Umeshajifunza kwenye uwanja wa chato kwanza?Wazee.
Mnakumbuka zile heka heka za gesi ya Mtwara? Kipindi hicho Kinyerezi kulikuwa busy si kawaida.
Haya, Mama yetu tuambie hayo manufaa ya gesi Kwa wananchi wa kawaida ni upi?
Wana Mtwara vipi wanafaidika na gesi? Tujifunze kwenye gesi
Gesi ina muda mkuu, tuache porojo.Ni roho mbaya tu ya marehemu ili mtangulizi wake afadhaike. Hakuna umeme wa uhakika kama wa gesi. Huu wa maji kuna siku tutakumbushana.
Mkuu unajua maana ya Bwawa kujaa mchanga/udongo/matope?Gesi ina muda mkuu, tuache porojo.
Kuna mtambo wa kwanza kabisa duniani wa kuzalisha umeme ulianza kuzalisha mwaka 1882 na mpaka leo huko marekani bado wanautumi, so ukileta issue nyeti tumia akili kuelewa which is which, gase inaweza kutumika kwa miaka 50 then ikadrop maji je?.
Mikataba yote imepigwa password unategemea nini zaidi ya kutoka matengaWazee.
Mnakumbuka zile heka heka za gesi ya Mtwara? Kipindi hicho Kinyerezi kulikuwa busy si kawaida.
Haya, Mama yetu tuambie hayo manufaa ya gesi Kwa wananchi wa kawaida ni upi?
Wana Mtwara vipi wanafaidika na gesi? Tujifunze kwenye gesi