wanawake

Maendeleo Ya Wanawake Organisation (MYWO) is a women's NGO that deals with issues to do with women's rights and gender equity in Kenya. It was founded by Jemimah Gecaga in 1952 and has approximately 600,000 groups contributing to a total membership of about two million women. It is currently chaired by Rukia Subow and has various agendas in its mission statement, including maternal, child health and family planning and training women in leadership and development.Historically it was promoted by the British during their colonial rule over Kenya and helped provide services only for those against the Mau Mau anti-colonial uprising.Ruth Habwe served as secretary general of the organization from 1968 until 1971.

View More On Wikipedia.org
  1. Raia mpya

    Jinsi ya kuwapata Wanawake kirahisi

    Wazee salama ngoja niende moja kwa moja kwenye point nimegundua njia rahisi za kuwapata hawa viumbe pasua kichwa , njia hii inahitaji akili kidogo tu na njia yenyewe ni kuacha kuwashobokea au kuwapaparikia wanawake. Wazee amini usiamini ukiwa bize na mambo yako yaani na life lako mademu...
  2. pilato93

    Wanawake msaidieni mwenzenu

  3. sepema

    Ukombozi wa fikra; tatizo linalowatesa wanawake wengi

    Salaam wakuu, Kwanza nitoe angalizo kuwa mada yangu hailengi kuwaondolea heshima wanawake kwani umuhimu wao kwenye jamii zetu umetukuka. Nimeona niwashirikishe kisa kufupi Cha mwanamke huyu aliyekataa kuolewa na rafiki yangu kwa kuhofia kukosa misaada kwa mchepuko wake. Unaweza kushangaa...
  4. maiyanga1

    Sensa ya 2012, Wanaume walikuwa 21,869,990 na Wanawake walikuwa 23,058,933. Tutazame taarifa ya UN robo ya kwanza 2021

    Wakuu, sensa ya 2012 ilikuwa na wanawake 1,188,943 zaidi ya wanaume. Tarehe 23 August ni siku ya sensa. Taarifa ya UN kuhusu idadi ya watu duniani robo ya kwanza 2021 hii hapa: Idadi ya watu duniani ni bilioni 7.8 Wanawake bilioni 5.6 Wanaume bilioni 2.2 Kati ya wanaume hao bilioni 2.2 Bilioni...
  5. R

    Wanawake kweli wanapenda pesa ila muonekano wako pia ni muhimu

    Habar wakui Kila uzi humu ukimrefer demu kumzingua mtu humu pesa inatajwa sana lkn pia kuna hiki kitu wengi pia wqnakisahau muonekano wa nje. Ushawah kuta mtu ana mapesa kibao ila anagongewa km kawaida kelele huwa nying wanawake hawaeleweki ndio kauli mbiu sasa soma hhapa. Wanawake ni...
  6. Nakadori

    Wako wapi wale wanawake ambao walikuwa tayari kufa kwa ajili ya watoto wao?

    Wakuu habarini za majukumu? Ninatumaini jitihada za kujipatia mkate wa kila siku zinaendelea salama... Siku ya leo nimeitumia kwa asilimia kubwa hapa stend ya mabasi ya kwenda mkoa baada ya basi nililokuwa ninalisubiria kuchelewa kufika na hivyo nikajikuta nazoeana na baadhi ya abiria niliokuwa...
  7. bahati93

    Full moon inawaathiri wanawake

    Huu mwezi una nguvu kubwa sana katika maisha ya viumbe hapa duniani. Na hasa unapokuwa full/ mzima kama ulivyo sasa mpaka binadamu hushawishiwa na nguvu zake. Mwanamke hakika huu mwezi ikiwa full unamvurugaa sanaa. Katika utafiti wangu mdogo siku mbili hizi wanawake naokutana nao usiku...
  8. Robert Heriel Mtibeli

    Wanawake; eleweni kuwa hakuna mahusiano bila Maslahi

    WANAWAKE ELEWENI; HAKUNA URAFIKI BAINA YA MWANAUME NA MWANAMKE. Anaandika, Robert Heriel. Kwanza kabisa, hakunaga Urafiki baina ya mwanamke na Mwanaume hilo kila mtu mwenye akili na hekima analijua, hakunaga kitu Kama hicho. Kidini, Uislam Kwa kuzingatia torati unatanabaisha kuwa hakuna...
  9. Poker

    Hivi wanawake pesa zenu mnapelekaga wapi? Badilikeni!

    Kuna jamaa yangu ni mtumishi na mkewe pia ni mtumishi. Jamaa analipwa 900k na mkewe analipwa 1.3m ila sasa kodi ya nyumba, bili za umeme na maji analipa mwanaume, na bado ujenzi wa nyumba ni mwanaume apambane, ada ya shule ni mwanaume. Hivi majuzi imebidi mwanaume amlipie vikoba mwanamke maana...
  10. Mnyuke Jr

    Kubinuka kwa makalio ya wanawake kwenye bodaboda

    Wasalaam Wakuu, Aisee naomba niende kwenye mada husika moja kwa moja juu ya wanawake kujibinua makalio yao wakiwa kwenye Bodaboda hasa hapa jiji la Joto- Darusalama Hii imekuwa ni kama fashion kwa kila mwanamke,hawezi kukaa kwa kunyooka bila sawasawa ila mpaka abinue kiuno chake na kalio lake...
  11. Surya

    Huwa mnafikiri nini wanawake kisha kuingia kwenye mahusiano?

    Mapenzi hayanitesi sana siku hizi, lakini kiukweli warembo wanazidi kunikataa na sielewi ni kwanini. Huwa najiuliza wasichana huwa mnawaza nini kabla ya kumkubali Mwanaume, Tuweke mbali Pesa, kipi huwa mnajiuliza kabla ya kumkubali mwanaume. Baadhi ya Maswali yenu nimeweza kuchambua.. lakini...
  12. BigTall

    Waziri Dkt. Stergomena afungua semina ya Wanawake, asisitiza washirikishwe katika amani na usalama

    Waziri wa Ulinzi na Jeshi la Kujenga Taifa, Dkt. Stergomena Lawrence Tax (Mb) amefungua Semina kuhusu Agenda ya Wanawake, Amani na Usalama (Women Peace and Security Agenda) iliyofanyika tarehe 07 Juni, 2022 katika Hoteli ya Serena Jijini Dar es Salaam. Akihutubia washiriki wa Semina hiyo akiwa...
  13. Gama

    Raia wa US akiri kufundisha Jeshi la Wanawake wa IS

    Mwanamama Allison Fluke-Ekren raia wa marekani amekiri kushiriki katika kutoa mafunzo kwa jeshi la wamawake wa IS. Iwapo atatiwa hatiani anaweza kufungwa hadi miaka 20 jela FUATILIA HAPA US woman admits to training all-female IS battalion AUS woman has confessed to leading an all-female...
  14. vanus

    Wanawake ni miyeyusho sana

    Mabaharia kwemaa? Eeh bana kuna ngarangara moja nilkuwa naipenda kinyama afu nilkuwa nina machale si mchezo, siku moja nimetoka dom manzi akanicheki kuniuliza niko wapi, nikamchana niko somewhere nakula vyombo na wana, akaniambia yeye anaenda kwenye harusi nikaona fresh nikazima data. Bana...
  15. senkoP

    Vitu gani husababisha Wanawake wanune?

    Jamani nataka niulize ni week sasa Mke wangu kanuna na sina kitu chochote nimemfanya, Hivi vitu gani vinasababisha wanawake kununa kwani na mimi nimebaki kimya tu sasa sielewi huku kununa kwa mwenzangu kutaisha lini[emoji854] Picha kutoka maktaba
  16. S

    Fact: Wanawake wanene ndiyo wife materials. Japo siyo sweet on bed

    Kwa kazi zangu za ukungwi nimechunguza na kujiridhisha kwamba 95% ya wanawake wanene ndiyo wenye tabia na mwenendo mzuri ktk ndoa zao. Hii imewekwa makusudi na mwenyezi Mungu kama njia ya kuziba mapungufu yao. Kwasabb wanawake wanene asilimia kubwa ni:- *wavivu wa kunyanduana, *hawana ashki...
  17. Matteo Vargas

    Wanaume mnaowasemea wanawake huko tik-tok muwe mna-balance story

    Kumekuwa na wimbi la video za tik tok ambazo asilimia kubwa wasimuliaji wake ni wanaume, video hizi ukizisikiliza muaudhui yake zimekuwa zikiwananga mno wanaume km watu ambao hawana huruma na kazi yao ni kucheza na hisia za wanawake na kuwaumiza. Na wanaume wenzetu hawa wameenda mbali hadi...
  18. mdukuzi

    Tuzae na wanawake wazuri ili watoto wetu wasikose ajira huko mbeleni

    Najua kuna watu watanipinga ila huu ndio ukweli. Muonekano wa mtu unaweza kumsaidoa kupata fursa au kukosa fursa fulani. Kuna watu wengi nawajua wapo kwenye vitengo nyeti si kwa sababu wana uwezo kichwani bali muonekano wao umewabeba. Wewe unayelilia ajira kabla ya kumlaumu Mungu hebu...
  19. The unpaid Seller

    Fanya mambo yako achana na kusaidia wanawake. Wanawake ni wabinafsi sana na hawana shukrani

    Wakuu salaam, Tofauti na mama yako na mke wako wanawake wengine wote achana kujifanya kuwasaidia wanakuchora tu. Wanawake ni viumbe wabinafsi kuliko viumbe wengine wote chini ya mawingu mpaka chini ya bahari. Kuna tofauti ndogo ndogo baina yao ila kwa ujumla package nzima wako sawa wote...
  20. G-Mdadisi

    Mradi wa Ubalozi Norway waainisha Mafanikio na changamoto wanazokumbana nazo wanawake kushika nafasi za Uongozi Zanzibar

    JUMLA ya wananchi 3,222 kisiwani Pemba wakiwemo wanawake 1,971 na Wanaume 1,251 wamefikiwa kupitia mikutano mbali mbali inayofanywa na wahamasishaji jamii ambayo inalenga kuhamasisha jamii kuacha dhana potofu na kuunga mkono jitihada za wanawake ili kupata haki ya kushiriki katika demokrasia na...
Back
Top Bottom