Jambo?
Kwa ulimwegu wa sasa wenye changamoto nyingi za malezi na uzinzi uliokithiri kupita kiasi usije ukajidanganya kuwa mwanamke unaetaka/uliemuoa anakupenda kwa dhati.
Mwanamke aliewahi kuwa na mahusiano kadhaa nyuma huwa anaolewa kwasababu ya vitu na sio upendo wa kweli.
Sasaivi sio jambo la ajabu kuona Mwanamke akidai talaka baada ya kufunga Ndoa iliyodumu kwa muda mchache, sasaivi sio ajabu kuona Mwanamke akimuua Mwanaume wake ili arithi mali, sasaivi sio ajabu kuona Mwanamke akimuibia mume wake mali na kuziwekeza sehemu ili baadae awe na maisha ya uhuru na kujitegemea.
Kama wewe ni Mwanaume na unajitambua basi ni vyema ukajiweka tayari muda wowote dhidi ya Mwanamke utakaemuoa.
Kama unaona mambo hayaeleki ni vyema ukaishi peke yako, kwani kuishi peke yako sio kosa kisheria ndio maana hata Manguli wa Sayansi waliishi peke yao bila ya kuoa.
Mjanja M1 ✍️
Kwa ulimwegu wa sasa wenye changamoto nyingi za malezi na uzinzi uliokithiri kupita kiasi usije ukajidanganya kuwa mwanamke unaetaka/uliemuoa anakupenda kwa dhati.
Mwanamke aliewahi kuwa na mahusiano kadhaa nyuma huwa anaolewa kwasababu ya vitu na sio upendo wa kweli.
Sasaivi sio jambo la ajabu kuona Mwanamke akidai talaka baada ya kufunga Ndoa iliyodumu kwa muda mchache, sasaivi sio ajabu kuona Mwanamke akimuua Mwanaume wake ili arithi mali, sasaivi sio ajabu kuona Mwanamke akimuibia mume wake mali na kuziwekeza sehemu ili baadae awe na maisha ya uhuru na kujitegemea.
Kama wewe ni Mwanaume na unajitambua basi ni vyema ukajiweka tayari muda wowote dhidi ya Mwanamke utakaemuoa.
Kama unaona mambo hayaeleki ni vyema ukaishi peke yako, kwani kuishi peke yako sio kosa kisheria ndio maana hata Manguli wa Sayansi waliishi peke yao bila ya kuoa.
Mjanja M1 ✍️