wadogo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Ghost MVP

    Tabia ya Watoto wadogo kuimba na kucheza nyimbo za kijinga na wazazi wanafurahia na kuwaona wajanja

    Kitu hiki ni janga kubwa sana kwa familia Nyingi za kitanzania, inanikwaza mno ninapoona mtoto mdogo anaimba nyimbo zenye mashairi ya hovyo au kucheza/kukata viuno na watu wakubwa wanacheka kwa kumuona mjanja sana. Hii ni mbaya na inamuaribu huyo mtoto Bila wewe kujua, ataanza kuiga marigo ya...
  2. Stephano Mgendanyi

    Milioni 13 za Mbunge wa Ulanga/Mahenge Neema kwa Wachimbaji Wadogo

    MILIONI 13 ZA MBUNGE ULANGA NEEMA KWA WACHIMBAJI WADOGO Mbunge wa jimbo la Ulanga Salim Alaudin Hasham ametoa kiasi cha shilingi milioni kumi na tatu (13,000,000) kwaajili ya malipo ya leseni za wachimbaji wadogo wanaofanya kazi zao za uchimbaji wa madini katika kata ya Lukande wilayani humo...
  3. bjhjhj

    Rais Samia ongea na Waziri wa Ajira aongee na Sekretarieti ya ajira waache kutesa wadogo zetu

    Kama uzi unavyosema hapo juu, Rais Samia, kuna hawa watu wanaoendesha utaratibu mzima wa kutoa ajira kwa vijana wa Tanzania (secretariat ya ajira), hawa wamekuwa tatizo kwa vijana wanaojitafuta kwenye Secta ya Ajira. Haiwezekani mtu afanye usahili alafu akae zaidi ya miezi sita wakati...
  4. bjhjhj

    Sekretarieti ya Ajira iache kutesa wadogo zetu wanaotafuta ajira

    Rais ongea na Waziri mwenye dhamana ya ajira aongee na hawa secretariet ya ajira waache kutesa wadogo zetu. Kama uzi unavyosema hapo juu mheshimiwa Rais. Kuna hawa watu wanaoendesha utaratibu mzima wa kutoa ajira kwa vijana wa Tanzania (secretariat ya ajira), hawa wamekuwa tatizo kwa vijana...
  5. Wakili wa shetani

    Yanga inajitengenezea mashabiki wangali bado wadogo kabisa

    Mtu kama huyu hawezi kuja kuiacha Yanga. Biblia inasema. ".......angali bado mdogo naye hataiacha hata siku za uzee wake."
  6. Ricky Blair

    Hii ya wasichana wadogo kujifungua kwa upasuaji imekaaje?

    Nime-notice hii trend wanawake wadogo wenye rika ya 20 na hadi early 30's uko kuzaa kwa upasuaji wakati mimi ninavyojua hii hufanywaga sana kwa wanawake late 30's au forties huko kwa sababu ya risk mbali mbali. Lakini siku hizi naona imekuwa trend wanawake wadogo kuzaaa kwa njia hii; all my...
  7. Ivan Stepanov

    Wadogo zetu wa sasa wana ujasiri sana, sio waoga kabisa

    Niende moja kwa moja kwenda jambo la msingi. Ninayezungumza hapa pia ni kijana sio kwamba ni mtu mzima sanaa kivile, hapana. Naanza kwa kusema hili; ili kuondoa ile dhana ambayo kwa sasa inalalamikiwa na vijana wengi mitandaoni kwamba "Wazee" na "Watu wazima waliofanikiwa" wanawaonea vijana kwa...
  8. Ricky Blair

    Watoto wadogo ndani ya hijab

    Yaani tangia Kikwete aruhusu wazazi wa kiislamu watoto wao wawavalishe hijab basi watoto wadogo wengine hata kutembea mtu amemvalisha hijab na ya kubana kabisa na joto hili😳😳😳 kwanza shule za serikali viishilio vya dini haviruhusiwi km mkufu etc lakini bado hawa wamekazana. Ujinga wa wap huu...
  9. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Idd Kassim aomba Maboresho ya sera na sheria ili kuwanufaisha wachimbaji wadogo

    Mbunge wa Jimbo la Msalala Mkoani Shinyanga ambaye pia ni Mjumbe wa Kamati ya kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini Mheshimiwa Iddi Kassim Iddi ameomba kufanyika kwa mabadiliko ya Kisera na Kisheria ili kuendelea kuwanufaisha wachimbaji wadogo wa madini hapa nchini. Mhe. Iddi ametoa maombi hayo...
  10. LIKUD

    Weusi kati kati ya mapaja (dark inner thighs) chanzo cha wanaume wengi kutmbea na wasichana wadogo

    Mwanaume unaweza kusex na mwanamke mwenye weusi kati kati ya mapaja (dark inner thighs)? Kama unaweza basi jua wewe ni jasiri ambae unaweza hata kutafuna jongoo. Binafsi siwezi kabisa labda kwa mkwassa (bastola) mbaya zaidi awe pia na stretch marks kwenye mapaja coz nitamuacha right away...
  11. Mapunu jr

    Niko mwanza maeneo ya igoma mwenye nguruwe wadogo wa kufuga anauza anicheki

    Niko mwanza maeneo ya igoma mwenye nguruwe wadogo wa kufuga anauza anicheki
  12. kindikinyer leborosier

    Naombeni mnishauri kwenye hili la wadogo zangu kuhusu aina ya kozi za kusomea

    Hello habarini wanajamv, poleni na majukumu ya kila siku. Miaka ya nyuma niliomba ushauri humu humu jukwaani kuhusu wadogo zangu wawili wa kike, ili kulipa fadhila ya msaada niliopewa kielimu mimi binafsi. Matokeo wiki hii yametoka: 1. Alisoma ECA amepata div 1 ya points 8 2. Alisoma PCM...
  13. Mwl.RCT

    SoC03 Jeuri ya Sisimizi: Kujifunza Kutoka kwa Wadogo Wenye Uwezo

    JEURI YA SISIMIZI: KUJIFUNZA KUTOKA KWA WADOGO WENYE UWEZO Imendikwa na: MwlRCT UTANGULIZI Sisimizi ni viumbe vidogo vyenye uwezo mkubwa wa kushirikiana, kujifunza, kuhifadhi chakula, kujenga makazi na kujihami. Kuna mengi tunayoweza kujifunza kutoka kwao ili kupata mawazo mapya na mikakati...
  14. ZVI ZAMIR

    Msaada: Wapi naweza kupata Maziwa ya watoto wadogo ambayo ni Protein Free (hypoallergenic infant formula milk)

    Habari ya kazi Wakuu. Ndani ya mkoa wa Dar es salaam, maziwa hayo yasiwe ya Soya au Almond. Kwa kampuni yoyote ile inayozalisha maziwa ya watoto.
  15. Tukuza hospitality

    SoC03 Serikali Iwalinde Wafanyabiashara na Wajasiriamali Wadogo Nchini Tanzania

    Utangulizi Baadhi ya wafanyabiashara wakubwa, nikimaanisha wale waliofikia kiwango cha kumiliki makampuni makubwa na/au viwanda vikubwa, wana tabia ya kuwameza wafanyabiashara wadogowadogo, kwa namna mbalimbali. Kwa mfano, kampuni ina kiwanda cha kuchakata ngano, na inauza ngano iliyokobolewa na...
  16. Von_Lufuta

    Kwa hili nililoliona, Wazazi kuweni makini sana kuweka uangalizi kwa watoto wadogo wa kiume

    Habari zenu wakuu.. Hope mpo vizuri. Bila kupoteza muda, Wiki 3 zilizopita nikiwa Mkoa X, nilikutana na tukio la kusikitisha sana. Sio mimi tu, hata watu wa mtaa ule wanawake kwa wanaume waliishia kushika vichwa na wengine kumwaga machozi kabisa. Ilikuwa hivi.. Kuna nyumba fulani ambayo...
  17. Teslarati

    Wadogo zangu mnapotea, bila nidhamu ya pesa utaenda kukariri plate number za wenzako

    Ofcourse naelewa kwamba hakuna kupangiana matumizi, ila nisiposema hili nitakua sijatimiza wajibu wangu kama "kaka"(kwa baadhi ya wadogo zangu). Wadogo zangu, ukiwa bado hustler, kupiga dili ya laki 2 na ukaji-shukuru kwa kutumia laki moja na nusu ni upuuzi grade A. Usituone sisi tunalewa...
  18. GoldDhahabu

    Kuna la kujifunza kutoka kwa wachuuzi wadogo

    Mwanzoni mwa mwaka 2020, nilifanya mazungumzo na kijana mmoja muuza mahindi ya kuchoma Mjini Kahama. Nilitaka kufahamu, pamoja na mambo mengine, manufaa wanayoyapata kutokana na hiyo biashara. Aliniambia, ni biashara inayomlipa sana. Alipokosa nafasi ya kuenedelea na masomo baada ya kuhitimu...
  19. G

    Nguruwe wadogo wanauzwa, Arusha

    Wakuu habari? Kama title inavyosema, maelezo zaidi ni kama ifuatavyo. Idadi: 10 Umri: Miezi miwili na nusu. Bei: @120,000/= (Maongezi yapo) Eneo: Arusha, Themi Hill. Karibuni wakuu! UPDATES: Done deal..! Shukrani kwa ushirikiano wenu.
  20. Wakili wa shetani

    Watanzania wengi akili zao ni kama za watoto wadogo. Unapowaeleza jambo elezea kama unamueleza mtoto mdogo.

    Umewahi sikia kitu kinachoitwa The curse of knowledge(Laana ya maarifa)? Ni ile mtu anafikiri kuwa maarifa aliyonayo au mambo anayoyafahamuu basi kila mtu wa kawaida anayafahamu. Hii inapelekea watu wengi wenye maarifa na wasomi waonekane hawawezi kujieleza au kuongea kwa ufasaha, au...
Back
Top Bottom