wanawake

Maendeleo Ya Wanawake Organisation (MYWO) is a women's NGO that deals with issues to do with women's rights and gender equity in Kenya. It was founded by Jemimah Gecaga in 1952 and has approximately 600,000 groups contributing to a total membership of about two million women. It is currently chaired by Rukia Subow and has various agendas in its mission statement, including maternal, child health and family planning and training women in leadership and development.Historically it was promoted by the British during their colonial rule over Kenya and helped provide services only for those against the Mau Mau anti-colonial uprising.Ruth Habwe served as secretary general of the organization from 1968 until 1971.

View More On Wikipedia.org
  1. H

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Ni kwanini wanawake wengi huwa wapole sana pale wanapoihitaji ndoa ila wakishaipata wanakuwa wakorofi

    Maisha ni safari na msafiri ni mimi na wewe, katika Maisha kuna kuzaliwa, kukua then kufa, wale wenye bahati kama sio walio imara huoa na kupata chance ya kuproduce their offsprings , hii ni KWA kila kiumbe japo huko mwituni huwa hatuiti ndoa. Mwanzoni huba huwa la kushanta kama siyo kuzidi...
  2. Expensive life

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Toka aliponitenda nimekosa imani kabisa na wanawake

    Popote ulipo Happy uliniweza. Mwaka 2015 niliingia kwenye mahusiano na pisi moja ya kuitwa happy, aisee huyu manzi alikuwa mkali siyo mchezo. Huyu Happy nilikutana naye nilipokuwa nimepanga mimi na marafiki zangu wawili (ghetto) nyumba ambayo nilikuwa nimepanga alikuwa amepanga dada yake siyo...
  3. Willima

    JamiiForums Tanzania Unyanyasaji wa wanawake wanaohudumu katika kumbi za starehe (Baa)

    Masuala ya kijinsia yanajumuisha nyanja na masuala yote yanayohusiana na Maisha na hali ya mwanamke na mwanaume katika jamii, jinsi wanavyohusiana, na tofauti zao katika upatikanaji na matumizi ya rasilimali, shuguli zao, na jinsi wanavyo itikia mabadiliko mbalimbali katika jamii. Jinsia ni aina...
  4. A man with one idea

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwanini wanawake ndio huonekana kikwazo?

    Habari za leo ndugu zangu! Ningependa mnisadie kwanini Kwenye suala la kutembelea ndugu, hasa wale wenye uwezo wa kifedha. Mama wa familia ndio huonekana kikwazo cha Mahala pale kutofikika hasa ndugu wale wa upande wa mwanaume( unakuta mtu anakwambia siwezi kabisa kwenda kwa ndugu yule...
  5. Lady Whistledown

    JamiiForums Tanzania Afrika Kusini: Zaidi ya Wanaume 80 Mahakamani kwa Kubaka kundi la Wanawake Wakiwa Local

    Genge la Wanaume 82 wanatarajiwa kufikishwa katika mahakama ya Afrika Kusini leo wakihusishwa na makosa mbalimbali yakiwemo kuwabaka kundi la Wanawake waliokuwa wanarekodi video ya Muziki katika moja ya migodi nchini humo siku ya Alhamisi Shuhuda wa tukio hilo, lilitotokea huko Krugersdorp...
  6. Lady Whistledown

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwa Wanawake: Zijue dalili za Mwenza anayeweza kukuua katika Mahusiano, tafakari mahusiano yako na Uchukue Hatua

    Kwa mujibu wa Ofisi ya Umoja wa Mataifa ya Kupambana na Dawa za Kulevya na Uhalifu, takriban wanawake na wasichana 47,000 duniani kote waliuawa na wapenzi wao wa karibu au wanafamilia wengine mwaka 2020. Hii ina maana kwamba, kwa wastani, mwanamke au msichana huuawa na mtu katika familia yake...
  7. Apollo one spaceship

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wanaficha umalaya wao hivi, ni rahisi kuwajua

    #Kuna demu nilimla yeye stori zake ni kushinda kanisani, nikaja kugundua rafiki yangu naye anamega, afu pigo zake ni zilezile za Mungu, nikagundua hapa wanapigwa wengi. #Mwanamke Malaya hujifanya hatoi viashiria vya urafiki kwa wanaume wengine akiwa na mchumba anayemega kwa wakati huo. Wanawake...
  8. MamaSamia2025

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wale wanaume wanaoonyesha jitihada kwa wanawake wao lakini wanaambulia kuumizwa, someni hapa tafadhali

    Beberu mmoja asiyejulikana aliwahi kusema hivi; "Young man: no matter how well you treat a lady, if you are not the man she has feelings for she will never appreciate your efforts. Ladies are loyal to their feelings, they do not care about your sacrifices. You have heard." - Anonymous Kwa...
  9. Mrsme

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake/Wasichana tuwe makini sana

    Habari za leo wana JF, natumaini mko mzima wa afya. Okay, naomba nishare na nyie hiki kitu kwa wanawake na wanaume pia. Hii story nimeisikia jana kwa mtu lakini imenisikitisha na kunihuzunisha sana, sidhani kama kuna mtu atakua kakutana nayo mahali, anyways niko 50/50 na hii story #chai si chai...
  10. opondo

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake wasilalamike kuachwa, wajiangalie tabia zao

    Nilifungua channel ya Arise and shine Mwamposa alisema ambao wanatafuta mchumba wasimame walikua wengi sanaa. Nikawa nawaza kwanini sasahivi kundi kubwa la wanaume hawataki kuoa? Na kwanini wanawake wanalalamika hawaolewi na vijana nao wanatafuta mabinti wa kuoa na hawapati? Kuna vitu nimeona...
  11. Lee Swagger

    JamiiForums Tanzania Ongezeko la Wanawake (Mabinti) Wenye Vitambi (Obesity) Mtaani

    Habari za Muda Ndungu Zangu, Leo nijadili kuhusu Swala la Vitambi Kwa Wanawake. Naongelea Wanawake kwasababu nawajali na nawapenda. Kumekua na Ongezeko Kubwa la Wanawake Wenye Ndambi Kubwa mtaaani Kila ninapokutana na Wanawake 10. Saba kati yao Wana Ndambi mpaka unaweza kudhani ni Mimba...
  12. Rashda Zunde

    JamiiForums Tanzania Wanawake msimuangushe Rais Samia Suluhu

    Rais Samia Suluhu anaendelea kuwaaamini wanawake kwa kuwateua katika nafasi za uongozi, ili kuleta usawa wa jinsia katika kutoa uamuzi. Kitendo cha kuongeza idadi ya wanawake katika uteuzi wa wakuu wa mikoa na makatibu tawala, ni uthibitisho kuwa Rais anatoa fursa . Ili kuendelea kuaminiwa na...
  13. Memtata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Napenda sana Wahaya (wanawake)

    Kuna kitu kinanivutia sana toka kwa wanawake wa kihaya, kabla ya kuhamia kanda ya ziwa nilikuwa sijui madini haya nilipokutana na mdada mmoja ana hiki kitu nilichanganyikiwa sana. Nilijua ni Muhaya nikaambiwa hiyo kawaida yao hao watu hadi lodge za BK nasikia wanatanguliza nylon kulinda godoro...
  14. K

    JamiiForums Tanzania Je, ni kwanini hatuna majaji wengi wanawake?

    Ukienda Law School Tanzania kwenye vyuo kuna wanawake wengi wanafanya vizuri sana. Lakini hata ukienda kwenye kampuni nyingi kubwa kuna corporate lawyers wazuri sana wanawake. Kuna majaji wengi wanaume tumeona maamuzi yao yanabatiliwa na mahakama ya rufaa. Hivyo tuna majaji wengine ambao sio...
  15. Rashda Zunde

    JamiiForums Tanzania Teuzi za Rais Samia zinavyoinua wanawake

    Kufuatia mabadiliko ya wakuu wa mikoa yaliyofanywa na Rais Samia Suluhu, Tanzania sasa ina wakuu wa mikoa 8 wanawake sawa na 30.7%. Hii inawezekana ndiyo idadi kubwa zaidi ya wakuu wa mikoa wanawake tangu uhuru wa Tanzania zaidi ya miaka 60 iliyopita. Rais Samia Suluhu anaamini katika usawa na...
  16. smarte_r

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Baadhi ya Wanawake ni Binadamu wa pekee sana, nawapa Pongezi muishi miaka mingi ya Kobe

    Kabla sijaenda kwenye mada, niseme tu ukweli, mimi ni kati ya wale wanaume wahongaji. Nikiombwa pesa na mtoto wa kike, kama ninayo, nampa bila kusita.kwanini?, fatilia andiko langu. Wiki kadhaa zilizopita nilisafiri kikazi ktk wilaya X inayopatikana mkoa flani hapa tz. nilifikia ktk lodge moja...
  17. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Tusioe wanawake vilaza; Hakuna kitu kinauma kwa mzazi kama mtoto wako kuwa wa mwisho darasani

    Pata picha umesafiri umeacha familia yako Junior anaumwa, umefika ulipokwenda unampigia simu mkeo kujua vipiimo vinasemaje Mimi: Habari mke wangu doctor kasemaje Yeye; Kasema mtoto ana YUTIYAI na AMWIBA Mimi; nisomee dose yake Yeye; mwayego hapa maandishi siyaoni vizuri kuna herufi kama sio nne...
  18. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Hawa ndio Wanawake -Toleo la 01

    TOLEO LA 01: HAWA NDIO WANAWAKE Anaandika, Robert Heriel. Kuwaelewa wanawake ni moja ya kazi ngumu Kama wengi wasemavyo, Hii ni kutokana na wao kutofautiana wao Kwa wao Kwa kiasi kikubwa licha ya kuwa ni jinsia moja yaani wote ni wanawake, pia tabia Yao ya kubadilika badilika Kama kinyonga...
  19. Zacht

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Alikuwa akinicheka naogopa wanawake lakini alikuja kunikasirikika baada ya kujua nimetoka na mwanamke wake

    Niaje wakuu Hiki kisa Cha muda kidogo pia lengo la kuleta mkasa huu ni kuonyesha tu jinsi tukio hili la bila kupangwa lilivyo niletea heshima niliyokuwa navunjiwa Kwanza mimi kiasili nina aibu kiasi kitu ambacho kilisababisha nisiwe mchangamfu sana kwa wanawake lakini sio kwamba nilikuwa...
  20. Boss la DP World

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mimi ni Genius wa Kugegeda Wanawake

    Wakuu, nimegundua kuwa nina kipaji cha hali ya juu cha kufanya mapenzi na wanawake na kuwaridhisha. Hivi hii haiwezi ingia katika vitabu vya rekodi za dunia kuwa Kuna mwanaume anaitwa Bei Elekezi aliishi karne ya 20 mpaka ya 21 ambaye alikuwa genius wa kuwapa raha warembo? Najua kuna watu...
Back
Top Bottom