Mtu hajielewi anataka mwanaume anaeeleweka, sister ndege wafananao huruka pamoja.
Nilikuwa na huyu manzi alikuwa na jamaa yake, so nikawa napiga kama mwizi japo hajaolewa na haishi nae.
Katika mazungumzo yake bidada akawa anasema akinifumania tunaachana maana hawezi kushea, nikawa namchora tu...