guwe_la_manga
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 2,820
- 2,755
Nipo Mkoani Simiyu Wilaya Ya Meatu.
Huwa nanua sabuni hizi kwa bei kati ya 10500,10800 au 11000.
Hizi bei na karibu katika maduka yote ya jumla jumla hapa Mwanhuzi.
Ningependa kudeal na ununuzi na uuzaji wa sabuni hizi peke yake kwa ujumla na kisha kuziuza mwenye rejareja huko vijijini.
Ni vipi na wapi naweza kuzipata kwa bei chini ya 10200?
Huwa nanua sabuni hizi kwa bei kati ya 10500,10800 au 11000.
Hizi bei na karibu katika maduka yote ya jumla jumla hapa Mwanhuzi.
Ningependa kudeal na ununuzi na uuzaji wa sabuni hizi peke yake kwa ujumla na kisha kuziuza mwenye rejareja huko vijijini.
Ni vipi na wapi naweza kuzipata kwa bei chini ya 10200?