wakuu

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Wakuu wa shule wanawatesa sana walimu aisee

    Yaani Kuna shule Mkuu wa hiyo shule anawachukulia walimu wake kama watoto. Kufika kazini ni saa 1 kamili, kutoka ni saa 11 jioni na ni mkali balaa kuwaandikisha barua kila wakati.
  2. R

    Makonda na Nchimbi wapendekeza wakuu wa wilaya, mikoa, RAS na DED; utenguzi, uhamisho na utenguzi kufanyika hivi karibuni

    Kila kiongozi anayeingia ofisini kwenye chama jambo la kwanza ni kupendekeza kutengua na kuteua. Tayari wawili hawa wamewasilisha majina ya watu wanaotamani wapewe nafasi waonje keki ya Taifa. Kufuatia utamaduni huu wa kila mtu kumpa shavu rafiki yake, nawajulisha wakuu wa mikoa, wilaya...
  3. D

    Utamaduni wa kututanganzia viongozi wakuu na wastaafu wanapoumwa haupo, inapotokea tunapata mashaka

    Ukweli usemwe tu! Kiongozi anapoumwa hapa nchini kwetu imekuwa kama kasumba kuficha ficha sana kutoa taarifa. wakati ni haki ya umma kufahamishwa alipo mtumishi wao wanayemlipa! Hata taarifa zinapotoka huwa kwa mbinde sana! Na taifa hilihili linapotoa taarifa kirahisi pasipo kuombwa ombwa...
  4. MamaSamia2025

    Wakuu tatizo langu la meno liko complicated nataka ushauri wenu

    Wakuu nina tatizo la meno kuuma. Meni ya juu upande wa kushoto. Kiukweli maumivu yake sio ya kutisha kama ambavyo watu wakiumwa jino inavyokuwa. Ila ni maumivu ambayo hayakomi hasa usiku. Kimsingi comfortability hakuna. Nilienda hospitali wakataka kung'oa nikakataa ikabidi wanipe dawa za...
  5. Mtemi mpambalioto

    Wakuu wa vituo Polisi, OCD, RPC ndio wanaoongoza kunyima haki za watu pindi linapokuja suala la uchunguzi

    Sijui ni uwezo mdogo kielimu ndiko kunapelekea polisi kunyima haki pindi watu wanapopeleka malalamiko! au ni serikali kupitia CCM ndio mnawafumbia macho hawa polisi? kuna kesi nyingi sana za watu kupotea, kudhulumiwa, ma kuonewa ila.ikifika polisi wanaangalia mwenye hela na uwezo kiofisi! Mtu...
  6. P

    Wakuu nipo wakati mbaya sana

    Wakuu kaka, dada,mama na baba zangu wa jf nipo kwenye Hali mbaya sana ya mateso ya kimawazo. Nahitaji mtu tu japo wakunielewa. Katika umri wangu huu mdogo naona Kila kitu kinaharibika naona Giza mbele yangu. Ndio na mwamini Mungu naamini katika nguvu zake, lAkin wakuu zangu nikikaa nakutazama...
  7. C

    Examination Officer written interview

    Wakuu habari ya leo, Naomba kupata muangaza kidogo katika written interview za examination officer aina ya maswali yanayoulizwa.
  8. Mademoiselle

    Naomba msaada wakuu

    Igweee... Jamani ni wapi naweza pata hii nguo kwa hapa Tanzania? Very urgent need...
  9. P

    Natamani kuwa na mahusiano lakini mabinti wanakataa kabisa. Nifanye nini?

    Toka primary, secondary, advance na hivi sasa chuo kikuu. Sijawi kuwa na mpenzi na hata marafiki wa kike na kutana na tu kwenye academic field only. Napata changamoto sana mana Kila binti nae mu approach anakataa na Wengine Wanasema wapo kwenye mahusiano Tayari. Nimejaribu kumuuliza moja ya...
  10. Niache Nteseke

    Kwa haya Matokeo anaweza kuchaguliwa kwenda Form 5 wakuu?

    Heshima kwenu wakuu. Naomba kuuliza kuhusu haya Matokeo ya huyu dogo ataweza kuchaguliwa Form 5 wadau...? Civics D History D Geography C Kiswahili C English D Physics F Chemistry D Biology C Mathematics F Kwa results hizo ataweza kuchaguliwa 5...? Kama hatochaguliwa aende kozi gani...
  11. P

    Tumsaidie huyu binti kwa ushauri kulingana na matokeo yake kidato cha nne

    Wakuu tumsaidie huyu dogo mana nimekosa Cha kumshauri kwa Sasa, Matokeo ya Kidato cha Nne yametoka Huyu binti kapata Division Four ya 30. Civics D Kiswahili D History D Geography D Biology C Masomo mengine kapata F Je, sehemu ipi Inamfaa huyu binti?
  12. L

    Nahitaji washirika

    Habari wakuu. Kijana mwenzenu nimefungua chuo na nimekiendesha kwa miaka kadhaa sasa. Nahitaji washirika wa kusaidiana kupata wanafunzi kwa mkataba maalum wenye manufaa kwa pande zote. Chuo kipo arusha kina mazingira mazuri mno kimesajiliwa na kilakitu kipo sawa. Dm for more information
  13. Suley2019

    Albert Chalamila: Usafi wa Wanajeshi hautoathiri maandamano ya CHADEMA

    Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Albert Chalamila amesema usafi uliopangwa kufanyika hautaathiri maandamano yaliyopangwa kufanywa na Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Januari 24 iwapo watakuwa na kibali cha kufanya hivyo. Chalamila ametoa kauli hiyo leo, Jumatatu Januari 22, Jijini Dar...
  14. Suzy Elias

    Hivi CCM huwapa nini Wakuu wa Vyombo vya Ulinzi na Usalama na kupelekea wao kukaa kimya hata pasipobidi!?

    Hilo ndilo swali huwa najiuliza siku zote. Wazi huwa yapo mambo mengi ambayo kwa macho ya kawaida kabisa, huhitaji Vyombo vya Dola viikemee Serikali inayoongozwa na CCM kwa kuhatarisha usalama wa Taifa. Ajabu wala hawajishughulishi! Mbaya zaidi, CCM hutumia sababu ya machafuko kama silaha ya...
  15. TUKANA UONE

    Hadi leo sielewi shida ni nini, mimi binafsi siwezi na sidhani kama nitakuja kuweza kufanya ngono na mwanamke asiye wangu!

    Salamu nishamuachiaga ndugu yangu GENTAMYCINE na ndugu zake wa Butiama & Nyamuswa kina Cognizant Wakuu mimi binafsi huwa sijielewi nina matatizo gani!,yawezekana nikawa dhaifu kwa baadhi ya watu hapa JF lakini pengine yawezekana ndivyo nilivyo! Tangu nimekuwa mtu mzima huwa sitamani mwanamke...
  16. MSAGA SUMU

    Wakuu jimbo liko wazi kwa Zuchu

    Kama haufagilii mizigo mikubwa mikubwa ya Sheikh Kipozeo unapenda wastani basi mali hii hapa imerudi sokoni wakuu.
  17. T

    Msaada wa kuunganishwa ajira. Nina shahada ya ualimu (Hesabu & IT)

    Wakuu, nina degree ya ualimu (kwa masomo ya MATHS & IT). Nimehangaika sana angalau kupata sehemu napoweza kupiga kibarua nipate chochote kitu ila wapi! Naomba kama kuna mtu anaweza kuniunganisha au kunisaidia kupata job afanye hivyo tafadhali. Natanguliza shukrani.
  18. P

    Wakuu hii ni positive au negative

    wakuuu msaada apo ni positive au negative.........three weeks before nilipima hospital nikaambiwa nipo fresh kabisa yaan negative
  19. Dr Matola PhD

    Kuuliza si ujinga, Tanzania tuna Amiri Jeshi wakuu wangapi? Je Chalamira ana mamlaka Kwa Majeshi ya ulinzi na usalama?

    Kuna haja ya CDF kutoka hadharani na kukataa kudharauliwa kiasi hiki kwamba Leo hii mkuu wa mkoa anaweza kumuamuru CDF? hii mliwahi kuona wapi? Jeshi la Misri linajitambuwa, lilikataa Amri kutoka Kwa Amiri Jeshi wao Hosni Mubarak na kusimama na wananchi, leo Tanzania anatoka Mlevi mmoja wa...
Back
Top Bottom