Ricky Blair
JF-Expert Member
- Mar 13, 2023
- 391
- 873
Nime-notice hii trend wanawake wadogo wenye rika ya 20 na hadi early 30's uko kuzaa kwa upasuaji wakati mimi ninavyojua hii hufanywaga sana kwa wanawake late 30's au forties huko kwa sababu ya risk mbali mbali.
Lakini siku hizi naona imekuwa trend wanawake wadogo kuzaaa kwa njia hii; all my female friends wenye 20's na early 30's wamezaa hivyo na sitaki kuamini kama kulikuwa na emergency yoyote.
Je, wanawake wanachagua kuzaa hivi siku izi au imekuwaje?
Lakini siku hizi naona imekuwa trend wanawake wadogo kuzaaa kwa njia hii; all my female friends wenye 20's na early 30's wamezaa hivyo na sitaki kuamini kama kulikuwa na emergency yoyote.
Je, wanawake wanachagua kuzaa hivi siku izi au imekuwaje?