Kwa nyakati mbalimbali nimekuwa nikiona masekeseke mengi nchi za umoja wa ECOWAS ila kinachonichanganya kwanini? Ma-first lady wengi wa kizungu
Mfano mwaka jana kulitokea mapinduzi ya kijeshi ya NIGER baada ya kufuatilia niligundua Rais alikuwa na mke mzungu aliyesadikika ni mfaransa
Juzi tena wakati IVORY COST wanatwaa ubingwa pale jukwaani nikaona Rais akiwavisha medali wachezaji pia firstlady alikuwa ni mzungu.
Je ni kukosa uzalendo? Au ndio mapenzi ni upofu.
Na hii vipi kwenye usalama wa nchi hasa zile sensitive information.
Mfano mwaka jana kulitokea mapinduzi ya kijeshi ya NIGER baada ya kufuatilia niligundua Rais alikuwa na mke mzungu aliyesadikika ni mfaransa
Juzi tena wakati IVORY COST wanatwaa ubingwa pale jukwaani nikaona Rais akiwavisha medali wachezaji pia firstlady alikuwa ni mzungu.
Je ni kukosa uzalendo? Au ndio mapenzi ni upofu.
Na hii vipi kwenye usalama wa nchi hasa zile sensitive information.