Japokua hayati alikua anaendesha nchi kibabe, lakini kuna baadi yamambo aliyafanya yalitupendezea hata sisi wananchi wanyonge tunaoshi chini ya dola moja kwa siku.
Ziara za sehemu mbalimbali kusikiliza kero za wananchi zilitufariji sana.
Kwa heshima na taadhima tunakuomba mama yetu, Amiri jeshi mkuu, President material mweshimiwa Rais samia suluhu uanze ziara za kusikiliza kero za wananchi wako wanyonge na kuzitafutia ufumbuzi.
Tunakupenda sana
Asante sana
Mitano tena✋
Ziara za sehemu mbalimbali kusikiliza kero za wananchi zilitufariji sana.
Kwa heshima na taadhima tunakuomba mama yetu, Amiri jeshi mkuu, President material mweshimiwa Rais samia suluhu uanze ziara za kusikiliza kero za wananchi wako wanyonge na kuzitafutia ufumbuzi.
Tunakupenda sana
Asante sana
Mitano tena✋