Ni wakati wa CCM kuandaa Chama kingine cha Upinzani maana waliopo sasa Wananchi walishaona hawajitambui

Idugunde

JF-Expert Member
May 21, 2020
6,273
6,637
Nadeclare interest kuwa mimi mpaka sasa sina kadi ya chama chochote cha siasa. Ila nafuatilia masuala ya siasa zinazoendelea hapa nchini kwa ukaribu.

Ni wazi kuwa CHADEMA, CUF, ACT-Wazalendo na vyama vingine vya siasa vilivyopo hapa nchini japokuwa ni opposition parties lakini ni kambi ndogo za CCM ili kuweka taswira ya kisiasa nzuri kuwa taifa letu linafuata mfumo wa vyama vingi.

Bahati mbaya zaidi hivi vyama vilivyopo vimepoteza mvuto kwa wananchi, maana karibu vyote havikubariki tena na vimeonekana ni vya wajaza matumbo wasio na vision yoyote nzuri ya kisiasa zaidi ya kudaka posho na kula.

Hawana wanasiasa wa kuweza kudadavua na kupambanua mambo kisha kuikosoa serikali kwa busara

Hivyo ni wakati wa CCM kuandaa vyama vingine vya kisiasa japo hata viwili lakini viwe na watu makini ambao watakosoa kuleta changamoto zinazoendana na siasa za leo. Sio watafuta kick kupitia matukio.

N.B CCM ni taasisi iliyojikita na kusimika mizizi na kujiimarisha.
 
Suala la vyama vya upinzani kuwekwa kwa maslahi mapana ya taifa hilo ni kweli, hata trend ya vyama hivyo tangu vianzishwe inaonekana. Hayo mengine nakuachia wewe mkuu.
 
Unasema Vyama Pinzani vilivyopo ni matawi madogo ya CCM. Hapo hapo unahitaji CCM ianzishe vingine viwili.
CCM si itkuwa imejiongezea matawi mengine?

Kama usemvyo ni kweli ilikuaje basi Vyama hivi vikawa vinasakamwa na Watendaji wakuu toka CCM?

Kwa upande wa Chadema ilikuaje Viongozi wake 95% kubambikiwa kesi?? Je Mh Lissu kupigwa risasi mchana kweupee kwako ilikuwa ni maigizo??
 
Unasema Vyama Pinzani vilivyopo ni matawi madogo ya ccm. Hapo hapo unahitaji ccm ianzishe vingine viwili.
CCM si itkuwa imejiongezea matawi mengine??

Kama usemvyo ni kweli ilikuaje basi Vyama hivi vikawa vinasakamwa na Watendaji wakuu toka ccm?

Kwa upande wa Chadema ilikuaje Viongozi wake 95% kubambikiwa kesi?? Je Mh Lissu kupigwa risasi mchana kweupee kwako ilikuwa ni maigizo??
Shangaa huyu mjinga hajui hata anafanya nini?
 
Nadeclare interest kuwa mimi mpaka sasa sina kadi ya chama chochote cha siasa. Ila nafuatilia masuala ya siasa zinazoendelea hapa nchini kwa ukaribu.

Ni wazi kuwa CHADEMA, CUF, ACT Wazalendo na vyama vingine vya siasa vilivyopo hapa nchini japokuwa ni opposition parties lakini ni kambi ndogo za CCM ili kuweka taswira ya kisiasa nzuri kuwa taifa letu linafuata mfumo wa vyama vingi.

Bahati mbaya zaidi hivi vyama vilivyopo vimepoteza mvuto kwa wananchi, maana karibu vyote havikubariki tena na vimeonekana ni vya wajaza matumbo wasio na vision yoyote nzuri ya kisiasa zaidi ya kudaka posho na kula.

Hawana wanasiasa wa kuweza kudadavua na kupambanua mambo kisha kuikosoa serikali kwa busara

Hivyo ni wakati wa CCM kuandaa vyama vingine vya kisiasa japo hata viwili lakini viwe na watu makini ambao watakosoa kuleta changamoto zinazoendana na siasa za leo. Sio watafuta kick kupitia matukio.

N.B CCM ni taasisi iliyojikita na kusimika mizizi na kujiimarisha.
Pole sana mkuu, By the way bado tupo na safari ndefu sana kwenye political strategies
Kjana kama wewe mwenye uelewa wa kufungua jforum kwa madaa unaweza ku- propose hoja kama hii
Are you serious mkuu.
Any way unamaana ya CCM yakwamba CCM iliyo feil kwenye nyanja zote kisiasa
Iwe na uwezo wa kuandaa chama kinginge cha upinzani ??? Ili hali chama chao kime washinda kwa kila nyanja
 
Unasema Vyama Pinzani vilivyopo ni matawi madogo ya CCM. Hapo hapo unahitaji CCM ianzishe vingine viwili.
CCM si itkuwa imejiongezea matawi mengine?

Kama usemvyo ni kweli ilikuaje basi Vyama hivi vikawa vinasakamwa na Watendaji wakuu toka CCM?

Kwa upande wa Chadema ilikuaje Viongozi wake 95% kubambikiwa kesi?? Je Mh Lissu kupigwa risasi mchana kweupee kwako ilikuwa ni maigizo??
Hujui siasa wewe.
 
Hujui siasa wewe.
Ccm iandae chama cha upinzani, wakati yenyewe inategemea vyombo vya kuendelea kukaa madarakani kwa shuruti?

Kwa taarifa yako ccm imeshavipa nguvu sana vyama kadhaa vya upinzani, lakini imeshindikana. Na hicho ACT kilianzishwa na kina JK, Membe, Mwigulu, Januari, Nape nk, lengo ilikuwa ni kuifanya backup ya ccm dhidi ya Cdm. Lakini yote hayo yameshindikana maana watu wameshaamka, na ccm imeshapitwa na wakati kwani haina mvuto tena.
 
Nadeclare interest kuwa mimi mpaka sasa sina kadi ya chama chochote cha siasa. Ila nafuatilia masuala ya siasa zinazoendelea hapa nchini kwa ukaribu.

Ni wazi kuwa CHADEMA, CUF, ACT-Wazalendo na vyama vingine vya siasa vilivyopo hapa nchini japokuwa ni opposition parties lakini ni kambi ndogo za CCM ili kuweka taswira ya kisiasa nzuri kuwa taifa letu linafuata mfumo wa vyama vingi.

Bahati mbaya zaidi hivi vyama vilivyopo vimepoteza mvuto kwa wananchi, maana karibu vyote havikubariki tena na vimeonekana ni vya wajaza matumbo wasio na vision yoyote nzuri ya kisiasa zaidi ya kudaka posho na kula.

Hawana wanasiasa wa kuweza kudadavua na kupambanua mambo kisha kuikosoa serikali kwa busara

Hivyo ni wakati wa CCM kuandaa vyama vingine vya kisiasa japo hata viwili lakini viwe na watu makini ambao watakosoa kuleta changamoto zinazoendana na siasa za leo. Sio watafuta kick kupitia matukio.

N.B CCM ni taasisi iliyojikita na kusimika mizizi na kujiimarisha.
Havikubaliki kwako wewe ndiyo maana unasema CCM IANDAE VYAMA VINGINE VYA UPINZANI kuonyesha ufukura wa mawazo uliyonayo,Imani yako ni kuwa bila ccm nchi haiwezi kusonga.
 
Unasema Vyama Pinzani vilivyopo ni matawi madogo ya CCM. Hapo hapo unahitaji CCM ianzishe vingine viwili.
CCM si itkuwa imejiongezea matawi mengine?

Kama usemvyo ni kweli ilikuaje basi Vyama hivi vikawa vinasakamwa na Watendaji wakuu toka CCM?

Kwa upande wa Chadema ilikuaje Viongozi wake 95% kubambikiwa kesi?? Je Mh Lissu kupigwa risasi mchana kweupee kwako ilikuwa ni maigizo??
Huyo bwana ni kiazi kabisa.
 
Nadeclare interest kuwa mimi mpaka sasa sina kadi ya chama chochote cha siasa. Ila nafuatilia masuala ya siasa zinazoendelea hapa nchini kwa ukaribu.

Ni wazi kuwa CHADEMA, CUF, ACT-Wazalendo na vyama vingine vya siasa vilivyopo hapa nchini japokuwa ni opposition parties lakini ni kambi ndogo za CCM ili kuweka taswira ya kisiasa nzuri kuwa taifa letu linafuata mfumo wa vyama vingi.

Bahati mbaya zaidi hivi vyama vilivyopo vimepoteza mvuto kwa wananchi, maana karibu vyote havikubariki tena na vimeonekana ni vya wajaza matumbo wasio na vision yoyote nzuri ya kisiasa zaidi ya kudaka posho na kula.

Hawana wanasiasa wa kuweza kudadavua na kupambanua mambo kisha kuikosoa serikali kwa busara

Hivyo ni wakati wa CCM kuandaa vyama vingine vya kisiasa japo hata viwili lakini viwe na watu makini ambao watakosoa kuleta changamoto zinazoendana na siasa za leo. Sio watafuta kick kupitia matukio.

N.B CCM ni taasisi iliyojikita na kusimika mizizi na kujiimarisha.
Ni mda sasa vijana wajipange kuunda political party kwa manufaa ya nchi na kuleta mawazo tafauti.

Sent from my 601SO using JamiiForums mobile app
 
Ccm iandae chama cha upinzani, wakati yenyewe inategemea vyombo vya kuendelea kukaa madarakani kwa shuruti?

Kwa taarifa yako ccm imeshavipa nguvu sana vyama kadhaa vya upinzani, lakini imeshindikana. Na hicho ACT kilianzishwa na kina JK, Membe, Mwigulu, Januari, Nape nk, lengo ilikuwa ni kuifanya backup ya ccm dhidi ya Cdm. Lakini yote hayo yameshindikana maana watu wameshaamka, na ccm imeshapitwa na wakati kwani haina mvuto tena.

mbna hata 2015 mlipewa nguvu na ccm, ama hamjui nyie ni tawi la CCM?
 
Nadeclare interest kuwa mimi mpaka sasa sina kadi ya chama chochote cha siasa. Ila nafuatilia masuala ya siasa zinazoendelea hapa nchini kwa ukaribu.

Ni wazi kuwa CHADEMA, CUF, ACT-Wazalendo na vyama vingine vya siasa vilivyopo hapa nchini japokuwa ni opposition parties lakini ni kambi ndogo za CCM ili kuweka taswira ya kisiasa nzuri kuwa taifa letu linafuata mfumo wa vyama vingi.

Bahati mbaya zaidi hivi vyama vilivyopo vimepoteza mvuto kwa wananchi, maana karibu vyote havikubariki tena na vimeonekana ni vya wajaza matumbo wasio na vision yoyote nzuri ya kisiasa zaidi ya kudaka posho na kula.

Hawana wanasiasa wa kuweza kudadavua na kupambanua mambo kisha kuikosoa serikali kwa busara

Hivyo ni wakati wa CCM kuandaa vyama vingine vya kisiasa japo hata viwili lakini viwe na watu makini ambao watakosoa kuleta changamoto zinazoendana na siasa za leo. Sio watafuta kick kupitia matukio.

N.B CCM ni taasisi iliyojikita na kusimika mizizi na kujiimarisha.
Hakuna Ccm
kuna Policcm
Tumeccm Mahakamaccm Usalamaccm
 
Back
Top Bottom