Watumishi wengi wa Umma tumeachwa Kimaisha na Wajasiriamali wadogo

Kiboko ya Jiwe

JF-Expert Member
Apr 7, 2020
12,702
36,141
Hi!

Si Wajasiriamali wote kwamba wana maisha mazuri kuliko Watumishi wa Umma ila nataka kusema kuwa wapo Wajasiriamali wengi tu ambao hata leseni ya biashara hawana, Kodi hawalipi kabisa na Serikali haiwatambui lakini wana pesa kuliko wenye maduka ambao hulipa Kodi kwa VAT.

Kuna Jamaa anauza Ugali nyama choma, huyu bwana akiondoa gharama zote za uendeshaji anapata faida ya TZS 200,000/- mpaka TZS 300,000/- kwa siku. Maana yake huyu kwa mwezi amefeli amepata faida ya TZS 5,000,000/-. Pesa ambayo wanalipwa Watumishi Waandamizi Wizarani. Hapo ameshatumia pesa ya kutosha ndani ya huo mwezi mwisho wa mwezi ana TZS 5,000,000/- .

Mtumishi Mwandamizi akipata hiyo TZS 5,000.000/- ndipo aanze kutumia, atasave Million Moja au Laki 5 tu. Kuna dogo anauza chips Mwenge kwa siku analaza Laki 3.5. Huyu baada ya matumizi yake yote mwisho wa mwezi akichungulia akiba yake hakosi Milioni 7. Faida ya Milioni 7 kwa mwezi ni Watumishi wa Umma wangapi wanaipata? Labda majizi tu ambayo hawana amani maana jela inawaita kila siku.

Kuna muuza chips Keko kwa siku anapata faida ya Laki 4 . Na jinsi alivyo bahiLi yule kwa mwezi analaza mpaka Milioni 10. Halipi kodi hata mia, kajenga mjengo Madale nahisi hata baadhi ya Wabunge hawana Nyumba kama ile.

Tisidharauliane ndugu. Kuna Watumishi wengi tu wa chini wamewazidi maisha mabosi zao.

Mimi ni Mwajiriwa ila nakiri kuwa utajiri nitasikilizia redioni tu. Kwa mishahara hii tusubiri kifuta machozi cha kustaafu labda au tuibe tunawiri na mwisho tukafungwe.
 
Heading na Content ni Maji na Mafuta.....

Heading (Watumishi Wengi wanazidiwa kimaisha na Wajasiriamali Wadogo) Content; (Kuna wajasiriamali wadogo wanawazidi kimaisha Watumishi Wengi) !!!!

Ukishaweka kuna; wapo hata watu wasiofanya kazi yoyote na wanamzidi kimaisha hata baadhi ya marais wa nchi..., Ukishaweka kuna, technically anything is possible..., Ila kufahamu ni vipi maisha ni magumu kwa majority wewe leo achia kazi yako yenye security(income na pension at the end of retirement) uone ni hao so called wajasiriamali wadogo watapambana wachukue hio kazi yako ili wapunguze madeni ya Vikoba (The Grass is Always Greener on the other Side)
 
Hi!

Si Wajasiriamali wote kwamba wana maisha mazuri kuliko Watumishi wa Umma ila nataka kusema kuwa wapo Wajasiriamali wengi tu ambao hata leseni ya biashara hawana, Kodi hawalipi kabisa na Serikali haiwatambui lakini wana pesa kuliko wenye maduka ambao hulipa Kodi kwa VAT...
Ukiwa mtumishi jitahidi sana uwekeze bje ya ajira yako. Mtaani ndipo pesa zilipo.
 
Africa tunazan mbaya sana
Mkizaliwa 3
Mmoja awe mtumish wengine wajasiria mali ukoo mzma unakutegemea wew mtumish kwa 100% na hata ikitokea hitaji la pesa utaambiwa wew na Zaid utasikia ata hao wafanyabiashar ndugu zako watakwambia si ukope


Wafanya biashara siku zote hawan utegemez yeye mwak mzm anawez sema anapata hasara anafany tuu hyo biashara kwakuw hana kaz ingine
 
Hi!

Si Wajasiriamali wote kwamba wana maisha mazuri kuliko Watumishi wa Umma ila nataka kusema kuwa wapo Wajasiriamali wengi tu ambao hata leseni ya biashara hawana, Kodi hawalipi kabisa na Serikali haiwatambui lakini wana pesa kuliko wenye maduka ambao hulipa Kodi kwa VAT.

Kuna Jamaa anauza Ugali nyama choma, huyu bwana akiondoa gharama zote za uendeshaji anapata faida ya TZS 200,000/- mpaka TZS 300,000/- kwa siku. Maana yake huyu kwa mwezi amefeli amepata faida ya TZS 5,000,000/-. Pesa ambayo wanalipwa Watumishi Waandamizi Wizarani. Hapo ameshatumia pesa ya kutosha ndani ya huo mwezi mwisho wa mwezi ana TZS 5,000,000/- .

Mtumishi Mwandamizi akipata hiyo TZS 5,000.000/- ndipo aanze kutumia, atasave Million Moja au Laki 5 tu. Kuna dogo anauza chips Mwenge kwa siku analaza Laki 3.5. Huyu baada ya matumizi yake yote mwisho wa mwezi akichungulia akiba yake hakosi Milioni 7. Faida ya Milioni 7 kwa mwezi ni Watumishi wa Umma wangapi wanaipata? Labda majizi tu ambayo hawana amani maana jela inawaita kila siku.

Kuna muuza chips Keko kwa siku anapata faida ya Laki 4 . Na jinsi alivyo bahiLi yule kwa mwezi analaza mpaka Milioni 10. Halipi kodi hata mia, kajenga mjengo Madale nahisi hata baadhi ya Wabunge hawana Nyumba kama ile.

Tisidharauliane ndugu. Kuna Watumishi wengi tu wa chini wamewazidi maisha mabosi zao.

Mimi ni Mwajiriwa ila nakiri kuwa utajiri nitasikilizia redioni tu. Kwa mishahara hii tusubiri kifuta machozi cha kustaafu labda au tuibe tunawiri na mwisho tukafungwe.
Malalamiko na maoni kama haya ni ''made in Tanzania for Tanzanian'' na ukienda sehemu nyingine duniani huyakuti. Mimi sijui thread yako ina lengo gani kwa sababu haya ni mambo ya kawaida kabisa. Kwa kifupi hakuna kipya ulichoandika. Ni kama mtu amesema jua lichomoza kila siku asubuhi. Kwani hujui binadamu tunatofautiana vipato? Kwani kuna kanuni inayosema sekta fulani haiwezi kuzidi sekta fulani kimapato?
 
Africa tunazan mbaya sana
Mkizaliwa 3
Mmoja awe mtumish wengine wajasiria mali ukoo mzma unakutegemea wew mtumish kwa 100% na hata ikitokea hitaji la pesa utaambiwa wew na Zaid utasikia ata hao wafanyabiashar ndugu zako watakwambia si ukope
Mjasiria mali kipato chake hakitabiriki Kwa mwezi tofauti na mfanyakazi ndio maana hukimbila Kwa mfanyakazi sio mjasiliamali
 
Kuna muuza chips Keko kwa siku anapata faida ya Laki 4 . Na jinsi alivyo bahiLi yule kwa mwezi analaza mpaka Milioni 10. Halipi kodi hata mia, kajenga mjengo Madale nahisi hata baadhi ya Wabunge hawana Nyumba kama ile.
Kudhibitisha kuwa husemi.uongo ambatanisha ushahidi wa malipo yake ya Mapato ya Kodi ya TRA sababu Kodi huendana na kipato ukitupa tu document ya Kodi anazolipa TRA tutajua unachoongea sahihi


Lete ushahidi wa Kodi za Mapato analipa TRA
 
Hi!

Si Wajasiriamali wote kwamba wana maisha mazuri kuliko Watumishi wa Umma ila nataka kusema kuwa wapo Wajasiriamali wengi tu ambao hata leseni ya biashara hawana, Kodi hawalipi kabisa na Serikali haiwatambui lakini wana pesa kuliko wenye maduka ambao hulipa Kodi kwa VAT.

Kuna Jamaa anauza Ugali nyama choma, huyu bwana akiondoa gharama zote za uendeshaji anapata faida ya TZS 200,000/- mpaka TZS 300,000/- kwa siku. Maana yake huyu kwa mwezi amefeli amepata faida ya TZS 5,000,000/-. Pesa ambayo wanalipwa Watumishi Waandamizi Wizarani. Hapo ameshatumia pesa ya kutosha ndani ya huo mwezi mwisho wa mwezi ana TZS 5,000,000/- .

Mtumishi Mwandamizi akipata hiyo TZS 5,000.000/- ndipo aanze kutumia, atasave Million Moja au Laki 5 tu. Kuna dogo anauza chips Mwenge kwa siku analaza Laki 3.5. Huyu baada ya matumizi yake yote mwisho wa mwezi akichungulia akiba yake hakosi Milioni 7. Faida ya Milioni 7 kwa mwezi ni Watumishi wa Umma wangapi wanaipata? Labda majizi tu ambayo hawana amani maana jela inawaita kila siku.

Kuna muuza chips Keko kwa siku anapata faida ya Laki 4 . Na jinsi alivyo bahiLi yule kwa mwezi analaza mpaka Milioni 10. Halipi kodi hata mia, kajenga mjengo Madale nahisi hata baadhi ya Wabunge hawana Nyumba kama ile.

Tisidharauliane ndugu. Kuna Watumishi wengi tu wa chini wamewazidi maisha mabosi zao.

Mimi ni Mwajiriwa ila nakiri kuwa utajiri nitasikilizia redioni tu. Kwa mishahara hii tusubiri kifuta machozi cha kustaafu labda au tuibe tunawiri na mwisho tukafungwe.
Wajasiliamali wenyewe unawatafuta kwa manati mara mwenge mwingine unamfukunyua keko huko mwingine posta huko..
Hapo bado ujasema kwa muda gani wanafanya hizo business na bila kusahau kwa wajasiliamali income inabadilika badilika daily.

Ingawa sipingi mitaani wengi
waliofanikiwa sana ni wafanyabiashara wa kati na wakubwa ambao ni wa zamani na janjajnja.
 
Back
Top Bottom