Mambo vipi
Sina uwandish mzuri ila nadhan nitakuwa nimeeleweka kwenye ili.
Sio wanawake wote wanaotunza bikra kwa sabab ya hofu ya Mungu wengi wao huogopa kupoteza usichana wao kabla ya ndoa kwa kuhofia endapo wataolewa na mtu tofaut ambae aliemtoa usichana wake.
Mwanamke hupitia wakat mgumu endapo ataolewa akiwa hana bikra ktk jamii ya kiislam kwa sabab kwa sabab wanaume hutoleshwa mahari makubwa kwa kuzani wasichana wanataka kuwaoa bado ni bikra.
Wazazi wa kike huwauliza watoto wao mara mbili mbili kama bado ni bikra kwa kuogopa aibu ya kurudishiwa mtoto wao ndio maana wanawake wanakuwa na hofu kubwa kwa sababu kuna baadhi ya wanaume hutoa talaka siku iyo iyo ikiwa atagundua msichana aliemua hana bikra
Naomba kuwasilisha nanyi mtoe mitazamo yenu.
Sina uwandish mzuri ila nadhan nitakuwa nimeeleweka kwenye ili.
Sio wanawake wote wanaotunza bikra kwa sabab ya hofu ya Mungu wengi wao huogopa kupoteza usichana wao kabla ya ndoa kwa kuhofia endapo wataolewa na mtu tofaut ambae aliemtoa usichana wake.
Mwanamke hupitia wakat mgumu endapo ataolewa akiwa hana bikra ktk jamii ya kiislam kwa sabab kwa sabab wanaume hutoleshwa mahari makubwa kwa kuzani wasichana wanataka kuwaoa bado ni bikra.
Wazazi wa kike huwauliza watoto wao mara mbili mbili kama bado ni bikra kwa kuogopa aibu ya kurudishiwa mtoto wao ndio maana wanawake wanakuwa na hofu kubwa kwa sababu kuna baadhi ya wanaume hutoa talaka siku iyo iyo ikiwa atagundua msichana aliemua hana bikra
Naomba kuwasilisha nanyi mtoe mitazamo yenu.