6321
JF-Expert Member
- Oct 16, 2016
- 649
- 1,116
Good morning future Billionnaires
Miaka ya nyuma iliyopita tulikuwa tunawapa credit sana wanawake kwenye kutoa huduma sehemu nzuri, ukimkuta dukani, awe mapokezi au sehemu yoyote ile hutoa huduma nzuri.
Lakin kwa utafiti wangu usio rasmi kwa sasa wanawake mnayumba sana hamtoi huduma nzuri, mnadharau, wavivu, hamjitumi pia ni wezi.
Wanawake jirekebisheni, wanaume sasa tunawapita kwenye kutoa huduma nzuri.
Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app
Miaka ya nyuma iliyopita tulikuwa tunawapa credit sana wanawake kwenye kutoa huduma sehemu nzuri, ukimkuta dukani, awe mapokezi au sehemu yoyote ile hutoa huduma nzuri.
Lakin kwa utafiti wangu usio rasmi kwa sasa wanawake mnayumba sana hamtoi huduma nzuri, mnadharau, wavivu, hamjitumi pia ni wezi.
Wanawake jirekebisheni, wanaume sasa tunawapita kwenye kutoa huduma nzuri.
Sent from my SM-G9250 using JamiiForums mobile app