Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,316
- 24,181
Mama ana msimamo tofauti kabisa na mtangulizi wake.
Hapendi kabisa wananchi kuonewa.
Pamoja na kuongea hadharani, lakini hata teuzi zake zimeongea hivyo.
Vyombo vilivyotumika na Mwendazake kuminya uhuru wa wananchi katika utekelezaji wa maisha ya kawaida, vimepigwa dhoruba ya kisawasawa.
TCRA- Eng Kilaba OUT
TAKUKURU- Gen Mbungo OUT
TRA - aliyekuwepo (hata jina silikumbuki)-OUT
DPP - Biswalo Mganga-OUT
HAPA tunamsoma vizuri sana Mama, anarudisha hekima ya kuwatumikia wananchi kwa staha, weledi na bila uonezi.
Mama Samia, Mungu akutangulie!
Hapendi kabisa wananchi kuonewa.
Pamoja na kuongea hadharani, lakini hata teuzi zake zimeongea hivyo.
Vyombo vilivyotumika na Mwendazake kuminya uhuru wa wananchi katika utekelezaji wa maisha ya kawaida, vimepigwa dhoruba ya kisawasawa.
TCRA- Eng Kilaba OUT
TAKUKURU- Gen Mbungo OUT
TRA - aliyekuwepo (hata jina silikumbuki)-OUT
DPP - Biswalo Mganga-OUT
HAPA tunamsoma vizuri sana Mama, anarudisha hekima ya kuwatumikia wananchi kwa staha, weledi na bila uonezi.
Mama Samia, Mungu akutangulie!