatakiwa kuhamishiwa Rwanda kutoka Uingereza waonesha wasiwasi

    Wazamiaji wanaotoka nchi mbalimbali na kukimbilia Uingereza wameonesha wasiwasi kuwa wanaenda kuishi katika mateso kwakuwa wanajua kuwa hakuna amani na demekrasia katika nchi ya Kagame Migrants say Rwanda deal won't stop them 7h ago © BBC Five weeks after the UK announced a deal with Rwanda...
  10. GENTAMYCINE

    Nina wasiwasi sana kwa 'Kiherehere' cha Tanzania Kukubali kuwa Kituo cha Mapambano ya Ugaidi Afrika

    Nina Kumbukumbu ya nchi kadhaa barani Afrika ( ikiwepo Kenya ) na hata za huko Kwingineko duniani zilizokuwa na 'Kiherehere' cha kuwa Vinara wa Upambanaji wa Ugaidi duniani jinsi ambapo ziligeuka kuwa 'Target' ya Mashambulizi ya Makundi ya Ugaidi yaliyopelekea Vifo na Uharibifu mwingi. Je...
  11. Fbn

    Sababu zinazonipa wasiwasi kuhusu 'Yellow card App' (mfumo wa kununua sarafu za kidigitali)

    Dunia kila siku inabadilika kulingana na teknolojia inataka nini! Wale walio jikita na sarafu kama bitcoin mtakuwa mnafahamu kuwa bitcoin thamani yake ni kubwa na si rahisi kuinunua kama mgeni au kipato kidogo. Baada ya wamiliki kuwa wengi walianzisha mtindo wa kununua kwa njia P2P ambayo...
  12. Frumence M Kyauke

    Je, wako wapi wakongwe hawa?

    Miongoni mwa sintofahamu inayoendelea ni kutojulikana alipo aliyekuwa staa wa Bongo Movies, Mikalla aliyeng’ara kwenye Filamu ya The Lost Twins akitumia jina la Anita; filamu iliyoandaliwa na aliyekuwa kinara wa tasnia hiyo, marehemu Steven Kanumba chini ya Kampuni ya Mtitu First Game Quality...
  13. mwanzo wetu

    Nina siku moja tangu nimemaliza dawa za UTI naweza kunywa pombe?

    Mimi na siku moja nimemaliza dozi za UTI , sasa leo nimejikuta na kunywa pombe ,naomben ushauri je nimekata dozi , na weza kuanza upya? Nawaza sana naomben ushauri ndugu zangu.
  14. kavulata

    Kuchimba mchanga wa bahari kama madini kunaleta wasiwasi wa kimazingira

    Wazungu wana bahari kubwa kuliko waafrika, na mchanga wa bahari uko kwenye fukwe na ndani ya maji Bahraini. Swali ni kwanini wazungu waje kuchimba mchanga huo TANZANIA? Je, huu mchanga wanaotaka kuchimba kwetu haupatikani kwenye nchi nyingine Africa, Asia, ulaya au marekani ila Kigamboni tu...
  15. K

    Kumbe nchi kuwa na amani inamaanisha upigaji bila wasiwasi!

    Ndugu wanajamvi,, kumekuwa n amsemo maarfu kuwa nchi sasa inaamani katika utawala wa Samia basi mie nikajua ni amani ya kutulia bila kugopa vitisho. Kumbe watu wa serikalini na wafanyabiashara wakubwa au wanasiasa wakisema hivyo basi wanamaanisha tofuati. Nimefuatilia watu wazito nilioongea...
  16. Analogia Malenga

    Wasiwasi waongezeka Ujerumani kuhusu wimbi la nne la COVID-19

    Idadi ya kila siku ya maambukizo mapya ya virusi vya corona nchini Ujerumani imefika kileleni. Taasisi ya kudhibiti magonjwa ya kuambukiza, Robert Koch, imerikodi maambukizi mapya 33,949 ndani ya siku moja. Hayo ni maambukizo 172 zaidi ya yaliyorekodiwa mwezi Desemba 2020. Hata hivyo...
  17. Meshacky Allyson

    Wasiwasi kwenye mapenzi ni Muhimu mno

    Habari wana JF, Natumaini mu wazima wa afya, binafsi nimeona hili ni jambo jema nije kushare na nyinyi ndugu zangu, iko hivi sometimes nimeona malalamiko humu mtu akilaumu kuwa mpenzi wake hamuami sijui kila mara kwa mara anamuuliza uko wapi, na vitu kama hivyo. Binafsi hili naliona ni jambo...
  18. Tripo9

    RC Kunenge aonesha wasiwasi dozi 15,000 za Uviko-19 ambazo hazijatumika zinaweza ku expire kama hazitatumika. Aweka mikakati ya kuhakikisha zinatumika

    Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge amesema kuna chanjo 15,000 za Uviko-19 hazijatumika mkoani humo huku kukiwa na changamoto kwa kuwa baada ya mwezi mmoja kuanzia leo Jumamosi Septemba 25, 2021 zitafikia mwisho wa matumizi yake. Ameeleza kuwa mkoa umepata dozi 15,000 za chanjo ya...
  19. SACO

    Mke wangu hajableed takribani miezi mitatu

    Habari wataalamu, naomba niende moja kwa moja kwenye swali langu. Mwanzoni mwa mwezi wa saba wife akiwa na ujauzito wa miezi mitatu alianza kutoka damu ghafla na hatimae mimba ikatoka na wakampa dawa flani sikumbuki za kusafisha. Tatizo ni kuwa mpaka sasa hajableed takribani miezi mitatu kasoro...
  20. Molleli

    Nashangaa kwenye daladala tunahimizwa kuvaa barakoa ili hali Waukae festival lile nyomi hakuna hata alovaa barakoa!

    Nahisi siasa imetumaliza wabongo tunahitaji mabadiliko makubwa hasa iki kipindi cha uviko 19 naona kama viongozi wetu wanawaza ujinga badala ya kufanya kazi za misingi kwa taifa letu. Poor us
Back
Top Bottom