Mtoto wa Nyerere
Senior Member
- May 21, 2021
- 129
- 688
Mwanzo Mimi binafsi nilikuwa nafanya kazi na taasisi fulani ila badae mwaka 2017 ilifunga shughuli zake nchini Tanzania.
Nikapoteza kazi na nikawa muda mwingi nipo nyumbani napanga mipango ya kupata pesa nikiwa nyumbani muda mwingi .
Yaani kwa wiki nilikuwa natoka siku 4 siku tatu nipo nyumbani.
Lakini cha kushangaza wife alikuwa ananinunia akiniona nyumbani na ni kwangu mpaka nikawa nakosa amani Mimi sio mlevi wala mtu wa kujichanganya sana na mambo ya club au starehe zozote ingawa starehe yangu kubwa ni kuangalia Mpira ambao naangalia nikiwa nyumbani.
Alikuwa akinuna sana sana na nimesota kweli ila nakiri hatujawai kushindwa kupata basic needs
Sasa mwaka huu mwezi 4 nimepata tena shavu na nimekuwa busy sana kusafiri mikoa mbali mbali na kurudi usiku kwa kufanya vikao vingi na shughuli nyingi na kurudi nimechoka sana
Ila ananuna na kupiga simu kila muda na kuwa kero hata kwa mabosi wangu yaani anataka niwai nyumbani kitu ambacho ni kigumu kwangu.
Hataki nisafiri mwenyewe anataka nisafiri nikiwa naye safari ya kikazi duh!
Nimeshindwa kuelewa anataka nini nifanye ili niweze kumridhisha maana sielewi kabisa alikuwa anapenda nifanye kazi au anapenda nikae tu jobless.
Ananiweka njia panda.
Nikapoteza kazi na nikawa muda mwingi nipo nyumbani napanga mipango ya kupata pesa nikiwa nyumbani muda mwingi .
Yaani kwa wiki nilikuwa natoka siku 4 siku tatu nipo nyumbani.
Lakini cha kushangaza wife alikuwa ananinunia akiniona nyumbani na ni kwangu mpaka nikawa nakosa amani Mimi sio mlevi wala mtu wa kujichanganya sana na mambo ya club au starehe zozote ingawa starehe yangu kubwa ni kuangalia Mpira ambao naangalia nikiwa nyumbani.
Alikuwa akinuna sana sana na nimesota kweli ila nakiri hatujawai kushindwa kupata basic needs
Sasa mwaka huu mwezi 4 nimepata tena shavu na nimekuwa busy sana kusafiri mikoa mbali mbali na kurudi usiku kwa kufanya vikao vingi na shughuli nyingi na kurudi nimechoka sana
Ila ananuna na kupiga simu kila muda na kuwa kero hata kwa mabosi wangu yaani anataka niwai nyumbani kitu ambacho ni kigumu kwangu.
Hataki nisafiri mwenyewe anataka nisafiri nikiwa naye safari ya kikazi duh!
Nimeshindwa kuelewa anataka nini nifanye ili niweze kumridhisha maana sielewi kabisa alikuwa anapenda nifanye kazi au anapenda nikae tu jobless.
Ananiweka njia panda.