wanawake

Maendeleo Ya Wanawake Organisation (MYWO) is a women's NGO that deals with issues to do with women's rights and gender equity in Kenya. It was founded by Jemimah Gecaga in 1952 and has approximately 600,000 groups contributing to a total membership of about two million women. It is currently chaired by Rukia Subow and has various agendas in its mission statement, including maternal, child health and family planning and training women in leadership and development.Historically it was promoted by the British during their colonial rule over Kenya and helped provide services only for those against the Mau Mau anti-colonial uprising.Ruth Habwe served as secretary general of the organization from 1968 until 1971.

View More On Wikipedia.org
  1. tang'ana

    Hivi kwanini Wanawake wengi walioolewa wanapenda sana kuonyesha pete zao za ndoa tofauti na sisi wanaume?

    Hello Jf. Kuna kautafiti kangu kasiko rasmi nimekuwa nakafanya kisirisiri,nimegundua kwamba wanawake wengi walioolewa wanapenda sana kuonyesha pete zao za ndoa,utakuta anajipiga picha kwa kutumia simu but atahakikisha lazima pete yake ya ndoa inaonekana kwa watazamaji. Hivi hii huwa ina maana...
  2. Ukwelinasema

    Vikoba na wanawake

    Husika na kichwa cha habari hapo juu, Wakuu naomba kuwasilisha kwenu kwanini inachukuliwa tofauti na jamii hasa wanaume kwa mwanamke anaecheza/kujihusisha na vikoba? Ikiwa pesa inayopatikana wengi wameifungilia miradi/kuifanyia vitu vya maendeleo kwa ajili ya familia husika!
  3. beth

    Dar yaongoza ukatili wa wanawake

    Waziri wa Afya nchini Tanzania, Dk Dorothy Gwajima ameutaja Mkoa wa Dar es Salaam nchini Tanzania kuongoza kwa kuripotiwa matukio 2618 ya ukatili wa wanawake mwaka 2019/20. Dk Gwajima amesema hayo leo Jumatano Februari 24, 2021 wakati akifungua kongamano la chama cha maofisa maendeleo wa...
  4. Planeti

    Wanawake punguzeni sifa, mifuta yote hii unamkomoa nani sasa

    Mimi ka-baby care kangu kamoja kananitoshaga Sana. Sasa nyie wenzangu sijui ndio Nini hiki
  5. Miss Zomboko

    Kituo cha BBC chatuhumiwa kuchochea chuki na ubaguzi dhidi ya Wanawake wa Kiislamu Nchini Uingereza

    Shirika la Utangazaji la Uingereza BBC limeshtumiwa kwa uchochezi wa chuki dhidi ya 'Uislamu na wanawake Waislamu'. Katika kipindi kimoja cha "Wakati wa Mwanamke" kwenye Redio ya BBC 4 kilichohudhuriwa na watu 100 nchini Uingereza akiwemo mchekeshaji maarufu Deborah Frances-White na wabunge...
  6. IKARAHANSI

    Wanawake naomba mnijibu hili swali

    Habari za muda huu wana JF! Ni muda mrefu nimekuwa nikisikia hii habari/imani ya baadhi ya sisi wanaume na baadhi ya wavulana. Imani yenyewe ni kuwa Mwanaume aliyekubikiri halafu mkaachana ni mwiko kumnyimba kumnyima unyumba, yaani hata kama mtakuja kukutana ukiwa tayari umeolewa na una watoto...
  7. Dr Msweden

    Wanaume tuwe makini Sana tunapo oa wanawake masikini

    .
  8. M

    Navutiwa na wanawake watu wazima

    Mambo vipi wadau Mimi kijana wa makamo 23 years Nina aleji ya kupenda wanawake watu wazima hususani walio single kuanzia 40 na kuendelea Wengi wao huwa wananikata haja zangu haraka nanikishafanya nao mapenzi basi nalizika tofauti na vibinti vya umri wangu kuna mmoja nilimpenda hadi nikawa...
  9. Distant Relatives

    Je, wanawake wameahidiwa pepo ya namna gani?

    Habari wadau? Kwanza naomba ieleweke lengo la hoja hii ni kuelimishana. Nilikuwa nasikiliza mawaidha ya Sheikh, ambaye bahati mbaya sijaweza mpata jina, akielezea juu ya maisha baada ya kifo. Ujumbe wake ni kuwa wanadamu watii maamrisho ya Mungu, huku wakiahidiwa pepo yenye maisha ya starehe...
  10. Babumawe

    Wanawake hivi mnapendea nini sauti nzito?

    Mimi binafsi sauti langu nalichukia yaani unakuta siku lisauti linakuwa lizito kama umemeza kokoto, cha kushangaza eti kuna lidada limoja huwa linaniambiaga anapenda sauti yangu ilivyo yani hadi namshangaa. Hivi mnapendea nini sauti nzito yaani inakuwa inawapa feeling gani sisi wenyewe...
  11. koncho77

    Kuna aina tatu ya wanawake wanaoomba hela

    Kuna Mwanamke Anakuomba Hela Kwakua Ana Shida.. Kuna Mwanamke Anakuomba Hela Ili Kukukomoa.. Kuna Mwanamke Anakuomba Hela Ili Kukupima..
  12. Dam55

    Usiusemee moyo Wanawake chukueni hili funzo toka kwa dadayenu Jaydee

    Katika nyimbo zote za Jaydee naipenda sana hii ya USIUSEMEE MOYO japo katupiga madongo sana wanaume lakini yani ukweli ndani yake, wanawake mkichukua hili funzo mtaishi kwa amani sana. Fuatilia hii mistari. "Umepika chakula huli, huoni chapoa Umpweke mwenye moyo duni nakupa pole dada Kula...
  13. Chizi Maarifa

    Huyu mwanamke ana Watoto wanne kutoka kwa baba wanne tofauti mimi nataka kupewa Uuncle mbuzi. Never, Mjipange Wanawake

    Zaman ilikuwa ngumu sana kukuta mwanadada ana watoto wawil, watatu wana baba tofaut tofaut. Mimi sikuwa nikikutana sana na matukio ya hivi. Naumwa toka last week. Sometimes nakuwa fresh then nakuta kichwa kinawaka moto mpaka kizunguzungu. Ninepima Typhoid, Malaria, UTI, Pressure, kiwango cha...
  14. kombaME

    Wanawake Tafuteni hela zenu, kizazi cha wanaume wahongaji kinaenda kufika tamati

    Kama heading inavyosema hapo juu, Dada zangu tafuteni hela, yaan Vijana wa siku hizi ukiwa mzigo kwake umeachwa, utachezewa hadi uchakae na ndoa huioni ng'oo. Vijana siku hizi wakiombwa hela wanahisi km wanataka kuibiwa wanatoka nduki km wameona kirusi cha Corona, madada tafuten hela. Wadada...
  15. N

    Ongezeko la wanawake kutoa harufu sehemu za siri

    Kumekuwa na wimbi la ongezeko la sehemu za siri kutoa harufu mbaya! Unaweza kukuta mdada mzuri kupita kiasi, lakini harufu sasa. Wingi wa manukato hufanya usisikie chochote mapema, lakini mkishaanza kushughulika tu hali hujitokeza fasta. Uchunguzi nimeufanya wa kutosha tu, tena asilimia kubwa...
  16. Mema Tanzania

    Ukeketaji dhidi ya wanawake na mabinti

    Kila mwaka ifikapo tarehe 6, Februari dunia huadhimisha siku ya kimataifa ya kupinga ukeketaji. Je, unatambua wanawake na mabinti takribani milioni 7.9 wamepitia ukeketaji Tanzania? Licha ya serikali na wadau mbalimbali kupambana vilivyo na ukeketaji, kuna maeneo bado ukeketaji dhidi ya...
  17. Saint_Mwakyoma

    Je, Mitindo ya nywele kwa wanawake inatosha kukujulisha tabia zao?

    Pamekua na wimbi kubwa la vijana haswa tulio katika muda wa kuchagua yupi wa kufunga nae pingu za maisha, kuhofia wanawake wanao weka style fulani fulani kwamba hawajatulia au wakorofi nk. Ningependa kujua wewe mwenzangu unatafsiri vipi hii mitindo ya nywele.
  18. E

    Asilimia kubwa ya wanawake wanapenda kuwa na wanaume wanaojiweza kiuchumi

    Ipo hivi, Asilimia kubwa ya wanawake wanapenda kuwa na wanaume wanaojiweza kiuchumi. Lakini wanapotambua kwamba wameshaoa hushangaa sana na huumia na kusema wanaume wote ni mbwa tu. Lakini ukweli ni kwamba wanaume sio mbwa ni wanawake wenyewe ndio wameshindwa kufanya uchunguzi. Kwenye kila...
  19. sky soldier

    Nimeelewa kwaninj wanawake wanataka wanaume wenye umri wa kuanzia miaka 30

    Habarini wanajukwaa. Mwezi ujao naingia miaka 31 kwa sasa nipo ukingoni mwa 30. Kwa nipo na mke wangu tukiwa na watoto wawili. Maishani mwangu nilianza rasmi kuwa na mahusiano serious ya kimapenzi nikiwa na umri wa miaka 17. Nikiri tu ya kwamba tangu nikiwa umri huo mpaka nafikia 30 kwa...
Back
Top Bottom