Jimbo la Mississippi la Marekani lakumbwa na msukosuko wa maji ya bomba

ldleo

JF-Expert Member
Jan 9, 2010
1,029
1,051
Agosti 30, wakazi wa mji wa Jackson kwenye jimbo la Mississippi, Marekani ambao hivi karibuni walikumbwa na mafuriko, sasa wanakabiliwa na tatizo lingine la ukosefu wa maji ya bomba.

Kwa mujibu wa gavana wa jimbo hilo Tate Reeves, kutokana na hitilafu za miundombinu ya shughulikia maji, hivi sasa hakuna maji ya kutosha ya bomba kwa ajili ya kusafisha choo au kuzima moto.

VCG111398725525.jpg
 
Duh, njaa na maji ya bomba vinaivua nguo superpower

 
Back
Top Bottom