Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,010
- 9,875
WANAUME WATAKIWA KUTOFICHA UKATILI WANAOTENDEWA.
Kamanda wa polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni ACP Ramadhani kingai amewashauri wanaume kuacha kuficha vitendo viovu wanavyotendewa na wanawake kwa kutoa taarifa katika mamlaka husika ili watuhumiwa washughulikiwe kisheria.
Ushauri huo aliutoa leo Jijini Dar es salaam katika hafla ya utoaji misaada na kuwaona wagonjwa hospitali ya Polisi Kilwa road Dsm ambapo Askari polisi wanawake wa Mtandao wa kijinsia kutoka Mkoa wa kipolisi Kinondoni ikiwa ni muendelezo wa kipindi cha maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia na watoto.
Kamanda wa polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni ACP Ramadhani kingai amewashauri wanaume kuacha kuficha vitendo viovu wanavyotendewa na wanawake kwa kutoa taarifa katika mamlaka husika ili watuhumiwa washughulikiwe kisheria.
Ushauri huo aliutoa leo Jijini Dar es salaam katika hafla ya utoaji misaada na kuwaona wagonjwa hospitali ya Polisi Kilwa road Dsm ambapo Askari polisi wanawake wa Mtandao wa kijinsia kutoka Mkoa wa kipolisi Kinondoni ikiwa ni muendelezo wa kipindi cha maadhimisho ya siku 16 za kupinga ukatili wa kijinsia na watoto.