wanawake

Maendeleo Ya Wanawake Organisation (MYWO) is a women's NGO that deals with issues to do with women's rights and gender equity in Kenya. It was founded by Jemimah Gecaga in 1952 and has approximately 600,000 groups contributing to a total membership of about two million women. It is currently chaired by Rukia Subow and has various agendas in its mission statement, including maternal, child health and family planning and training women in leadership and development.Historically it was promoted by the British during their colonial rule over Kenya and helped provide services only for those against the Mau Mau anti-colonial uprising.Ruth Habwe served as secretary general of the organization from 1968 until 1971.

View More On Wikipedia.org
  1. Hili linaweza kuwa jibu tosha kwa wale wanawake wanaopenda kupeleka matatizo ya kimahusiano mitandaoni

    Dear Uncle Naomba msaada wako nifanye nini? Mimi ni mke wa mtu, na mume wangu tunapendana sana. Juzi niliondoka kwenda kazini nikamuacha mume wangu ana angalia TV. Sikufika mbali gari ghafla likazima, nikalazimika kutembea kwa miguu kurudi nyumbani ili niikamwambie mume wangu anisaidie...
  2. S

    Wanaume ndio wanakwazika zaidi wawapo na maumbile madogo (vibamia) kuliko hata wanawake (wenza wao)

    Watafiti wanaeleza kuwa wanaume ndio huwa wanakwazika zaidi wawapo na vibamia kuliko jinsia ya kike (wenzi wao). Na huwa watoa madai ati hawawafikishi wenzi wao kileleni kwa kuwa na maumbile ya hayo. Wengi wao (wanaume) hudai eti mpaka uwe na tango ndio utafikia G-Spot ya mke. Utashangaa hata...
  3. Ewe mwanamke, tupe mkasa wako ulivyompenda mshamba wa mapenzi, ukamrahisishia lakini bado tu anahangaika

    Kuna wanaume wanatokeaga kupendwa sana na wanawake lakini kwa sababu wana ushamba wa mapenzi, mwanamke anatokea kufanya shughuli kubwa mno ili kumrahishia mwanaume kazi lakini bado mwanaume huyo anakuwa hajui kinachoendelea. Ewe mwanamke, kama uliwahi kukutana na hali hii, mwaga mkasa wako hapa
  4. Maradona atakuwa amesingiziwa ati kalala na wanawake karibu 8,000!

    https://www.yahoo.com/news/maradonas-unknown-children-battle-over-180925878.html
  5. Dhana ya wanawake kupenda Kama wanaume imeharibu sana jamii yetu

    Kinachofanya jamii iharibike ni Ile dhana ya Wanawake nao kutaka kuchagua mtu ata Kama Hana nyuma Wala mbele, matokeo yake mwanamke anazaa na wanaume wa ajabu ajabu hawana malengo na kupelekea kuwepo kwa single mother wengi, unavyombebea mimba mwanaume kwa kigezo Cha moyo unampenda ni uzwazwa...
  6. Usafiri wa daladala ni kipimo cha kiwango cha roho mbaya cha wakinamama na wadada

    Mwanamke mwenzako mjamzito anastahili huruma mpishe siti, upate thawabu. Mwanamke mwenzako anamtoto mchanga, mpishe siti akae, upate thawabu Ikitokea umekanyagwa bahati mbaya na mwanamke mwenzako usitukane na kuwa mtata, kuwa muelewa daladala sio Hammer au V8. Wanaume wenzagu katika hili, Mungu...
  7. Wanawake wangekaa kimya kungekuwa hakuna matatizo katika Familia

    if women would just keep quiet there won't be any problem in family. A wife and husband visited a farm, they saw a bull having sex with cow. The wife asked the farm manager.. "How many times does a bull having sex per day"? Manager replied "6 times or more a day" Wife looks at her husband and...
  8. Spika Ndugai anasema hawezi kuwafukuza bungeni Wanawake kwa maana dunia itamshangaa; lakini hashangai Serikali kuwafukuza shule wanawake

    Wakuu amani iwe nanyi Mwendelezo wa mtifuano mkali, CCM sasa inamtetea mwanamke kwa kila namna. Ni hivi: Jana spika Job Ndugai alisema kuwa hawezi kuwafukuza bungeni wale akina mama kwa sababu dunia nzima itamshangaa kwa kuwafukuza wanawake bungeni na hali hiyo itapelekea yeye binafsi...
  9. Ukiwa 'broke' Mwanamke hawezi kukusaidia

    Kwanini wanawake wengi ikatokea ukayumba kidogo au ukamwambia mpenzi wangu nisaidie kiasi fulani nitrejesha anasema sina, huku unajua anayo. Tabia hii inakera sana
  10. Wanaume mnaonyanyaswa na wanawake msifiche uovu huo

    WANAUME WATAKIWA KUTOFICHA UKATILI WANAOTENDEWA. Kamanda wa polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni ACP Ramadhani kingai amewashauri wanaume kuacha kuficha vitendo viovu wanavyotendewa na wanawake kwa kutoa taarifa katika mamlaka husika ili watuhumiwa washughulikiwe kisheria. Ushauri huo aliutoa...
  11. U

    Askari wa JWTZ Atuhumiwa Kwa Mauaji ya Mke Wake wa Ndoa Huku Akijaribu Yeye Mwenyewe Kujiua Bila Mafanikio

    Askari huyo wa Jeshi la Wananchi Tanzania (JWTZ) anayeenda kwa jina la Daniel Warioba alijaribu kujiua kwa kunywa sumu baada ya tukio hilo lakini hakufanikiwa. Uchunguzi wa tukio hilo la kutisha lililotokea Mlandizi Mkoani Pwani bado unaendelea na taarifa kamili itatolewa na mamlaka husika...
  12. D

    Tuliporuhusu sera ya 50 kwa 50 dhidi ya wanawake tulikosea

    Katika Sera mbovu Viongozi walizokosea, ni hii Sera ya 50 kwa 50! Mtakumbuka mwanzoni mwa miaka ya tisini na mapema miaka ya 2000; Sera ya elimu ilianza kuwabeba wanawake kwenye ufaulu! Wanawake waliopata madaraja ya chini ya ufaulu (lower division), walipewa kipaumbele cha kuchaguliwa...
  13. D

    Wanawake wa siku hizi wengi wao hawabebi kanga wala kitambaa cha kujifutia wanapokwenda faragha na wenza wao

    Mambo yanakwenda kasi sana! Siku hizi wanawake waliowengi hawabebi vitambaa wala kanga za kujifutia baada ya kufanya mapenzi! Sielewi wamepatwa na nini! Mwanamke wa dizaini hii nilikuwa nikikutana naye asipokuwa na kanga, basi Mimi nilikuwa najifutia chupi yake! Sasa siku hizi hali imekuwa...
  14. Ogopa kama ukoma wanawake wanaokuambia fulani (Rafiki yako) kanitongoza

    Wakuu habari za majukumu? Wanaume wenzangu huwa inatokea sana kwenye mahusiano kuambiwa na mwanamke uliyenae katika mahusiano "kaka yako kanitongoza" au "rafiki yako ananitongoza", kwa kweli nimejifunza mengi kutoka kwa hili na ninaongea nina uhakika. Wanawake wana tabia ya ku manipulate akili...
  15. Hii imeniuma balaa! Wanawake Mungu anawaona...

    Dah IMENIUMA japo HAYANIHUSU ila nimemuonea huruma sanaa mwamba. Ni mwezi wa 12, Kama kawaida ikifika december au ikiwa inakaribia huwa nazama mikoa ya baridi kupanda miti. Safari hii nimekuja mkoa fulani hivi nyanda za juu kusini na lengo ni kupanda miti ya matunda. Sasa katika hiyo guest...
  16. Wanawake wenye pesa ndio wenye True love

    Wakuu! Huu ni utafiti Rasmi nilioufanya mimi mwenyewe kwa miaka mitano. Utafiti wangu niliuweka kwa mtindo wa swali; WANAWAKE WAPI NDIO WENYE MAPENZI YA KWELI? Muda wa Utafiti: Miaka Mitano Sampo ya wafanyiwa Tafiti: Mia moja thelasini Maeneo ya Utafiti: Dar es salaam, Arusha, Mwanza...
  17. CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao

    Wanabodi, Kila nipatapo fursa, huja na makala zangu za kwa maslahi ya taifa. Japo mimi ni kada wa chama cha siasa na sio CHADEMA, ukada wangu, haunizuii kutoa ushauri kwa Chama chochote kukisaidia. Upendo wa kweli ni pale unapoona jirani yako ambaye ni kipofu, haoni mbele, anatembea na...
  18. J

    Zifahamu changamoto wanazokabiliana nazo Wanawake waliojifungua Watoto Njiti

    Kukimbiwa na kutengwa na wenza (Baba wa Mtoto): Wanaume wengi na ndugu hudhani kupata Mtoto Njiti ni jambo la laana au mkosi hivyo humtenga Mama na Mtoto wake Kushindwa kumudu gharama za malezi ya Mtoto: Watoto waliozaliwa kabla ya muhula kutimia au waliozaliwa na uzani wa chini wanahitaji...
  19. CHADEMA wajipange upya kama kweli wabunge wanawake 20 wenye nguvu ndani ya chama wamenunuliwa na CCM kwa mpigo

    CHADEMA BAWACHA ndio ilibaki nguzo pekee ya CHADEMA ya kuaminiwa. CHADEMA walilisifu sana BAWACHA kuwa eti wabunge na madiwani wote eti kwa kile kinachoitwa kununuliwa wabunge na madiwani walikuwa ni wanaume tu wanawake wa BAWACHA hawakukubali. Msimamo huo ulisababisha wabunge wanawake wawekwe...
  20. Humphrey Polepole: Natoa rai kwa vyama vya siasa kuheshimu nafasi wanazopewa Wanawake

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…