Wanawake walivyoishusha hadhi dhambi ya uzinzi kuwa sawa na dhambi maarufu Afrika ya Uongo

matunduizi

JF-Expert Member
Aug 20, 2018
6,587
15,373
Dhambi ya uzinzi imeshushwa hadhi sana na wanawake. Ugumu wa maisha na tamaa zisizona breki zimepelekea wana wa kike kuwa cheap kila siku zinavyokwenda.

Zinaa imeshuka hadhi na sasa imekuwa dhambi kama uongo. Dhambi ya uongo ndio nyepesi kufanyika sana afrika maana maisha yetu yamekaa kisiasasiasa na ujanjaujanja.

Sasa hivi mtu akila tunda kimasihara au kwa kusudiana sio habari ya kujivunia bila kujali ni mke wa mtu, msomi, mwasasiasa, mzungu, mchina, mchungaji au ustaadhat hatushangai ni kawaida kabisa.

Ushauri:
Jitahidi kushughulika na mambo ya maana sio kufukuzia wana wa kike maana kwa sasa ni sawa na kuwinda kuku wa kisasa broiler kwa mishale na mabomu.

Zinaa sio kitu cha kujivunia au kujipongeza. Ni afadhali uokoe Muda kwa kutafuta utakayemvumilia uoe kisha uendelee na harakati nyingine za maisha.

Ni hayo tu.
 
Dhambi ya uzinzi imeshushwa hadhi sana na wanawake. Ugumu wa maisha na tamaa zisizona breki zimepelekea wana wa kike kuwa cheap kila siku zinavyokwenda.

Zinaa imeshuka hadhi na sasa imekuwa dhambi kama uongo. Dhambi ya uongo ndio nyepesi kufanyika sana afrika maana maisha yetu yamekaa kisiasasiasa na ujanjaujanja.

Sasa hivi mtu akila tunda kimasihara au kwa kusudiana sio habari ya kujivunia bila kujali ni mke wa mtu, msomi, mwasasiasa, mzungu, mchina, mchungaji au ustaadhat hatushangai ni kawaida kabisa.

Ushauri:
Jitahidi kushughulika na mambo ya maana sio kifukuzia wakina mama au dada maana kwa sasa ni sawa na kuwinda kuku wa kisasa broiler kwa mishale na na mabomu.

Zinaa sio kitu cha kujivunia au kujipongeza. Ni afadhali uokoe Muda kwa kutafuta utakayemvumilia uoe kisha uendelee na harakati nyingine za maisha.

Ni hayo tu.
Siyo kwa wanawake tu Africa kwa wazungu huko balaa
 
Hii ni baada ya vita ya pili ya dunia watu wengi waliingia kwenye msongo wa mawazo na hofu ya maisha ngono ikawa tulizo la nafsi ambapo Kila mtu akaona anapata furaha hata ikitokea amekufa ila kaisha pata furaha (Game of throne) Kuna episode Arya anafanya mapenzi ili TU ajue Radha yake maana vita Kali inakuja (the dead are coming)
 
Hii ni baada ya vita ya pili ya dunia watu wengi waliingia kwenye msongo wa mawazo na hofu ya maisha ngono ikawa tulizo la nafsi ambapo Kila mtu akaona anapata furaha hata ikitokea amekufa ila kaisha pata furaha (Game of throne) Kuna episode Arya anafanya mapenzi ili TU ajue Radha yake maana vita Kali inakuja (the dead are coming)
Hii nilikuwa sijui. Asante
 
Dhambi ya uzinzi imeshushwa hadhi sana na wanawake. Ugumu wa maisha na tamaa zisizona breki zimepelekea wana wa kike kuwa cheap kila siku zinavyokwenda.

Zinaa imeshuka hadhi na sasa imekuwa dhambi kama uongo. Dhambi ya uongo ndio nyepesi kufanyika sana afrika maana maisha yetu yamekaa kisiasasiasa na ujanjaujanja.

Sasa hivi mtu akila tunda kimasihara au kwa kusudiana sio habari ya kujivunia bila kujali ni mke wa mtu, msomi, mwasasiasa, mzungu, mchina, mchungaji au ustaadhat hatushangai ni kawaida kabisa.

Ushauri:
Jitahidi kushughulika na mambo ya maana sio kifukuzia wakina mama au dada maana kwa sasa ni sawa na kuwinda kuku wa kisasa broiler kwa mishale na na mabomu.

Zinaa sio kitu cha kujivunia au kujipongeza. Ni afadhali uokoe Muda kwa kutafuta utakayemvumilia uoe kisha uendelee na harakati nyingine za maisha.

Ni hayo tu.
Hivi kuna dhambi kubwa na ndogo au mentalities zetu tu?
 
Dhambi ya uzinzi imeshushwa hadhi sana na wanawake. Ugumu wa maisha na tamaa zisizona breki zimepelekea wana wa kike kuwa cheap kila siku zinavyokwenda.

Zinaa imeshuka hadhi na sasa imekuwa dhambi kama uongo. Dhambi ya uongo ndio nyepesi kufanyika sana afrika maana maisha yetu yamekaa kisiasasiasa na ujanjaujanja.

Sasa hivi mtu akila tunda kimasihara au kwa kusudiana sio habari ya kujivunia bila kujali ni mke wa mtu, msomi, mwasasiasa, mzungu, mchina, mchungaji au ustaadhat hatushangai ni kawaida kabisa.

Ushauri:
Jitahidi kushughulika na mambo ya maana sio kifukuzia wakina mama au dada maana kwa sasa ni sawa na kuwinda kuku wa kisasa broiler kwa mishale na na mabomu.

Zinaa sio kitu cha kujivunia au kujipongeza. Ni afadhali uokoe Muda kwa kutafuta utakayemvumilia uoe kisha uendelee na harakati nyingine za maisha.

Ni hayo tu.
Hoja imekosa mashiko baada ya kuweka neno DHAMBI.

Kwa mujibu wa biblia, dhambi zote ni sawa. Hakuna dhambi ndogo wala kubwa, hivyo, hakuna dhambi ya kushushwa hadhi wala kupandishwa hadhi.
 
Hivi kuna dhambi kubwa na ndogo au mentalities zetu tu?
Kwa mtazamo wa Mwenyezi Mungu dhambi zote ni sawa.

Ila kibinadamu Zinaa imepewa hadhi kubwa sana. Ndio maana makanisani unaweza kudanganya hadi unakufa wanakuangalia tu ila siku ukijichanganya ukazini na ukawa wazi lazima wakule kichwa na kukuona kama shetani.
 
Hoja imekosa mashiko baada ya kuweka neno DHAMBI.

Kwa mujibu wa biblia, dhambi zote ni sawa. Hakuna dhambi ndogo wala kubwa, hivyo, hakuna dhambi ya kushushwa hadhi wala kupandishwa hadhi.
Usawa wa dhambi ndio kweli, ila kwenye utekelezaji hauko sawa.
Ndio maana mzinzi alikuwa anapongwa mawe, wakati muongo anapeta. Ndio maana pengine panasema dhambi ya uzinzi ni mbaya maana unaufanyia mwili wako. Hata kijamii zinaa inaonekana ni kitu kikubwa kuliko uongo.

Ila point ni kadili siku zinavyosonga inakaribia kusawazishwa sawa na umbea. Na sasa angalau mapenzi ya jinsia moja ndio yanashangaza kidogo
 
Back
Top Bottom