Nimekwenda kutoa pesa ATM ya Posta, ikatoka risiti ambayo inaonyesha kiasi kilichotolewa lakini salio/ baki (balance) haionyeshwi.
Tangu miaka yote risiti imekuwa inatoka na kuonesha salio/baki/(au kwa kizungu balance). Leo kwa mara ya kwanza salio halikuoneshwa.
Maana yake nini?: Ni kuwa kwa vile wanakata TOZO hawataki uone wamekuibia kiasi gani. Hii siyo sawa. Mwigulu kuna siku utalipa madhambi haya ya kuwaibia Watanzania.
Unashibisha tumbo lako na wanao wako Feza wanasoma, wa walala hoi wanakatwa TOZO za wizi na kukosa mikopo.
Kuna siku utalipa madhambi haya hata ukiwa kaburini.
Tangu miaka yote risiti imekuwa inatoka na kuonesha salio/baki/(au kwa kizungu balance). Leo kwa mara ya kwanza salio halikuoneshwa.
Maana yake nini?: Ni kuwa kwa vile wanakata TOZO hawataki uone wamekuibia kiasi gani. Hii siyo sawa. Mwigulu kuna siku utalipa madhambi haya ya kuwaibia Watanzania.
Unashibisha tumbo lako na wanao wako Feza wanasoma, wa walala hoi wanakatwa TOZO za wizi na kukosa mikopo.
Kuna siku utalipa madhambi haya hata ukiwa kaburini.