wanawake

Maendeleo Ya Wanawake Organisation (MYWO) is a women's NGO that deals with issues to do with women's rights and gender equity in Kenya. It was founded by Jemimah Gecaga in 1952 and has approximately 600,000 groups contributing to a total membership of about two million women. It is currently chaired by Rukia Subow and has various agendas in its mission statement, including maternal, child health and family planning and training women in leadership and development.Historically it was promoted by the British during their colonial rule over Kenya and helped provide services only for those against the Mau Mau anti-colonial uprising.Ruth Habwe served as secretary general of the organization from 1968 until 1971.

View More On Wikipedia.org
  1. M

    Navutiwa na wanawake watu wazima

    Mambo vipi wadau Mimi kijana wa makamo 23 years Nina aleji ya kupenda wanawake watu wazima hususani walio single kuanzia 40 na kuendelea Wengi wao huwa wananikata haja zangu haraka nanikishafanya nao mapenzi basi nalizika tofauti na vibinti vya umri wangu kuna mmoja nilimpenda hadi nikawa...
  2. Distant Relatives

    Je, wanawake wameahidiwa pepo ya namna gani?

    Habari wadau? Kwanza naomba ieleweke lengo la hoja hii ni kuelimishana. Nilikuwa nasikiliza mawaidha ya Sheikh, ambaye bahati mbaya sijaweza mpata jina, akielezea juu ya maisha baada ya kifo. Ujumbe wake ni kuwa wanadamu watii maamrisho ya Mungu, huku wakiahidiwa pepo yenye maisha ya starehe...
  3. Babumawe

    Wanawake hivi mnapendea nini sauti nzito?

    Mimi binafsi sauti langu nalichukia yaani unakuta siku lisauti linakuwa lizito kama umemeza kokoto, cha kushangaza eti kuna lidada limoja huwa linaniambiaga anapenda sauti yangu ilivyo yani hadi namshangaa. Hivi mnapendea nini sauti nzito yaani inakuwa inawapa feeling gani sisi wenyewe...
  4. koncho77

    Kuna aina tatu ya wanawake wanaoomba hela

    Kuna Mwanamke Anakuomba Hela Kwakua Ana Shida.. Kuna Mwanamke Anakuomba Hela Ili Kukukomoa.. Kuna Mwanamke Anakuomba Hela Ili Kukupima..
  5. Dam55

    Usiusemee moyo Wanawake chukueni hili funzo toka kwa dadayenu Jaydee

    Katika nyimbo zote za Jaydee naipenda sana hii ya USIUSEMEE MOYO japo katupiga madongo sana wanaume lakini yani ukweli ndani yake, wanawake mkichukua hili funzo mtaishi kwa amani sana. Fuatilia hii mistari. "Umepika chakula huli, huoni chapoa Umpweke mwenye moyo duni nakupa pole dada Kula...
  6. Chizi Maarifa

    Huyu mwanamke ana Watoto wanne kutoka kwa baba wanne tofauti mimi nataka kupewa Uuncle mbuzi. Never, Mjipange Wanawake

    Zaman ilikuwa ngumu sana kukuta mwanadada ana watoto wawil, watatu wana baba tofaut tofaut. Mimi sikuwa nikikutana sana na matukio ya hivi. Naumwa toka last week. Sometimes nakuwa fresh then nakuta kichwa kinawaka moto mpaka kizunguzungu. Ninepima Typhoid, Malaria, UTI, Pressure, kiwango cha...
  7. kombaME

    Wanawake Tafuteni hela zenu, kizazi cha wanaume wahongaji kinaenda kufika tamati

    Kama heading inavyosema hapo juu, Dada zangu tafuteni hela, yaan Vijana wa siku hizi ukiwa mzigo kwake umeachwa, utachezewa hadi uchakae na ndoa huioni ng'oo. Vijana siku hizi wakiombwa hela wanahisi km wanataka kuibiwa wanatoka nduki km wameona kirusi cha Corona, madada tafuten hela. Wadada...
  8. N

    Ongezeko la wanawake kutoa harufu sehemu za siri

    Kumekuwa na wimbi la ongezeko la sehemu za siri kutoa harufu mbaya! Unaweza kukuta mdada mzuri kupita kiasi, lakini harufu sasa. Wingi wa manukato hufanya usisikie chochote mapema, lakini mkishaanza kushughulika tu hali hujitokeza fasta. Uchunguzi nimeufanya wa kutosha tu, tena asilimia kubwa...
  9. Mema Tanzania

    Ukeketaji dhidi ya wanawake na mabinti

    Kila mwaka ifikapo tarehe 6, Februari dunia huadhimisha siku ya kimataifa ya kupinga ukeketaji. Je, unatambua wanawake na mabinti takribani milioni 7.9 wamepitia ukeketaji Tanzania? Licha ya serikali na wadau mbalimbali kupambana vilivyo na ukeketaji, kuna maeneo bado ukeketaji dhidi ya...
  10. Saint_Mwakyoma

    Je, Mitindo ya nywele kwa wanawake inatosha kukujulisha tabia zao?

    Pamekua na wimbi kubwa la vijana haswa tulio katika muda wa kuchagua yupi wa kufunga nae pingu za maisha, kuhofia wanawake wanao weka style fulani fulani kwamba hawajatulia au wakorofi nk. Ningependa kujua wewe mwenzangu unatafsiri vipi hii mitindo ya nywele.
  11. E

    Asilimia kubwa ya wanawake wanapenda kuwa na wanaume wanaojiweza kiuchumi

    Ipo hivi, Asilimia kubwa ya wanawake wanapenda kuwa na wanaume wanaojiweza kiuchumi. Lakini wanapotambua kwamba wameshaoa hushangaa sana na huumia na kusema wanaume wote ni mbwa tu. Lakini ukweli ni kwamba wanaume sio mbwa ni wanawake wenyewe ndio wameshindwa kufanya uchunguzi. Kwenye kila...
  12. sky soldier

    Nimeelewa kwaninj wanawake wanataka wanaume wenye umri wa kuanzia miaka 30

    Habarini wanajukwaa. Mwezi ujao naingia miaka 31 kwa sasa nipo ukingoni mwa 30. Kwa nipo na mke wangu tukiwa na watoto wawili. Maishani mwangu nilianza rasmi kuwa na mahusiano serious ya kimapenzi nikiwa na umri wa miaka 17. Nikiri tu ya kwamba tangu nikiwa umri huo mpaka nafikia 30 kwa...
  13. Idugunde

    Kwanini Wanawake walio katika ndoa hukumbuka rafiki zao wa zamani na kutaka kulianzisha?

    Unakuta demu umekua nae mkiwa watoto au kusoma nae mpaka std 7, sometimes mmemaliza nae sekondari. Lakini mmepotezana miaka kibao zaidi ya 20. Akikutana na jamaa zenu anauliza ulipo na kutafuta contacts, akizipata ni usumbufu tupu kutaka game, mbaya zaidi wengi wameolewa na kuzalishwa. Tatizo...
  14. sky soldier

    Kwa mtazamo wangu kinachozungumziwa kwa wanawake wahehe na wabena kusifika kwa upole nakubaliana nacho

    Wengi (Sio wote) Hii kitu kiukweli na mimi naidhinisha kuna ukweli kabisa. Wanawake hawa kiukweli kwa mtazamo wangu wanajua jinsi ya kuishi katika ndoa na kumtunza mwanaume na watoto kwa kiasi kikubwa. Narudia tena, sio wote ila ni wengi.
  15. Research Solutions TZ

    Umasikini Unaathiri zaidi wanawake na watoto

    Recently tumekuwa tukisikia mzazi kamuua au kajeruhi mwanaye kwa kosa fulani. Ustawi wanataka mtoto akinyanyaswa kaaripoti kwao lakini je mtoto atawezaje kuendelea kuishi na mzazi ikiwa alisha mshataki. Mbali na hilo serikali haina vituo rasmi kwa ajili ya kuwalea watoto wanaonyanyswa na wazazi...
  16. sky soldier

    Mimi mwanaume mweupe, napenda sana wanawake weusi. Je, ni mimi tu au?

    Kiukweli linapokuja swala la mwanamke kwangu inabidi awe mweusi kwakweli. Huwa inanipa hisia za ushindi kwamba nimepata mwanamke adimu ambaye hajajichubua na ni mwafrika orijino. kwa sasa nimeo na mke wangu ni mweusi, na hata hapo zamani nilikuwa kinganganizi msumbufu mno kuhakikisha binti...
  17. Mshana Jr

    TANZIA Mzee David Makerege (80) Afariki Dunia Akiwa Chumbani Kwenye Hoteli ya Mbezi Garden Jijini Dar es Salaam

    AFANDE RPC (R)RCO(R)STAFF OFFICER (R)OPP OFFICER (R)OCD MABWEPANDE YAH: TUKIO LA KIFO CHA MASHAKA GBA/IR/142/2021 MLAL: O.A.MSHANGAMA - ASP Mlalamikaji anaeleza kuwa mnamo tarehe 16/1/2021 majira ya saa 18:00hrs akiwa kituo cha polisi Mabwepande alipokea taarifa toka kwa incharge CID Goba...
  18. lup

    kwa mfano wa yanayoendelea familia ya diamond ni halali wanaume kufa mapema kuliko wanawake kwenye ndoa,

    za jumapili na weekend kwa ujumla, ni wazi kwamba wengi wetu tunajua nini ambacho mama diamond amekiwasha huko anga za habari na kusababisha kila mahali kuwa ngumzo tu, kwa yanayoendelea nin halali kabisa kwa familia nyingi kupoteza wanaume kwa maana ya kufa na wanawake kuwa ndio wenye nyumba...
Back
Top Bottom