Maji ya upako ni nini? Ni kweli? Yanatoka wapi? Yanaponya?

ngotho

Senior Member
Jun 18, 2021
142
110
Salute to all my fathers, mothers, brothers, sisters and my age mates in this social forum.. straight to the topic of discussion.

nimekuwa nikisikia tetesi nyingi sana hasa kwa makanisa mengi na watumishi wa mungu humu nchini kuhusu maji ya upako.

kuna siku nilikuwa kijiweni muda fulani hivi wa jioni.. kwa kawaida yangu huwa napenda sana sehemu peke yangu ila ushirikiano na watu napenda sana japo Mungu hakunipa skills za kutosha za kujumuika na wenzangu.. nikijumuika nao nakosa la kusema.

katika kukaa kwangu na kasimu kangu ka..pop 2. nikisaikia tetesi tutoka kwa mbaba moja kuhusu maji ya upako..
qouted as.

Yaan yule mwanamke amakaa sana na ule ugonjwa, hata watoto wake wawili wa mwisho walizaliwa wakiwa HIV +.. lakini saiv inasemekana hana ugonjwa .. alienda kanisan na kupewa yale maji ya upako .. mpaka sasa hana ugonjwa" kabla ya sekunde kutengeneza dakika, akafika hapo mzee mmoja aliyevaa miwani ya brown.. mikononi alikuwa amebeba kabegi kadogo.(briefcase).. alivaa koti jeusi ila ndani alivaa shati bila kufunga tai.. " bwana asifiwe!" aliwasalimu wale majamaa kwa heshima sana na unyenyekevu mzuri.. niliupenda lakini.

Maongezi ya kawaida yalipaamba moto pale ila unavyomjua tu mtumishi wa Mungu.. hakusita kugusa neno la Mungu.. nilizidi kuyatega masikio ndi! kwani neno la Mungu nalipenda sana japo mi ni mvivu kwenda kanisani.

Aliendelea kuongea maneno yenye busara kweli kweli huyo mzee, nikaamini kuwa an old is gold, ikiwemo kuwakaribisha watu kwenye kongamano/mkutano ulikuwa unaendeshwa hapo karibu.. aliendelea kusisitizia kwa kusema kuwa.. * tunaponya watu wenye matatizo yote kwa maji ya upako kupitia jina la yesu kristo* uvimbe wa tumbo na MATATIZO MENGINE YOTE.

Baadae nikapigiwa simu.. kuna mgeni alikuwa anahitaji nyumbani kwahiyo sikubahatisha kumsikiliza mpaka mwisho ilibidi tu niende nyumbani.

Naombeni kujua kuhusu hili swala la maji ya upako. ndugu zangu..
Hivi ni kweli yapo na yanaponya?
wanayatoa wapi?
Tujuzane wakubwa..
Karibuni....
Ni mimi mdogo wenu...
 
Mimi mama yangu ametajiwa majina ya wa chawi waliokusudia kumuua na kupitia ibada ya maji na mafuta, kapona kabisa.
Ukumbi wa makosa Iringa kwa mtoto wa Nabii Mriri
 
Hao ni wachawi na Waganga! Yaani ni washirikina kwenye Kivuli cha Upako.
 
Wanadamu tuna shida pahali,why uhisi hao watu ni wapigaji?Tumehalalishiwa upande wa giza sana na tunauamini kuwa unafanya kazi.Mfano watu wanaandika kombe na watu wanalinywa na wanaamini wanapona,watu wanaandika karatasi waweke juu ya mlango na wanaamini ni ulinzi,watu wanapewa jini liwape fedha na wanapewa,pamoja na mengine mengi.Sasa Je?Hivyo vyote vinazidi uwezo wa Mungu?
 
Salute to all my fathers, mothers, brothers, sisters and my age mates in this social forum.. straight to the topic of discussion.

nimekuwa nikisikia tetesi nyingi sana hasa kwa makanisa mengi na watumishi wa mungu humu nchini kuhusu maji ya upako.

kuna siku nilikuwa kijiweni muda fulani hivi wa jioni.. kwa kawaida yangu huwa napenda sana sehemu peke yangu ila ushirikiano na watu napenda sana japo Mungu hakunipa skills za kutosha za kujumuika na wenzangu.. nikijumuika nao nakosa la kusema.

katika kukaa kwangu na kasimu kangu ka..pop 2. nikisaikia tetesi tutoka kwa mbaba moja kuhusu maji ya upako..
qouted as.

Yaan yule mwanamke amakaa sana na ule ugonjwa, hata watoto wake wawili wa mwisho walizaliwa wakiwa HIV +.. lakini saiv inasemekana hana ugonjwa .. alienda kanisan na kupewa yale maji ya upako .. mpaka sasa hana ugonjwa" kabla ya sekunde kutengeneza dakika, akafika hapo mzee mmoja aliyevaa miwani ya brown.. mikononi alikuwa amebeba kabegi kadogo.(briefcase).. alivaa koti jeusi ila ndani alivaa shati bila kufunga tai.. " bwana asifiwe!" aliwasalimu wale majamaa kwa heshima sana na unyenyekevu mzuri.. niliupenda lakini.

Maongezi ya kawaida yalipaamba moto pale ila unavyomjua tu mtumishi wa Mungu.. hakusita kugusa neno la Mungu.. nilizidi kuyatega masikio ndi! kwani neno la Mungu nalipenda sana japo mi ni mvivu kwenda kanisani.

Aliendelea kuongea maneno yenye busara kweli kweli huyo mzee, nikaamini kuwa an old is gold, ikiwemo kuwakaribisha watu kwenye kongamano/mkutano ulikuwa unaendeshwa hapo karibu.. aliendelea kusisitizia kwa kusema kuwa.. * tunaponya watu wenye matatizo yote kwa maji ya upako kupitia jina la yesu kristo* uvimbe wa tumbo na MATATIZO MENGINE YOTE.

Baadae nikapigiwa simu.. kuna mgeni alikuwa anahitaji nyumbani kwahiyo sikubahatisha kumsikiliza mpaka mwisho ilibidi tu niende nyumbani.

Naombeni kujua kuhusu hili swala la maji ya upako. ndugu zangu..
Hivi ni kweli yapo na yanaponya?
wanayatoa wapi?
Tujuzane wakubwa..
Karibuni....
Ni mimi mdogo wenu...
Maji ya kuoshea maiti hayo
 
Kulikua na enzi za Moses kulola sijui hata aliishia wapi?
Nilikua mlokole full enzi hata ulokole sijui uliishia wapi,
Life ni kitendawili kigumu sana.
Mpk leo siamini chochote duniani.
 
Maji ya upako, mafuta ya upako, maji ya baraka, visanamu vya bikira maria na vikolombwezo vyake vyote ni hirizi za kidini zilizoingizwa kijanja makanisani. Ni ubagani wa kawaida sana uliopandikizwa kwenye dini za kikristo.

Ukristo halisi unaanzia na kuishia kwa Yesu pekee yake kwa njia ya imani (kuliamini neno lake tu) na sio kusumbuka kutumainia au kukumbatia tangible/visual materials.
 
Kulikua na enzi za Moses kulola sijui hata aliishia wapi?
Nilikua mlokole full enzi hata ulokole sijui uliishia wapi,
Life ni kitendawili kigumu sana.
Mpk leo siamini chochote duniani.
Rudi kwa Bwana Yesu,yeye Ana uzima wa milele
 
maji ya upako ni maji ya uhai au afya na kampuni nyingine. maji ya upako ni biashara nzuri sana kuliko dawa za kulevya unachuma pesa kwa mda mfupi. maji ya upako hayaponyeshi wala hayatibu ila yanatoa kiu, wachungaji wamepata njia ya upigaji,maana wajinga ni wengi saana na kuja kutambua itachukuwa miaka mingi sana mpaka yesu arudi
 
Back
Top Bottom