wananchi

This article lists political parties in Tanzania. The country operates under a dominant multi-party system with the ruling party being in power since the nation attained its independence in 1961. It first governed as the Tanganyika African National Union, before merging with the Afro-Shirazi Party to form the Chama Cha Mapinduzi.

View More On Wikipedia.org
  1. S

    GE2020 Catherine Ruge: Kwa mateso haya niliyoyapata, siwezi kusaliti chama changu na Wananchi wangu wa Serengeti walioniamini

    Ameandika hivi kupitia twitter: Kwa Mateso na Maumivu haya niliyopitia Siwezi kusaliti chama Changu na Wananchi wa Serengeti walioniamini na Kunipa Heshima Kubwa Kama Msubhati wao.
  2. Intelligence Justice

    Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ina maadui wengi miongoni mwa Wananchi wake

    Jukwaa la msuguano wa akili na mawazo mbadala kwa kutoa sulushi kwa faida ya wote; Kwa sasa Tanzania ina maadui wengi sana kutoka miongoni mwa Wananchi wake na viongozi wa kisiasa. Maadui wa kimkakati ni watatu kama wanarivyorithishwa kila awamu ya uongozi ni Ujinga, Maradhi na Umaskini...
  3. M

    Hivi kwanini Wabunge wa Vyama vya Upinzani wasiwe na kinga ya kubaki Bungeni kama sisi watu wa Kanisa kwani tunafanana sana kwa mambo mengi?

    Kwa upande wa kanisa kunavituko vingi sana vya ajabu makanisani lakini hakuna mahara pa kusemea kwa sisi waumini labda kubadilisha kanisa lakini kwa wanasiasa na taifa kwa ujumla kila baada ya miaka 5 kuna sehemu ya kusemea hivi kwanini na hawa wanasiasa wa upinzani nao wapewe kinga kama ya...
  4. Evody kamgisha

    Bei za ving'amuzi vya AZAM. Je, ni kukomoa Wananchi au?

    Nimekuwa nikifatilia bei za vingamuzi mbalimbali hapa nchini nimegundua Azam ni moja ya vingamuzi vinavyouzwa kwa bei ya juu kabisa ukilinanisha na watoa huduma wengine nchini. Nimejiuliza maswali mengi kwa nini bei zao ziko juu zaidi mpaka hadi sasa sijapata jibu la uhakikia. Wananchi...
  5. Miss Zomboko

    Wamiliki wa Maduka ya Dawa wamekumbushwa kuacha kuuza dawa kwa Wananchi pasipo kuona cheti cha Daktari

    SERIKALI imewakumbusha wamiliki wa maduka ya dawa za binadamu kuacha kutoa dawa kwa mgonjwa ambaye ana cheti cha daktari/tabibu kwani kufanya hivyo ni kukiuka sheria zilizowekwa. Pia imewaomba wananchi kuhakikisha watumia dawa kwa uangalifu na umakini zaidi ili kuweza kuepuka usugu wa vimelea...
  6. YEHODAYA

    Tanzania inahitaji chama kipya cha upinzani chenye sera mbadala za kueleweka za kudumu kwa wananchi sio za matukio

    Tanzania inahitaji chama kipya cha upinzani chenye sera mbadala za kueleweka za kudumu kwa wananchi sio za matukio. Hivi vilivyopo hakuna hata kimoja chenye sera ya kudumu kinachoeleweka sera zake za kudumu hasa ni zipi. Hivi vya kwetu havieleweki kabisa vinaenda na matukio tu. Mfano CCM...
  7. Miss Zomboko

    Sweden yapiga marufuku mikusanyiko yenye watu zaidi ya 8. Wananchi watakiwa kuacha kufanya sherehe na kwenda Gym

    The Swedish government on Monday moved to cut the size of public gatherings sharply as it sought to come to grips with a second wave of the pandemic that has seen record daily numbers of new cases and growing pressure on hospitals. Swedes are not sticking to coronavirus recommendations as well...
  8. S

    Barabara ya Mbagala hadi Kongowe inatesa wananchi Serikali itupie jicho

    Kwa wakazi wa Toangoma Kongowe Mkuranga Vikindu na hata abiria wanaotokea Dar kwenda Lindi, Mtwara, Songea na masasi watakuwa wameshakutana na kero ya kipande cha barabara kutoka Mbagala hadi Kongowe ambapo Barabara ni nyembamba sana. Kero ya barabara hii hutokea pale mlima wa Kokoto ambapo...
  9. Securelens

    VoA: Lissu aomba Rais Magufuli kufanya maridhiano na wapinzani wake

    Katika mahojiano aliyofanya leo na VOA, Lissu amekiri kuwa Watanzania wamempuuza kwa kutokuandamana pamoja na yeye kutoa wito huo kwa nguvu zote. Amesema hata kabla ya uchaguzi aliwahimiza watanzania kuwa tayari kuingia barabarani lakini bado haikusaidia, Watanzania walimgomea. Ametulaumu...
  10. GENTAMYCINE

    Kauli za Sisi 'Wanasiasa' ndiyo muda mwingine zinatufanya 'Wananchi' wasituamini na waendelee kumpa 'Kura' Rais Magufuli na CCM yake tu

    Kauli ya Mwanasiasa GENTAMYCINE wiki Mbili zilizopita.... "Namalizia Kampeni zangu za Kupambana na Magufuli ila Uchaguzi Mkuu ukiisha tu naenda Kijijini Butiama Mkoani Mara Kutibiwa zangu Kienyeji kutokana na Matatizo makubwa sana niliyoyapata ya Kung'atwa na Mbwa Mkali wa Ziwani na Meno yake...
  11. winnerian

    Bunge la Wananchi wa Tanzania Mtandaoni (BUWATA). Weka hapa hoja yako muhimu iwafikie watawala na kuwagusa mioyo yao migumu

    Mh. Spika napenda kutoa hoja kama ifuatavyo: Kwanza kabisa Mh. tumeona na kushuhudia ni kwa namna gani mtandao (internet) umeleta mageuzi makubwa kibiashara na kijamii na hivyo kufanya ubadili uti wa mgongo wetu wa Taifa kutoka "kilimo" na kuwa "biashara-mtandaoni". Vijana wengi sasa...
  12. M-mbabe

    ACT-Wazalendo na CHADEMA wamefanya pakubwa ila sisi Wananchi ndiyo tumewaangusha. Tusiwaingilie katika maamuzi yoyote wanayochukua baada ya Uchaguzi

    Wanaonifuatilia humu wanajua mimi ni CCM. Lakini ni ile iliyokuwa CCM ya Mwalimu (RIP mzee wetu), siyo hii CCM ya sasa iliyojaa ulaghai mtupu. Kutokana na CCM kukengeuka, nimejikuta (siko peke yangu, tupo wengi sana) sina namna bali kuunga mkono jitihada na harakati zote zinazofanywa na vyama...
  13. Miss Zomboko

    Marekani: Wananchi walitumiwa jumbe za kuwashawishi wasiende kupiga kura. FBI yaanzisha Uchunguzi

    More than 800,000 people with phone numbers tied to six presidential swing states have been targeted with automated phone calls on Tuesday suggesting they remain at home on Election Day, a tactic that has alarmed voters and has drawn the attention of the FBI, documents and interviews show. All...
  14. S

    Si halali wala haki kwa Serikali ya CCM kuwatoza wananchi fedha ili kutumia Daraja la Nyerere kwenda Kigamboni, ni ubaguzi

    Nimetafakari sana juu ya hii Serikali ya CCM inayodai ipo kwa ajili ya wananchi, hasa wanyonge. Na hakuna mtu anakaebisha kwamba Kigamboni kuna hao wanyonge wengi tu. Sasa kwanini hawa wanyonge wa Kigamboni walazimishwe kutoa fedha kwa kutumia daraja la Nyerere kwenda Kigamboni? Tunajua kwamba...
  15. Intelligence Justice

    Wanasiasa acheni kuhamasisha wananchi uasi, machafuko na harakati za kupindua-Jifunzeni matokeo ya nyuma

    Wakuu, Inaonekana wanasiasa mko tayari kusaka madaraka ya kuongoza wananchi kwa njia zozote hata za kuendesha, uasi, machafuko na mbinu za mapinduzi yasiyo halali kufanikisha malengo yenu yaliyojificha kwenye demokrasia, haki za binadamu na mwanya wa kikatiba. Ni dhahiri ndani ya Tanzania na...
  16. Miss Zomboko

    Algeria: Marekebisho ya katiba yamepitishwa kwa asilimia 66.8 ya kura zilizopigwa na wananchi waliojiandikisha

    Marekebisho ya katiba yamepitishwa kwa asilimia 66.8 ya kura zilizopigwa na robo ya wananchi waliojiandikisha kushiriki kwenye zoezi la upigaji kura nchini Algeria. Akizungumza na waandishi wa habari leo hii, Mwenyekiti wa Tume Kuu ya Uchaguzi ya Algeria Muhammed Shurfi alisema kuwa pingamizi...
  17. Dilon

    Sikilizeni OCD wa Mpwapwa anavyotamba kupiga mabomu wananchi na kuwakamata bila HATIA!

    Sikilizeni uonevu wa OCD wa Mpwapwa anavyokiri kupiga mabomu wananchi bila HATIA!
  18. Informer

    GE2020 Balozi wa Marekani nchini Tanzania: Serikali ihakikishe usalama wa Viongozi wa Upinzani, iwaachie waliokamatwa na kurejesha mawasiliano kwa wananchi

    Balozi huyo ameandika: Reports of arrests of opposition leaders are extremely concerning. I urge the Government to ensure the safety and security of all opposition leaders, cease these targeted arrests, release detainees, restore telecommunications, and afford due process under the law to all...
  19. Rijali jandoni

    Kuingia kwa vyama pinzani Afrika kutaleta maendeleo kwa haraka (ndani miaka 2 au 3) kama wananchi tunavyotarajia

    Mimi nadhani ifike wakati na kukubali kwamba sisi wa africa bado hatujui tunapo kwenda na tulipotoka siku zote hakuna mtu au familia ambayo itaendelea kuwa na mambo makubwa pasipo kuwa na umoja hasa kwa upande wangu nadhani:- Uwepo wa kitu kinacho itwa demokrasia na vyama vingi ilikuwa ni...
  20. ACT Wazalendo

    GE2020 CHADEMA na ACT-Wazalendo kufanya maandamano ya amani Nov 2, 2020 kupinga kuvurugwa kwa Uchaguzi Mkuu

    CHADEMA na ACT Wazalendo tunautangazia umma na wanaopinga kuvurugwa kwa Uchaguzi Mkuu kushiriki Maandamano ya Amani kesho Jumatatu ya Tarehe 2/11/20. Madhumuni ya Maandamano ni kudai kurudiwa Uchaguzi Mkuu chini ya Tume Huru ya Uchaguzi. Maandamano yataanzia sehemu 2, kundi moja litaanzia...
Back
Top Bottom