Umenikumbusha msemo mahiri wa marehemu Chips (chipungahelo) kuwa vikao vya UWT ni vya wanawake wote ila kila mmoja ana nyumbani kwake. warumi unanipata
Mbona yeye kamsahau mke na watoto wake kule jijini Washington DC, nadhani angeanza yeye kwanza.
Tabata bima ni mbali sana,ni uswekweni you know😃😃mwili mkubwa akili kisodaI am humbled you know le super brand
Mpumbavu HuyoUmepewa papa tu umeanza kusaliti wanaume wenzio watu wengine bwana!!!!!
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app