Kuna hawa wadada/wanawake wa kuwa attached to Jesus. Kwa ground ni nyoka

Engager

JF-Expert Member
Jan 12, 2011
1,274
2,648
Ukipitia accounts zao kwenye mitandao ya kijamii ni mwendo wa 'Asante Jehova' hawaposti nyimbo za kidunia wao ni gospal kwa kwenda mbele. Kujisnap wanaimba vijimbo vya kusifu na kuabudu. Jumapili kama hii wanajiposti, gauni refu la kitenge, biblia mkononi wanakwenda kanisani uuuuh

Wanawake wa namna hii kwenye ndoa wanacheat like never seen before.

Wasichana wa namna hii wanabadilisha wanaume balaa. Ndio vidangaji vinavyosumbua mtaani. I know you can relate.
 
Ukipitia accounts zao kwenye mitandao ya kijamii ni mwendo wa 'Asante Jehova' hawaposti nyimbo za kidunia wao ni gospal kwa kwenda mbele. Kujisnap wanaimba vijimbo vya kusifu na kuabudu. Jumapili kama hii wanajiposti, gauni refu la kitenge, biblia mkononi wanakwenda kanisani uuuuh....

Wanawake wa namna hii kwenye ndoa wanacheat like never seen before. Wasichana wa namna hii wanabadilisha wanaume balaa. Ndio vidangaji vinavyosumbua mtaani. I know you can relate.
Kubwa kuliko watu wanajionesha kuwa ni watu wa dini huwa wanakuwa na roho mbaya ajabu.
 
20240218_120728.jpg
 
Unanikumbusha jamaa yangu ni chapombe mbaya lakini anatembea na mke wa ostaaz wamepanga naye nyumba moja.
Ukimwona huyo mwanamke huwezi amini yaani mabaibui mda wote hadi uso huuoni. Ila jamaa anamtanguliza gest na mabaibui yake na anakwenda jichapia tu.
Mpaka najiuliza why?
 
Ukipitia accounts zao kwenye mitandao ya kijamii ni mwendo wa 'Asante Jehova' hawaposti nyimbo za kidunia wao ni gospal kwa kwenda mbele. Kujisnap wanaimba vijimbo vya kusifu na kuabudu. Jumapili kama hii wanajiposti, gauni refu la kitenge, biblia mkononi wanakwenda kanisani uuuuh....

Wanawake wa namna hii kwenye ndoa wanacheat like never seen before. Wasichana wa namna hii wanabadilisha wanaume balaa. Ndio vidangaji vinavyosumbua mtaani. I know you can relate.
Ni wivu tu juu yao unakuaumbua.
 
Ukipitia accounts zao kwenye mitandao ya kijamii ni mwendo wa 'Asante Jehova' hawaposti nyimbo za kidunia wao ni gospal kwa kwenda mbele. Kujisnap wanaimba vijimbo vya kusifu na kuabudu. Jumapili kama hii wanajiposti, gauni refu la kitenge, biblia mkononi wanakwenda kanisani uuuuh....

Wanawake wa namna hii kwenye ndoa wanacheat like never seen before. Wasichana wa namna hii wanabadilisha wanaume balaa. Ndio vidangaji vinavyosumbua mtaani. I know you can relate.
Ni kweli kabisa. Nakubaliana na wewe 100%
 
Back
Top Bottom